Mchungaji Gwajima: Daudi Albert Bashite alipata division Zero

Wee jamaa mfatiliaji mzuri wa masuala na mtunzaji kumbukumbu mzuri!!! Katika kumbukumbu zako yule Kihiyo yuko wapi? Tafadhali.

Na washawasha!



 
Itakuwa kweli mbona yupo kimya, silent means yes
 
Wee jamaa mfatiliaji mzuri wa masuala na mtunzaji kumbukumbu mzuri!!! Katika kumbukumbu zako yule Kihiyo yuko wapi? Tafadhali.

Na washawasha!
Swali lilipaswa kuwa tangu "sakata la Kihiyo 1996" hadi leo, ni wangapi waliokwishatumbuliwa kuhusu kufoji elimu?

Na pengine swali la msingi zaidi ni "kwanini Kihiyo na sio kina 'Dokta' Nchimbi?"

Wanaofahamu undani wa sakata la Kihiyo watakufahamisha kuwa huyo ubunge wake haukutumbuliwa kwa sababu za kufoji elimu bali "mengineyo." Naliona suala la Makonda likimalizika kwa staili hiyo: kama ni kutumbuliwa sio kwa vile ni Bashite bali "endapo atamtibua mkulu."
 
 
.....
.....aisèeehh
 
Hivi kumtibua ni mpaka afanye nini hasa? Maana kama hizi tuhuma ni za kweli tayari kesha muabisha na kumfedhehesha kwa anao watawala. Na hii ni kwa awamu zote ya nne ambapo ndio alipoanzia harakati zake za kiuongozi na ya tano. Hili jambo kwa sasa laweza kupuuzwa lakini upande ule wa pili watakapo anza kupanda majukwaani ndio madhara ya hili yatakapo jidhihirisha.

Na washawasha!



 
Ndio hapo mnapokosea: kudhani hisia/hasira zenu ndizo alizonazo aliyemteua.

In fact, yeyote anayemjua Magu atakwambia kuwa moja ya "allergies" zake ni "kufundishwa kazi." Huyu ni muumini wa "my way or no way." Sasa hili shinikizo mnalompa, ambalo kimsingi hamjaweza kumbana kisheria ailishughulikie, linamweka katika mazingira ya "your way or no way." It's catch 22: akimwajibisha ataonekana dhaifu aliyeshinikizwa na wananchi, and that's not the Magu I know. Akimwacha, well, mtaendelea na shinikizo lenu (lakini experience shows walalamishi wa Kitanzania ni wepesi sana kuishiwa pumzi).

Uliuliza kuhusu "kumtibua mkulu" well ni kama alivyofanya Kitwanga. Mkulu hakuwa tayari kumtosa rafiki yake lakini rafiki yake kwa kuendekeza pombe "akaishia kumtibua" mkulu.
Ishu ya Lugumu ikafa kifo cha asili, na kama wafuatilia vema siasa za Tz, Kitwanga is at the moment one of the most powerful people katika circles za JPM (don't take my word, chunguza).

Hivyo ndio siasa zetu zinavyofanya kazi. Zimetawaliwa na ubinafsi unaorahisishwa na Katiba fyongo isiyowezesha matakwa ya raia kutimizwa "kwa nguvu."
 
JE WAJUA KUWA FREEMAN AIKAEL MBOWE NDIE FIRIMON GASTURA WA IHUNGO SEC??
-----------------------------------------------------------------

Ukistaajabu ya Mussa utayaona ya Filauni!

JINA LA KUZALIWA:- Freeman Aikael Mbowe.

ELIMU:

SHULE YA MSINGI:- Lambo-Moshi (Jina-Freeman Aikael Mbowe).

SHULE YA SEKONDARI (I-IV) :- Kibaha Sec-Pwani (Jina-Freeman Aikael Mbowe).
- Inasemekana alihitimu Kidato cha Nne Mwaka 1979, akapata daraja la Nne (Failure).

SEKONDARI A'LEVEL:- Ihungo Sec-Bukoba.
JINA:- Firimon Gastura.
-Zingatia kwamba, Firimon Gastura alionekana akisoma Milambo Boys Kidato I-IV, wakati huo Freeman Aikael Mbowe akiwa Kibaha Sec.

N:B, Inasemekana kuwa Firimon Gastura hakumaliza masomo yake pale Ihungo kutokana na sababu mbalimbali (hazitaelezwa leo) lkn jambo kubwa ni kwamba baada ya muda Firimon Gastura alionekana Benk Kuu ya Tanzania (BOT) akiwa Bank Officer (mwajiliwa) wakati huo Gavana akiwa Mzee Mtei.

ZINGATIO:
Tunaendelea kujiridhisha na taarifa hizi kwa kutambua uhusiano kati ya Freeman Mbowe wa Kibaha Sec na Firimon Gastura wa Milambo Boys. Pia tunaendelea kujiridhisha ni kwa namna gani Freeman Mbowe aliajiliwa BOT kwa kutumia jina la Firimon Gastura ikiwa hakumaliza Masomo yake. Na ni kwa namna gani Mtu mmoja anaweza kutumia Majina mawili tofauti ktk elimu kwa ngazi tofauti.
Ukweli ni kwamba, taarifa za Elimu ya Freeman Mbowe zina mazonge mengi lkn pia jitihada za kufichika kwake ni kubwa zaidi.
Tunaomba msaada kwa yeyote mwenye taarifa sahihi ili kuweka kumbukumbu sawa!
Baada ya ukamilisho huu tutaitoa CV ya Freeman Mbowe ama Firimom Gastura hadharani!
Unapoishi ktk Nyumba ya Vioo, jitenge na Vita za Mawe!
Kwa ushirikiano wa Magoiga SN-Mwanza.
MIMI,
[HASHTAG]#NinamuungaMkonoRaisWangu[/HASHTAG],
[HASHTAG]#NinapigaVitaMatumiziNaBiasharaYaMadawaYaKulevya[/HASHTAG]!
MenukaJr.
 
Ya kwamba mchezo ulipangwa aende sandton Jo burg halafu kesho ashindwe kutokea kama mgeni rasmi kwenye siku ya wanawake duniani iwe imepatikana sababu ya kumtumbua
isije ikaonekana alitolewa sababu ya forgery...tusubiri kesho then tutatona
 
Ya kwamba mchezo ulipangwa aende sandton Jo burg halafu kesho ashindwe kutokea kama mgeni rasmi kwenye siku ya wanawake duniani iwe imepatikana sababu ya kumtumbua
isije ikaonekana alitolewa sababu ya forgery...tusubiri kesho then tutatona
hivi kwa kawaida maadhimisho kama hayo mgeni rasmi huwa anatangazwa na taasisi gani?
 
Umekaa umemuwazaaaaaa, usingizi umekata huyoooo unataka tu kumuandika. Vipeeee ufuasi wa waliowavuta imekuwaje bado mnadanganyika?
 
Umekaa umemuwazaaaaaa, usingizi umekata huyoooo unataka tu kumuandika. Vipeeee ufuasi wa waliowavuta imekuwaje bado mnadanganyika?
unahaha kama ngolo kante,kila nyuzi ya bashite wa kolomije unaingia kuijambia...kolooomije kollloooooomije,nawaona nawaona mnakula tu ubuyu...fa fa fa fa afa fa afafafafafafafafaaaaaaa laaaaaaaaa
 
Sherehe ilikua inatafuta publicity, waandishi wa habari watajaa hapo
 
Hivi walio mualika nao wako na matatizo gani!!?
Maana jamaa hana credibility hata ya kuhudhuria sherehe za kumaliza shule ya msingi kwa sasa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…