Sasa hapo ndio penye utata kwa maana tunashindwa kuelewa kipi kinapotosha na kipi hakitakiwi watu kujua. Mfano hii video hapaZote za kupotoshwa zifutwe
Kwa hiyo unasupport watu kubambikiwa kesi? Hiyo picha ya Mbowe kwenye profile yako ni ya nini? Hujui hata unachokisimamia. Hizi ndio siasa za upepo fata bendera.Uko sahihi kabisa, ila tatizo CCM na Serikali yake wanamuogopa sana huyu mropokaji na hawana ubavu wa kumfanya lolote.
Mchungaji Gwajima anatakiwa ajibiwe kisayansi na sio kwa ubabe na vitisho. Hoja zake ni za msingi! Kwanini hizi chanjo zilipigwa ban US, EUROPE NA SA Then ndio tumeletewa sisi? Usalama wake ukoje? Au watz ndio tumekua Guinea pig?Aliyeanza kutugawa ni Samia ambaye amejifanya kama hakuwa kwenye serikali ya Magu. Lakini pia hao unaowaita wataalamu wetu hebu tupe uthibitisho ni lini na wapi walifanya utafiti na kuona hizo chanjo zipo salama?
Ziko wapi scientific research zao zinazonesha chanjo inayogusa DNA/RNA ipo salama? Kama walishindwa hata kutengeza case scenarios za kupima ubora wa vifaa vya kupimia corona hadi Mh. Magu akatumia janja yake na kukuta mapapai yana corona, je leo huo uwezo wa kupima ubora wa chanjo wameuotoa wapi?
Hizo chanjo wamezijaribisha kwenye nini na wakapata uhakika kuwa taifa lipo salama na kile wanachokipokea kutoka ulaya na marekani ni chanjo salama na siyo bio-wepon?
Cha ajabu wanaolilia Uhuru wa kuongea ndio wanataka Gwajima akamatwe na kubambikiwa kesi kisa hakubaliani na Chanjo,Mpige Gwajima kwa Facts na sio Chuki kama unazoonesha.
Huo ndio uhuru wa Kutoa Maoni. Hayo ni maoni ya Gwajima.
Sent from my Infinix X656 using JamiiForums mobile app
Mbona hamkutaka RC mtaka afunguliwe kesi ya uchochezi kwa kwenda kinyume na maelekezo ya wizara?Hakuna hoja ya msingi anatoa. Hajatoa hoja yoyote ya kisayansi yenye ushahidi.
Mbaya zaidi anatuhumu watu kupewa pesa ili waruhusu chanjo. Awataje hao watu vinginevyo huu anaofanya ni uchochezi. Anatakiwa kushughulikiwa kwa mujibu wa taratibu za CCM na serikali. Hatuwezi kuwa na viongozi wa namna hii. Ndio,mbunge ni kiongozi. Unakuwaje na kiongozi ambaye qnapinga maamuzi ya serikali ya chama chake na kidhalilisha viongozi kwa tuhuma za kutunga?
mbona hata wazungu wenyewe wanaikataa hizo chanjo kwani nao wanashtakiwa kwa kumislead wananchi tena ni madaktari wabobezi iweje Gwajima?msipotoshe mambo mwacheni atoe maoni yake hata kama siyo daktari wa binadamu siku hizi ni utandawazi kila kitu kipo wazi.Napenda kutoa Rai kwa Vyombo vya Ulinzi na usalama kumkamata mara moja Mh Gwajima, kumuhoji na kumshitaki kwa counts tatu za msingi.Sitaki kuzungumzi hotuba ya Mch Gwajima kanisani kwake juzi, kwani si jambo geni humu na litaunganisha uzi na nyuzi zingine kama hizo. Mods Nakimbilia moja kwa moja kwenye hoja kuu ya Uzi huu.
