Aaah mama ashaua hapo,
Ubaya naskia hawana mtoto
Maana wangekuwa na mtoto at least wangesema aka yake ni Daudi.
Ila pia kosa la Bashite aka Makonda, siyo kufeli kosa ni forgery, kama kufeli, kina Mbowe na Ole sendekea walisha feli na wanapiga mzigo fureshi tuu.
Makonda or Bashite or whoever ajitokeze kujibu tuhuma maana hali ishakuwa mbaya hapa.