aliapa jina la mwenzake...hahahahaha. acha vichekesho ndugu. anatakiwa kushitakiwa kwa kugushi au kujifanya mtu mwingine sawa tu na wanavyoshitakiwa wengine (forgery s. 333, 335 and 337, pamoja na s.100 penal code cap.16 R.E 2002). kama jamaa hatatumbuliwa, kesi za kughushi na vyeti bandia zinazoendelea mahakamani nchi nzima zifutwe.sheria inatakiwa isiangalie uso wa mtu.
mnasema mnavyo vyeti vya Daudi albert, wekeni vyeti vyake hapa tumalize ubishi. si mmesha scan? kama hamja scan tafadhali mscan haraka kwasababu kuna siku watavivizia na kuvikwapua. wekeni kwenye mtandao iwe rahisi kurelease anytime mkihitaji kufanya hivyo. tuone vyeti vya hao wanaosema wana akili kumbe wanaakili fupi kuongoza watu wenye akili ndefu.
Zamani walikuwa wapi kusema kama sio wanafiki wakubwa ,Matumishi ya Mungu siku hizi bwana sijui yana matatizo gani ndo maana nay alimaza hao ni wapiga hela waumini ndala zimeisha lenyewe lina meta meta
Kuamua kutumia cheti cha mtu mwingine ili atoboe kimaisha anaonyesha ni mpambanaji, sio mtu wakubweteka. Inawezekana mazingira yake ya kusoma hayakuwa mazuri kumwezesha kufaulu. Je hivyo vyuo vingine alifeli? Tatizo liko kwenye vita aliyoianzisha. Mwenyezi Mungu msaidie katika kazi hii.