Kwa muelekeo wa kamati ya Mh. Samia na ushauri wake, na kwa maamuzi ya serikali kuhusu kuchanjwa. Sote tuna imani wataalamu wetu wa afya wameshirikishwa vya kutosha, pia tunaamini vyombo vyetu vya usalama nikimaanisha idara ya Usalama wa Taifa wameshafanya Upembuzi yakinifu na juu ya tuhuma hizi za chanjo ya Covid kuwa hatari kwa maisha yetu. Kwa hiyo mpaka chanjo inaingia maana yake "there is no doubt about it" . Lakin tunafahamu hata itakapoingia itachunguzwa pia na kuthibitishwa zaidi.
Kimantiki ninashauri Mch Gwajima afunguliwe kesi 3 za msingi ambazo ni Uchochezi, Uhaini na Ugaidi kwa jinsi nilivyojifunza muundo wa siasa zetu.
Shitaka la kwanza la uchochezi liko Clear kuwa ana"mislead " wananchi kwa kupotosha kitu ambacho hajafanyia utafiti kitaalamu maana alitakiwa aje na ripoti yake ya uchunguzi kitaalamu tungemuelewa. Gwajima ni mbunge na ni kiongozi wa kiroho hivyo ana ushawishi mkubwa sana. Inavyoonekana anatumia ushawishi wake kuwagawa watanzania, kuwafanya Raia kupinga maamuzi ya serikali, anaingilia masuala nyeti ya afya za watanzania. Hebu tujiulize ikitokea Bagonza akapinga Chanjo ya Surua, Bakwata wakapenga ya Pepopunda, Makamba akapinga ya Polio itakuwaje huko Mbele. Nauona huu ni uchochezi kabisa.
#COVID19 - Waziri Mkuu: Tusipotoshane kwa sababu hakuna Serikali inayoweza kuandaa mpango wa kuwaangamiza wananchi wake
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa amesema, Serikali haitamlazimisha mwananchi kuchanjwa chanjo ya corona. Amewataka Watanzania wapuuze upotoshaji unaosambazwa “Chanjo ni hiari tusipotoshane kwa sababu hakuna Serikali inayoweza kuandaa mpango wa kuwaangamiza wananchi wake." ========= WAZIRI Mkuu...www.jamiiforums.com
Kwanini afunguliwe kesi ya Uhaini, ni kwa sababu anaingilia Muenendo wa Rais, viongozi wakuu wa serikali na vyombo vya usalama vya nchi. Kwa kauli yake Gwajima anaamuru maaskari, makachero na maofisa wa vyombo vya ulinzi na usalama wasichanjwe huku akiwatishia kuwa watadhurika. Hii litawafanya wao kukwepa au kupinga amri hii na hapa Gwajima atakuwa "accessory after the fact" ya uhaini huu wa Askari wetu. Lingine ni kutuhakikishia kuwa Viongozi wakuu wa serikali akiwamo Rais watadhurika ama hata kufa baada ya kutumia Chanjo hii. Gwajima anapaswa kuhojiwa na kuiambia Serikali ametoa wapi taarifa hizi za Rais kudhurika kama akitumia hii chanjo. Itakapokuja kutokea isije ikaonekana alikuwa na maono ama vip. Iisje maadui zetu wakapata mwanya huohuo wa maneno ya Gwajima kumdhuru Rais wetu mpendwa.
La mwisho Gwajima napaswa kupewa kesi ya Ugaidi ama kuhusishwa na huu ugaidi ama kuwa shahidi wa muhimu wa njama za ugaidi anaousemea yeye against taifa letu. Gwajima anajua ama ana taarifa za watanzania Mamilioni kudhurika ama hatimaye kufa kwa matumizi ya dawa hizi. Anaaswa kukamatwa na kuhojiwa kwa habari hizi. Nevertheless kama si kweli kesi ya ugaidi inamuhusu. Huu ni ugaidi wa kifikra na mawazo ya watanzania ikiwemo kuwatia hofu "Terror -> Terrorism" .
