wenye akili zenu mnamambo mengi jamani kama barua iliandikwa na kupelekewa msingwa na aliyeandika bado akaita waandishi wa habari kuongelea juu ya barua hiyo, na fikiri msigwa na yeye ameamuwa kuanza na kujibu kwenye jamii kisha atajibu barua so ikiwa kwa wakwanza ilikuwa sawa hata matumizi wa huyu wapili pia naona kama itakuwa sawa pia.