Mwangalieni chanel ten
kupiga marufuku haiwezekani, ila tujiulize, huyu tapeli kapata airtime, je angekua ustaadh angepewa hiyo airtime kwenye TV na kuanza kuchamba drs???KUNA HAJA YA KUPIGA MARUFUKU DINI ZOTE TANZANIA.
Katiba mpya lazima ielezee mipaka ya dini kwenye SIASA.
To hell with Wala Vya bure
Lusekelo ombea wagonjwa wote walioko mahospitalini na majumbani,ili ikibidi tufute fani ya utabibu!kama huwezi piga kimya!
awaombee wapone, au awalipie private