Nitoe Rai jwa vyombo vya ulinzi na usalama kumchukulia hatua Askofu Gwajima, tuache yale ya watu kusema Mkuu fulani anaumwa, mkuu fulani atafariki na wakachekewa hatimaye inakuwa kweli then wanaitwa manabii.
https://www.facebook.com/
Na pindi ikitokea hii chanjo kuna mtu amedhurika , Mtuhumiwa wa kwanza awe Gwajima. Ikitokea Covid ikatupiga zaid sababu ya kutochanjwa Gwajima anatakiwa ashitakiwe pia kwa kutufanya tupingane na WHO .
Kazi na iendelee!..
Huwezi kunielewa wewe nikaushie tu. Askofu Rashid Gwajima ameishika CCM na Serikali yake pabaya wamebakia kubweka bweka tu lakini hawana cha kumfanya. Gwajima ana 'watu'.Kwa hiyo unasupport watu kubambikiwa kesi? Hiyo picha ya Mbowe kwenye profile yako ni ya nini? Hujui hata unachokisimamia. Hizi ndio siasa za upepo fata bendera.
Barabara zitachafuka kwa kinyesiNapenda kutoa Rai kwa Vyombo vya Ulinzi na usalama kumkamata mara moja Mh Gwajima, kumuhoji na kumshitaki kwa counts tatu za msingi.Sitaki kuzungumzi hotuba ya Mch Gwajima kanisani kwake juzi, kwani si jambo geni humu na litaunganisha uzi na nyuzi zingine kama hizo. Mods Nakimbilia moja kwa moja kwenye hoja kuu ya Uzi huu.
Kwa muelekeo wa kamati ya Mh. Samia na ushauri wake, na kwa maamuzi ya serikali kuhusu kuchanjwa. Sote tuna imani wataalamu wetu wa afya wameshirikishwa vya kutosha, pia tunaamini vyombo vyetu vya usalama nikimaanisha idara ya Usalama wa Taifa wameshafanya Upembuzi yakinifu na juu ya tuhuma hizi za chanjo ya Covid kuwa hatari kwa maisha yetu. Kwa hiyo mpaka chanjo inaingia maana yake "there is no doubt about it" . Lakin tunafahamu hata itakapoingia itachunguzwa pia na kuthibitishwa zaidi.
Kimantiki ninashauri Mch Gwajima afunguliwe kesi 3 za msingi ambazo ni Uchochezi, Uhaini na Ugaidi kwa jinsi nilivyojifunza muundo wa siasa zetu.
Shitaka la kwanza la uchochezi liko Clear kuwa ana"mislead " wananchi kwa kupotosha kitu ambacho hajafanyia utafiti kitaalamu maana alitakiwa aje na ripoti yake ya uchunguzi kitaalamu tungemuelewa. Gwajima ni mbunge na ni kiongozi wa kiroho hivyo ana ushawishi mkubwa sana. Inavyoonekana anatumia ushawishi wake kuwagawa watanzania, kuwafanya Raia kupinga maamuzi ya serikali, anaingilia masuala nyeti ya afya za watanzania. Hebu tujiulize ikitokea Bagonza akapinga Chanjo ya Surua, Bakwata wakapenga ya Pepopunda, Makamba akapinga ya Polio itakuwaje huko Mbele. Nauona huu ni uchochezi kabisa.
