Mchungaji Msigwa aboronga Bungeni

Mchungaji Msigwa aboronga Bungeni

transcription error, "karibia hekta 300 ambazo zinakaribia ekari 800"

ilihitaji njia za serikali za kuwapumzisha hawa watz na biashara hii ya kusaka kuni na mkaa toka zama za mawe hadi hizi zama za electronic ama digitali (waweza kuziita zama za chuma).

Mtu makini angejibu hili na kufurahia kupata fursa ya kuwaeleza wananchi mipango ya wizara yake ama serikali juu ya hili.
 
Lizaboni, Sixgate etc mnaudhalilisha utu kwa pumba mnazopost, ona mnavyoaibika. Kikubwa ni uharibifu wa mazingira ambao hauathiri mabwana zenu bavicha peke yke, (maana bila kuwatajataja hamsikii raha kwa jinsi wanavyowakosha), hili ni janga la taifa inabidi tuungane kulipga vita. Tuache ushabiki.
 
Mkuu, nijuavyo mimi, wachungaji wa kiroho ni watu makini sana. Ila wachungaji wa wanyama hasa nguruwe wanatakiwa wawe kama misukule maana katika wanyama wasio wastaarab ni pamoja na nguruwe. sasa sijui mchungaji msigwa na yeye amejitoa kwenye uchungaji wa kiroho na kujipachika uchungaji wa nguruwe!

mkuu kwanza naomba nipingane na wewe msigwa siyo mchungaji bali kajibandika tu huo uchungaji lakini siyo wake ni mtu wa kulaghai tu.
 
Wadau, naangalia Bunge Live kupitia TBC1. Mchungaji msigwa ameuliza swali la kutaka mkakati wa serikali kukabiliana na uharibifu wa mazingira kutokana na wananchi wengi kutumia nishati ya kuni kama chanzo cha nishati ya kupikia. Mchungaji msigwa amesema kuwa kwa takwimu alizonazo ni kuwa Watanzania wanakata wastani wa Ekari 300 kwa siku sawa na Hekta 800. Kwangu nilipata shida sana kumuelewa na nikajiuliza kama kweli Mchungaji Msigwa anajua anachokisema au kuna mtu amemkaririsha.

Nijuavyo ni kuwa Ekari 300 ni sawa na Hekta 121.407. Kwa wale wataalam wa kukokotoa wanaweza wakatusaidia. Hii ni kutokana na ukweli kuwa Hekta moja ni sawa na Ekari 2.5. Hivyo kwa Ekari 300, haiwezi kuwa Hekta 800. Hata kama anaweza kujitetea kuwa alibadili hivyomvipimo bila ya kujijua, Hekta 300 haiwezi kuwa sawa na Ekari 800 bali ni sawa na Ekari 741. Kutokana na ufafanuzi huo, nimemdharau sana mchungaji Msigwa na napata shida kubaini uelewa wake.


Natoa angalizo kwa wanasiasa kutokurupuka kutoa hoja ambazo hawajui undani wake. Ni vema mchungaji Msigwa angeuliza kwanza ili apate ufafanuzi wa hivi vipimo vya Hekta na Ekari ili kukwepa aibu hii iliyomkuta.

Nawasilisha.

Akili yako inamatatizo kama kasoro ndogo kwa kiwango hicho ukapata ujasiri wa kudharau mtu kwa maana nyingine umejidharau mwenyewe. ebu fikiri muhimu pale ilikuwa ni data ama kujua kiwango cha uharibifu wa mazingira? usitafute neno ktk kukosoa mtu jenga ama pingana na hoja.
 
Nadhani kama Watanzania tunatakiwa kuwa na hekima katika kufikiri! Ni wakati wa kujenga nchi yetu na si kudharauliana kwa mapungufu madogo ya kitakwimu yanayojitokeza. kwa utashi wangu sahihi kabisa aliyemkosoa Msigwa pia amekosea kanuni; kama mwalimu wa kujitolea naomba kufundisha kwa njia ya kienyeji kabisa japo ningeweza kutumia njia kuu:-

1. Hekta moja ni sawa na mita za mraba 10,000 (kumi elfu)
2.Ekari moja ni sawa na mita za mraba 4900
3. Ekari mbili ni sawa na mita za mraba 9800
4. ukitoa katika namba 1 hapo juu unabakiwa na mita za mraba 200 (mia mbili tu)! Hapa naweka kituo kidogo

ukitazama hapo juu hekta moja ina ekari mbili na mita za mraba mia mbili tu! Nusu ya ekari ni mita za mraba 2450 kwahiyo 200sq mtrs haiwezekani hata siku moja kuwa 0.5 ya ekari moja

Sipendi kumalizia huu mchanganuo maana mwalimu mara nyingine huacha wanafunzi wang'amue ukweli wenyewe!

