mzaramo
JF-Expert Member
- Sep 4, 2006
- 6,371
- 5,191
- Thread starter
- #21
Hivi tukisema muache utakubali? anyway hayo ndio maisha ya mapenzi, ni bora amekuonesha mapema hizo dalili za jeuri na kiburi sasa maamuzi unayo mwenyewe kama utaweza kuvumilia hizo tabia kwa maisha yako yote endelea naye ila kama unaona kabisa huwezi ni bora ubadili mawazo
Failure= few error in judgment repeats everyday, usije ukadharau tabia ndogondogo kwan baada ya muda ni majanga tupu
So be careful kaka ni bora kuvunja uchumbay sio ndoa
nashukuru kwa ushauri wako kaka