#COVID19 - Waziri Mkuu: Tusipotoshane kwa sababu hakuna Serikali inayoweza kuandaa mpango wa kuwaangamiza wananchi wake
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa amesema, Serikali haitamlazimisha mwananchi kuchanjwa chanjo ya corona. Amewataka Watanzania wapuuze upotoshaji unaosambazwa “Chanjo ni hiari tusipotoshane kwa sababu hakuna Serikali inayoweza kuandaa mpango wa kuwaangamiza wananchi wake." ========= WAZIRI Mkuu...www.jamiiforums.com
Kwanini afunguliwe kesi ya Uhaini, ni kwa sababu anaingilia Muenendo wa Rais, viongozi wakuu wa serikali na vyombo vya usalama vya nchi. Kwa kauli yake Gwajima anaamuru maaskari, makachero na maofisa wa vyombo vya ulinzi na usalama wasichanjwe huku akiwatishia kuwa watadhurika. Hii litawafanya wao kukwepa au kupinga amri hii na hapa Gwajima atakuwa "accessory after the fact" ya uhaini huu wa Askari wetu. Lingine ni kutuhakikishia kuwa Viongozi wakuu wa serikali akiwamo Rais watadhurika ama hata kufa baada ya kutumia Chanjo hii. Gwajima anapaswa kuhojiwa na kuiambia Serikali ametoa wapi taarifa hizi za Rais kudhurika kama akitumia hii chanjo. Itakapokuja kutokea isije ikaonekana alikuwa na maono ama vip. Iisje maadui zetu wakapata mwanya huohuo wa maneno ya Gwajima kumdhuru Rais wetu mpendwa.
La mwisho Gwajima napaswa kupewa kesi ya Ugaidi ama kuhusishwa na huu ugaidi ama kuwa shahidi wa muhimu wa njama za ugaidi anaousemea yeye against taifa letu. Gwajima anajua ama ana taarifa za watanzania Mamilioni kudhurika ama hatimaye kufa kwa matumizi ya dawa hizi. Anaaswa kukamatwa na kuhojiwa kwa habari hizi. Nevertheless kama si kweli kesi ya ugaidi inamuhusu. Huu ni ugaidi wa kifikra na mawazo ya watanzania ikiwemo kuwatia hofu "Terror -> Terrorism" .
Nitoe Rai jwa vyombo vya ulinzi na usalama kumchukulia hatua Askofu Gwajima, tuache yale ya watu kusema Mkuu fulani anaumwa, mkuu fulani atafariki na wakachekewa hatimaye inakuwa kweli then wanaitwa manabii.
https://www.facebook.com/
Na pindi ikitokea hii chanjo kuna mtu amedhurika , Mtuhumiwa wa kwanza awe Gwajima. Ikitokea Covid ikatupiga zaid sababu ya kutochanjwa Gwajima anatakiwa ashitakiwe pia kwa kutufanya tupingane na WHO .
Kazi na iendelee!..
Barabara zitachafuka kwa kinyesi
Sheria ya chanjo inadai:Dah! Hiyo aya ya pili kutoka mwisho mbona ya kibabe sana...
Watu wakidhurika kwa chanjo (wakichanjwa) akamatwe ashtakiwe na hata watu wakidhurika kwa corona (wasipochanjwa) akamatwe pia!
hahaha sawa.Mpaka we na Gwaji mjue jinsi DNA na RNA zinavo fanya kazi mwilini
Shujaa Mwendazake wewe ni popyo, yombo yombo, kichwani mwako umejaza kinyesi badala ya ubongo. Gwajima alichosema na kutetea ndicho hicho tulimpongeza nacho Dkt Magufuli.Napenda kutoa Rai kwa Vyombo vya Ulinzi na usalama kumkamata mara moja Mh Gwajima, kumuhoji na kumshitaki kwa counts tatu za msingi.Sitaki kuzungumzi hotuba ya Mch Gwajima kanisani kwake juzi, kwani si jambo geni humu na litaunganisha uzi na nyuzi zingine kama hizo. Mods Nakimbilia moja kwa moja kwenye hoja kuu ya Uzi huu.
Kwa muelekeo wa kamati ya Mh. Samia na ushauri wake, na kwa maamuzi ya serikali kuhusu kuchanjwa. Sote tuna imani wataalamu wetu wa afya wameshirikishwa vya kutosha, pia tunaamini vyombo vyetu vya usalama nikimaanisha idara ya Usalama wa Taifa wameshafanya Upembuzi yakinifu na juu ya tuhuma hizi za chanjo ya Covid kuwa hatari kwa maisha yetu. Kwa hiyo mpaka chanjo inaingia maana yake "there is no doubt about it" . Lakin tunafahamu hata itakapoingia itachunguzwa pia na kuthibitishwa zaidi.
