Mchumba wangu kaning,ata,

Mchumba wangu kaning,ata,

Kung'ata-Bite ,kwani alikutoa damu?
Ulitaka kumaanisha nini labda,hebu edit hiyo heading yako kwanza!
 
Nilimaanisha kaumiza moyo wangu mkuu
 
Sio vibaya kuchaguliwa mke kwani Mara nyingi wazazi huona mbali pia mzazi akikuchagulia mke basi ni mke kweli ila kwangu imekuwa tofauti
 
Pia sisi watu Wa mikoani kuchaguliwa nikitu cha kawaida na tunakiheshim sana
 
Kwa usawa huu mkuu unatafutiwa mke??tena unamiaka 31??wacha tu waendelee kukung'ata mkuu
 
Ungeenda kupiga chabo uone anavyojikunja kunja jinsi alivyo flexible..unapewa unaleta utoto..bi maza alikwambia labda yule afar kwa mazoezi tu ya kuoshea rungu tu
 
Alikung'ata alivyokua kwenye bodaboda au alikung'ata ulivyomkuta gest au alikung'ataje maana kichwa cha habari naona ni kung'ata na ulipong'atwa sipaoni.... lol
 
Heading umesema amekung'ata lakini kwenye maelezo sioni unapoelezea kung'atwa!?
 
Back
Top Bottom