Mwiba
JF-Expert Member
- Oct 23, 2007
- 7,607
- 1,744
Kulikuwa na mgonjwa ambaye alikuwa hawezi kuongea na alikuwa amewekewa oxygen.
Siku moja Mchungaji akaenda kumuombea. Akiwa katika maombezi, yule mgonjwa akachukua kalamu na karatasi akaandika halafu akampa yule mchungaji, ghafla mgonjwa akakata roho. Mchungaji hakukisoma kile kikaratasi wakati ule akijua ni wosia wa marehemu,
Akasubiri baada ya mazishi kwenye kikao cha ndugu akasema "Kuna kitu nilipewa na marehemu siku niliyokuwa namuombea". Akampa ndugu mmoja asome, kiliandikwa
'UMEKANYAGA WAYA WA OXYGEN, NAKOSA HEWA
Siku moja Mchungaji akaenda kumuombea. Akiwa katika maombezi, yule mgonjwa akachukua kalamu na karatasi akaandika halafu akampa yule mchungaji, ghafla mgonjwa akakata roho. Mchungaji hakukisoma kile kikaratasi wakati ule akijua ni wosia wa marehemu,
Akasubiri baada ya mazishi kwenye kikao cha ndugu akasema "Kuna kitu nilipewa na marehemu siku niliyokuwa namuombea". Akampa ndugu mmoja asome, kiliandikwa
'UMEKANYAGA WAYA WA OXYGEN, NAKOSA HEWA