Kimantiki ninashauri Mch Gwajima afunguliwe kesi 3 za msingi ambazo ni Uchochezi, Uhaini na Ugaidi kwa jinsi nilivyojifunza muundo wa siasa zetu.
Shitaka la kwanza la uchochezi liko Clear kuwa ana"mislead " wananchi kwa kupotosha kitu ambacho hajafanyia utafiti kitaalamu maana alitakiwa aje na ripoti yake ya uchunguzi kitaalamu tungemuelewa. Gwajima ni mbunge na ni kiongozi wa kiroho hivyo ana ushawishi mkubwa sana. Inavyoonekana anatumia ushawishi wake kuwagawa watanzania, kuwafanya Raia kupinga maamuzi ya serikali, anaingilia masuala nyeti ya afya za watanzania. Hebu tujiulize ikitokea Bagonza akapinga Chanjo ya Surua, Bakwata wakapenga ya Pepopunda, Makamba akapinga ya Polio itakuwaje huko Mbele. Nauona huu ni uchochezi kabisa.
#COVID19 - Waziri Mkuu: Tusipotoshane kwa sababu hakuna Serikali inayoweza kuandaa mpango wa kuwaangamiza wananchi wake
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa amesema, Serikali haitamlazimisha mwananchi kuchanjwa chanjo ya corona. Amewataka Watanzania wapuuze upotoshaji unaosambazwa “Chanjo ni hiari tusipotoshane kwa sababu hakuna Serikali inayoweza kuandaa mpango wa kuwaangamiza wananchi wake." ========= WAZIRI Mkuu...www.jamiiforums.com
Kwanini afunguliwe kesi ya Uhaini, ni kwa sababu anaingilia Muenendo wa Rais, viongozi wakuu wa serikali na vyombo vya usalama vya nchi. Kwa kauli yake Gwajima anaamuru maaskari, makachero na maofisa wa vyombo vya ulinzi na usalama wasichanjwe huku akiwatishia kuwa watadhurika. Hii litawafanya wao kukwepa au kupinga amri hii na hapa Gwajima atakuwa "accessory after the fact" ya uhaini huu wa Askari wetu. Lingine ni kutuhakikishia kuwa Viongozi wakuu wa serikali akiwamo Rais watadhurika ama hata kufa baada ya kutumia Chanjo hii. Gwajima anapaswa kuhojiwa na kuiambia Serikali ametoa wapi taarifa hizi za Rais kudhurika kama akitumia hii chanjo. Itakapokuja kutokea isije ikaonekana alikuwa na maono ama vip. Iisje maadui zetu wakapata mwanya huohuo wa maneno ya Gwajima kumdhuru Rais wetu mpendwa.
La mwisho Gwajima napaswa kupewa kesi ya Ugaidi ama kuhusishwa na huu ugaidi ama kuwa shahidi wa muhimu wa njama za ugaidi anaousemea yeye against taifa letu. Gwajima anajua ama ana taarifa za watanzania Mamilioni kudhurika ama hatimaye kufa kwa matumizi ya dawa hizi. Anaaswa kukamatwa na kuhojiwa kwa habari hizi. Nevertheless kama si kweli kesi ya ugaidi inamuhusu. Huu ni ugaidi wa kifikra na mawazo ya watanzania ikiwemo kuwatia hofu "Terror -> Terrorism" .
Nitoe Rai jwa vyombo vya ulinzi na usalama kumchukulia hatua Askofu Gwajima, tuache yale ya watu kusema Mkuu fulani anaumwa, mkuu fulani atafariki na wakachekewa hatimaye inakuwa kweli then wanaitwa manabii.
https://www.facebook.com/
Na pindi ikitokea hii chanjo kuna mtu amedhurika , Mtuhumiwa wa kwanza awe Gwajima. Ikitokea Covid ikatupiga zaid sababu ya kutochanjwa Gwajima anatakiwa ashitakiwe pia kwa kutufanya tupingane na WHO .
Kazi na iendelee!..