IGUDUNG'WA
JF-Expert Member
- Oct 22, 2011
- 2,071
- 1,317
Duuuh kazi uliyojipachika ni ngumu sana aisee.... inabidi kujitoa ufahamu kabisa halafu ndo uteteeKweli hata za zamani tulishaziona bado mnarusha, naamini mnampenda sana Mh. Makonda. Utafikiri nyie hamkulala mkiwa mnasoma
Hapa kazi tu
Alipiga mashuzi jamaa wote wakahamaYaani watu kiboko, huku wenzake wanakata book yeye anapiga usingizi tu.Labda wanaonyesha jinsi alivyo genious.
Hapo alikuwa kashamjua wa kumuuzia vyeti ndo maana hakuona haja ya kukaza msuli..Kweli hata za zamani tulishaziona bado mnarusha, naamini mnampenda sana Mh. Makonda. Utafikiri nyie hamkulala mkiwa mnasoma
Hapa kazi tu
Mkuu utakua umenielewa vibaya,hiyo comment yangu sijamtetea mtu yeyote,mimi sipo team yeyote ile.Ili mambo ya timu wema vs team bashite iishe ni vyema ukamshauri daud alete vyeti vyake
Hata mimi nilishaiona mara kadhaa sikuielewa, leo imetumwa imezungushiwa rangi nikaambiwa ni bashite.... Daaa mbavu zangu had saiv hazijaacha kuuma
Hii picha nimekutana nayo muda mrefu mitandaoni ila mimi sikuelewa. Leo katka group flani la Whatsup ikatumwa tena. Mi nikaona hata wakiniona kilaza poa tu acha niulize, hii picha yamaanisha nini? Ndyo wakanifahamisha kuwa aliyelala apo ni Daudi Bashite.
Mpaka sasa sijaamini kama ndye yeye. Na kama ndye yeye basi watanzania nimewaamshia mikono kwa kufukunyua maisha ya watu.
Na tunaona piaTunasikia