Nawaomba tusiwe tunatukanana bali tuwe tunaeleweshana na kuzingatia hoja! Vyama vyetu vitakuwepo tu lakini haviwezi kukosa mapungufu kinachotakiwa ni kukosoana bila chuki na matusi yaliyovuka mpaka na kupotezeana thamani ya utu wetu!

Mimi ni mgeni jamani ndo kwanza naandika kwa mara ya kwanza leo tafadhali msinifukuze1

Mkuu, hakika wewe somo la VIPIMO VYA METRIC vimekupiga chenga sana. yaani nimesoma kwa makini sijui ulikuwa na lengo la kurekebisha au ndo kuendelea kuboronga kama alivyofanya ndugu yako Msigwa. Yaani hii ni aibu sana kwa watu mnaojinasibu kuwa mpo makini
 
Akili yako inamatatizo kama kasoro ndogo kwa kiwango hicho ukapata ujasiri wa kudharau mtu kwa maana nyingine umejidharau mwenyewe. ebu fikiri muhimu pale ilikuwa ni data ama kujua kiwango cha uharibifu wa mazingira? usitafute neno ktk kukosoa mtu jenga ama pingana na hoja.

Mkuu, kwa sisi tunaodeal na data, kosa la msigwa limetokana na kupresent data za uongo. kosa lake hajui nini alikuwa anakisema. unajua kwenye ulimwengu wa data, kosa la kitakwimu ni baya sana kuliko spelling mistake. Msigwa ajitokeze na aombe radhi ili asiharibu kumbukumbu za bunge
 
mkuu kwanza naomba nipingane na wewe msigwa siyo mchungaji bali kajibandika tu huo uchungaji lakini siyo wake ni mtu wa kulaghai tu.

kumbe waweza kujipachika! acha dharau ktk mambo ya Mungu
 
Mkuu, hoja hiyo ameshaitolea ufafanuzi na wewe unajua. au una hoja nyingine kwenye hiyo hoja? Simbachawene amesema kuwa anaviheshimu vibatari na ndivyo vilivyomsaidia hadi amepata mafanikio makubwa ya kielimu

na wewe unaweza kuwahadithia wazazi wako kuwa unaviheshimu viporo sababu vilikusaidia kwenye kukua kwako( wakati unaongelea kesi ya mikate na vitumbua?)
 
mkuu kwanza naomba nipingane na wewe msigwa siyo mchungaji bali kajibandika tu huo uchungaji lakini siyo wake ni mtu wa kulaghai tu.

Mkuu, NASHUKURU SANA KWA UFAFANUZI HUO. ILA NASHANGAA SANA, MBONA WENGI WANAMWITA KWA JINA LA MCHUNGAJI MSIGWA?
 
na wewe unaweza kuwahadithia wazazi wako kuwa unaviheshimu viporo sababu vilikusaidia kwenye kukua kwako( wakati unaongelea kesi ya mikate na vitumbua?)

Mkuu, asifiaye mvua jua imemnyeshea.
 
hivi kumbe ukiwa MWANACCM ubongo unaganda ! ndiyo umeandika nini sasa ?
 
Hekta 300 haiwezi kuwa sawa na Ekari 800 bali ni sawa na Ekari 741.

Alichokosea hapo ni nini? alichofanya Mch. Msigwa ni kukadiria ili watu waelewe kwa urahisi, 741 kwa 800.
 
Wadau, naangalia Bunge Live kupitia TBC1. Mchungaji msigwa ameuliza swali la kutaka mkakati wa serikali kukabiliana na uharibifu wa mazingira kutokana na wananchi wengi kutumia nishati ya kuni kama chanzo cha nishati ya kupikia. Mchungaji msigwa amesema kuwa kwa takwimu alizonazo ni kuwa Watanzania wanakata wastani wa Ekari 300 kwa siku sawa na Hekta 800. Kwangu nilipata shida sana kumuelewa na nikajiuliza kama kweli Mchungaji Msigwa anajua anachokisema au kuna mtu amemkaririsha.

