Mchungaji Msigwa aboronga Bungeni

Kuna mwenye CV yake atusaidie kutuwekea hapa jamvini? Maana bunge letu lina hadi waganga wa kienyeji na darasa la saba kibao achilia mbali wenye vyeti vya kuforge.

Kwani hao 'waganga wa kienyeji' na 'darasa la saba' walizaliwa humo Bungeni !? Si walipigiwa kura wakachaguliwa na mbu mbu mbu wenzako!
 
hawa si midomo tuu kwani unadhani kuna chochote, alimradi ametoa arufu mdomoni

Ww mwenyewe umeandika tu kuvifanyisha kazi vidole vyako, huku shirukisha ubongo wako uliolala!
 

Tatizo wanameza tu hata wakidanganywa!Unadhani kuna wanchojua hao kundi la mbowe!Jembe kundi la zito, Kitila,Baregu,Marando etc,huwezi kuwasikia wakitema pumba hizo!
 

Mkuu, umevurugwa wewe. Msigwa kasema kuwa EKARI 300 ni sawa na HEKTA 800. Mbona unamlisha maneno wewe?
 
mwanzo nilijua walio bungeni wote niwajuzi wa mambo kumbe wengine huenda bungeni kwa upepo tu kama ulivyomkumba msigwa.
 

Umejikita zaidi kwenye upinzani wa CHADEMA na kusahau hoja ya msingi "uhalibifu wa mazingira".

Hoja ya msingi ni kama serikali na mkakati wa kupambana na uharibifu wa mazingira. Ukiingilia mahesabu ukasahau hoja ya msingi si sawa
 
hii inalingana na ,mada iliyopo hewani?

Lizaboni:Ujumbe apo ni kwamba hicho alichokosea Msigwa(vipimo vya Hekta na Ekari ) kinaondoa vipi hoja ya msingi serikali kukabiliana na uharibifu wa mazingira? :A S 39:
 
My Friend, Hesabu zako ni ukubwa wa Ekari na Hekta tuu au ni eneo ukubwa wa eneo lilikatwa miti. Kwa hiyo umekubali alichosema ukiacha hoja ya ukubwa wa eneo?
 
Wakuu, hapa hoja ya msingi ni huku kuboronga kwa Mchungaji Msigwa. kutokana na data zake kutoeleweka, ni wazi kuwa hata kile alichokuwa anakusudia kukisema ni porojo tu al mradi siku iende
Nadhani hana tofauti na mkuu wenu kuudanganya ulimwengu kuwa mandela alikuja Tanzania january 1961
 

Siwezi kusema sana ila ukisoma post hii utagundua kuwa huyu ni moja ya watu wanaoumizwa sana na umakini wa mtu then anakuwa anavizia vikosa vdogo ili airidhishe nafsi yake kwa kumdiscredit mtu. Ndo maana kashindwa kuona mantik zima. Inawezekana hata yeye hakusikia vzr. Kama Hekta 1 ni sawa na heka 2.5 then Hekta 300 ni sawa na hekari 750. Shuleni tulifundishwa kukaribisha katika mamia, maelfu au makumi yaliyo karibu. So750 inakuwa 800.Lakini suala hapa ni uharibifu wa mazingira na sio hzo figa.
 
Hili umeliskia na kulirusha haraka sana lakini wakati naibu waziri wa elimu alipotamka kuwa ,muungano wa Tanzania na zimbabwe' mbona hukurusha humu? Unafiki tu unakusumbua
 
Halafu mchungaji nae si division one fulani hivi!

Machadema mnachekesha sana! Yaani yule naibu waziri alivyokosea kuhusu muungano wa Tanzania, hapakukalika JF kwa thread za kumponda.

Leo hiki kibonzo cha Msigwa ni business as usual!!!!!! Viongozi inabidi wawe makini kabla ya kusema bhana. Nukta.
 
sasa na wewe kama gari ya dizeli ukishiwa point lazima wakutoe upepo ndio uanze tena.Mimi nikajua kaaribu kweli kumbe kakosea kutoa tuu data.Poa ila ndio akili yako ilipoishia.
 
Kwani hao 'waganga wa kienyeji' na 'darasa la saba' walizaliwa humo Bungeni !? Si walipigiwa kura wakachaguliwa na mbu mbu mbu wenzako!


Kuwa na heshima mkuu, kulikoni kuniita mbumbumbu as if unanijua? Mbona onatumia lugha chafu bila sababu?

Hebu tuheshimiane tafadhali! Hunijui sikujui.
 
Hekta 300 haiwezi kuwa sawa na Ekari 800 bali ni sawa na Ekari 741.

Alichokosea hapo ni nini? alichofanya Mch. Msigwa ni kukadiria ili watu waelewe kwa urahisi, 741 kwa 800.
unajua hesabu za makadrio wewe au unaropoka tu? Usipotoshe umma
 
Hii ni sawa na data alizokuwa anazitoa Prof Muhongo pale UDSM kwenye mdahalo....zimejaa giza
 
Huyu mchungaji na Lema Lao moja.

Utakuwa umemsikia vibaya, Acha kurukaruka kama kikuku kinachotoka kuatamia. Kinyume cha hichi ulichoandika (yaani eka 800 ni karibu hekta 300). Sasa na wewe huelewi nini au umekosa cha kuandika juu ya CDM?

The Great thinker gani kama wewe ----- tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…