Mnyamwezi wa Urambo
JF-Expert Member
- Dec 7, 2011
- 928
- 275
Pole sana wakora waitu, huyo kwaharaka haraka ni kuwa hana time na wewe tena, piga moyo konde maisha yasonge.
Ukiona manyoya!
habari hizi wadogo zangu nawashauri muwe mnazipeleka kwenye yale magazeti yenu ya uduku sijui udaku,
not here,au mnataka na sisi huku JF tuseme ''TUMECHOKA SASA...MKIENDELEA TUTAWAPIGA TU........[BAN]
Wana JF naombeni msada wenu nifanye nini, mchumba wangu niliyempenda sana, ghafla kakata mawasiliano na mimi nikimpigia cm hapokei sms hajibu na hakuna chochote kibaya nilichomfanyia, kibaya zaidi anafahamika kwenye familia yangu, ofcn kwangu mpaka marafiki wote wanajua nilikuwa na mahusiana nae sasa najiuliza ntawambia nini hasa familia make tayari nshamtambulisha nahc ntaonekana cjatulia hasa kwa wazazi wangu, huyu jamaa alifanya nikarisk kazi yangu nikawa naaga naenda kumuona mdogo wangu kumbe naenda arusha kumuuona yeye by that tym alikuwa anafanya masters yake pale nelson mandela kwa sasa kamaliza yupo dar sina mawasiliano nae anachoanya cjui na hata ikitokea nimepiga cm akipokea ananijibu kwa hasira as if tumegombana yani jamani naumia sana na nilimpenda kwa dhati na yeye analijua lkn cjui ni shetani gani kampata,.
Naombeni ushauri wenu jamani,..
Wana JF naombeni msada wenu nifanye nini, mchumba wangu niliyempenda sana, ghafla kakata mawasiliano na mimi nikimpigia cm hapokei sms hajibu na hakuna chochote kibaya nilichomfanyia, kibaya zaidi anafahamika kwenye familia yangu, ofcn kwangu mpaka marafiki wote wanajua nilikuwa na mahusiana nae sasa najiuliza ntawambia nini hasa familia make tayari nshamtambulisha nahc ntaonekana cjatulia hasa kwa wazazi wangu, huyu jamaa alifanya nikarisk kazi yangu nikawa naaga naenda kumuona mdogo wangu kumbe naenda arusha kumuuona yeye by that tym alikuwa anafanya masters yake pale nelson mandela kwa sasa kamaliza yupo dar sina mawasiliano nae anachoanya cjui na hata ikitokea nimepiga cm akipokea ananijibu kwa hasira as if tumegombana yani jamani naumia sana na nilimpenda kwa dhati na yeye analijua lkn cjui ni shetani gani kampata,.
Naombeni ushauri wenu jamani,..
Wana JF naombeni msada wenu nifanye nini, mchumba wangu niliyempenda sana, ghafla kakata mawasiliano na mimi nikimpigia cm hapokei sms hajibu na hakuna chochote kibaya nilichomfanyia, kibaya zaidi anafahamika kwenye familia yangu, ofcn kwangu mpaka marafiki wote wanajua nilikuwa na mahusiana nae sasa najiuliza ntawambia nini hasa familia make tayari nshamtambulisha nahc ntaonekana cjatulia hasa kwa wazazi wangu, huyu jamaa alifanya nikarisk kazi yangu nikawa naaga naenda kumuona mdogo wangu kumbe naenda arusha kumuuona yeye by that tym alikuwa anafanya masters yake pale nelson mandela kwa sasa kamaliza yupo dar sina mawasiliano nae anachoanya cjui na hata ikitokea nimepiga cm akipokea ananijibu kwa hasira as if tumegombana yani jamani naumia sana na nilimpenda kwa dhati na yeye analijua lkn cjui ni shetani gani kampata,.
Naombeni ushauri wenu jamani,..