Sooth
JF-Expert Member
- Apr 27, 2009
- 3,928
- 5,616
Aisee kumbe wengine mmesoma kw kukariri,kwani akiwa na result slip si ni cheti pia?
Nyinyi mnawajua watumishi wote wanaosali kwa gwajima je kama wamempelekea ushahidi huo wa kuprint hata kama ni document sio cheti?pascally wewe nina wasi wasi utakuwa ni mhanga kama daudi bashite.
Result slip sio cheti. Tena ukisoma result slip imeandikwa hivyo-kuwa slip sio cheti. Pia hakujawahi kutolewa cheti kwa mtu aliyepata zero toka NECTA ianzishwe mwaka 1973.