YEHODAYA
JF-Expert Member
- Aug 9, 2015
- 36,902
- 52,003
Mwaka 2012 baba Mchungaji Msigwa alisafiri kikazi kwenda Marekani.Pichani akiwa kazini. Alipiga picha hii watu waone sura yake akiwa kazini kama ambavyo wanataka TBC iwaonyeshe sura zao wakiwa kazini.Hapo yuko pichani akichapa kazi mbele ya ubalozi wa Tanzania marekani.
Wengi walikuwa wakisafiri nje wanarudi na picha kama hizi badala ya kurudi na mambo yatakayoisaidia nchi.Magufuli alipoliona hili la watu kurudi hivi akaamua kusema kusafiri hovyo nje NOOOOOOOO!!!!!!
Wengi walikuwa wakisafiri nje wanarudi na picha kama hizi badala ya kurudi na mambo yatakayoisaidia nchi.Magufuli alipoliona hili la watu kurudi hivi akaamua kusema kusafiri hovyo nje NOOOOOOOO!!!!!!