Nijuavyo ni kuwa Ekari 300 ni sawa na Hekta 121.407. Kwa wale wataalam wa kukokotoa wanaweza wakatusaidia. Hii ni kutokana na ukweli kuwa Hekta moja ni sawa na Ekari 2.5. Hivyo kwa Ekari 300, haiwezi kuwa Hekta 800. Hata kama anaweza kujitetea kuwa alibadili hivyomvipimo bila ya kujijua, Hekta 300 haiwezi kuwa sawa na Ekari 800 bali ni sawa na Ekari 741. Kutokana na ufafanuzi huo, nimemdharau sana mchungaji Msigwa na napata shida kubaini uelewa wake.


Natoa angalizo kwa wanasiasa kutokurupuka kutoa hoja ambazo hawajui undani wake. Ni vema mchungaji Msigwa angeuliza kwanza ili apate ufafanuzi wa hivi vipimo vya Hekta na Ekari ili kukwepa aibu hii iliyomkuta.

Nawasilisha.

hata babaako huwa anakosea
GONGA LIKE HAPO
 
Mkuu, kwa sisi tunaodeal na data, kosa la msigwa limetokana na kupresent data za uongo. kosa lake hajui nini alikuwa anakisema. unajua kwenye ulimwengu wa data, kosa la kitakwimu ni baya sana kuliko spelling mistake. Msigwa ajitokeze na aombe radhi ili asiharibu kumbukumbu za bunge

Nani anataka Data! nani anatakiwa ajue uwepo wa uharibifu wa mazingira? tuseme kipi cha msingi? Nakama si dharau ilikufaa uandike kama ulivyo nijibu si ktk dharau ya kiwango ulichofikia. Kuupuza ukweli nikujipuuza mwenyewe. au unataka turudi darasa la nne tuseme ( 2 mara 2 ni 4) wenye akili tutajua si lazima iwe jibu ni 4.
 
Wadau, naangalia Bunge Live kupitia TBC1. Mchungaji msigwa ameuliza swali la kutaka mkakati wa serikali kukabiliana na uharibifu wa mazingira kutokana na wananchi wengi kutumia nishati ya kuni kama chanzo cha nishati ya kupikia. Mchungaji msigwa amesema kuwa kwa takwimu alizonazo ni kuwa Watanzania wanakata wastani wa Ekari 300 kwa siku sawa na Hekta 800. Kwangu nilipata shida sana kumuelewa na nikajiuliza kama kweli Mchungaji Msigwa anajua anachokisema au kuna mtu amemkaririsha.

Nijuavyo ni kuwa Ekari 300 ni sawa na Hekta 121.407. Kwa wale wataalam wa kukokotoa wanaweza wakatusaidia. Hii ni kutokana na ukweli kuwa Hekta moja ni sawa na Ekari 2.5. Hivyo kwa Ekari 300, haiwezi kuwa Hekta 800. Hata kama anaweza kujitetea kuwa alibadili hivyomvipimo bila ya kujijua, Hekta 300 haiwezi kuwa sawa na Ekari 800 bali ni sawa na Ekari 741. Kutokana na ufafanuzi huo, nimemdharau sana mchungaji Msigwa na napata shida kubaini uelewa wake.


Natoa angalizo kwa wanasiasa kutokurupuka kutoa hoja ambazo hawajui undani wake. Ni vema mchungaji Msigwa angeuliza kwanza ili apate ufafanuzi wa hivi vipimo vya Hekta na Ekari ili kukwepa aibu hii iliyomkuta.

Nawasilisha.

Hayo ni mawazo yako binafsi na mtazamo wako kama ungekuwa mkweli sku zote,tungekupata vizuri kama ungekuwa tayari kuwakosoa hat baadhi ya mawazir juu ya takwimu za uongo wanazoziwakirisha bungeni,lakini kwa sababu unasukumwa na ushabiki zaidi ya uhalisia juu ya wale unaowaona ni maadui zako kisiasa.
 
Badala ya kusikitikia uharibifu unaofanyika,wewe una hoji usahihi wa makadirio ya kimahesabu?!

This is very stupid mentality!
 
Back
Top Bottom