transcription error, "karibia hekta 300 ambazo zinakaribia ekari 800"
ilihitaji njia za serikali za kuwapumzisha hawa watz na biashara hii ya kusaka kuni na mkaa toka zama za mawe hadi hizi zama za electronic ama digitali (waweza kuziita zama za chuma).
Mtu makini angejibu hili na kufurahia kupata fursa ya kuwaeleza wananchi mipango ya wizara yake ama serikali juu ya hili.
ilihitaji njia za serikali za kuwapumzisha hawa watz na biashara hii ya kusaka kuni na mkaa toka zama za mawe hadi hizi zama za electronic ama digitali (waweza kuziita zama za chuma).
Mtu makini angejibu hili na kufurahia kupata fursa ya kuwaeleza wananchi mipango ya wizara yake ama serikali juu ya hili.