ize tu keri
Member
- Jul 30, 2013
- 9
- 0
Tobaaa
nilimpenda kwa dhati na yeye analijua lkn cjui ni shetani gani kampata
Wana JF naombeni msada wenu nifanye nini, mchumba wangu niliyempenda sana, ghafla kakata mawasiliano na mimi nikimpigia cm hapokei sms hajibu na hakuna chochote kibaya nilichomfanyia, kibaya zaidi anafahamika kwenye familia yangu, ofcn kwangu mpaka marafiki wote wanajua nilikuwa na mahusiana nae sasa najiuliza ntawambia nini hasa familia make tayari nshamtambulisha nahc ntaonekana cjatulia hasa kwa wazazi wangu, huyu jamaa alifanya nikarisk kazi yangu nikawa naaga naenda kumuona mdogo wangu kumbe naenda arusha kumuuona yeye by that tym alikuwa anafanya masters yake pale nelson mandela kwa sasa kamaliza yupo dar sina mawasiliano nae anachoanya cjui na hata ikitokea nimepiga cm akipokea ananijibu kwa hasira as if tumegombana yani jamani naumia sana na nilimpenda kwa dhati na yeye analijua lkn cjui ni shetani gani kampata,.
Naombeni ushauri wenu jamani,..
don't let the new ID FOOL you Miss or whoever you are,mi ni born here-here friend...na katika hilo nililosema,kumekuwa na ka-trend ka machalii wanaleta zile habari za kwenye yale magazeti niliyoyataja ambayo huwa na kisegment I guess cha maanti sijui SUZY sijui anti Calorine wanaotoa ushauri wa maswali ya kizembe kama hayo ambayo yamevamia JF,mfano wa hayo maswali yaliyovamia JF;Nahisi wewe ni mgeni humu ndani, utapigwa bana usipoangalia!
Wana JF naombeni msada wenu nifanye nini, mchumba wangu niliyempenda sana, ghafla kakata mawasiliano na mimi nikimpigia cm hapokei sms hajibu na hakuna chochote kibaya nilichomfanyia, kibaya zaidi anafahamika kwenye familia yangu, ofcn kwangu mpaka marafiki wote wanajua nilikuwa na mahusiana nae sasa najiuliza ntawambia nini hasa familia make tayari nshamtambulisha nahc ntaonekana cjatulia hasa kwa wazazi wangu, huyu jamaa alifanya nikarisk kazi yangu nikawa naaga naenda kumuona mdogo wangu kumbe naenda arusha kumuuona yeye by that tym alikuwa anafanya masters yake pale nelson mandela kwa sasa kamaliza yupo dar sina mawasiliano nae anachoanya cjui na hata ikitokea nimepiga cm akipokea ananijibu kwa hasira as if tumegombana yani jamani naumia sana na nilimpenda kwa dhati na yeye analijua lkn cjui ni shetani gani kampata,.
Naombeni ushauri wenu jamani,..
Wana JF naombeni msada wenu nifanye nini, mchumba wangu niliyempenda sana, ghafla kakata mawasiliano na mimi nikimpigia cm hapokei sms hajibu na hakuna chochote kibaya nilichomfanyia, kibaya zaidi anafahamika kwenye familia yangu, ofcn kwangu mpaka marafiki wote wanajua nilikuwa na mahusiana nae sasa najiuliza ntawambia nini hasa familia make tayari nshamtambulisha nahc ntaonekana cjatulia hasa kwa wazazi wangu, huyu jamaa alifanya nikarisk kazi yangu nikawa naaga naenda kumuona mdogo wangu kumbe naenda arusha kumuuona yeye by that tym alikuwa anafanya masters yake pale nelson mandela kwa sasa kamaliza yupo dar sina mawasiliano nae anachoanya cjui na hata ikitokea nimepiga cm akipokea ananijibu kwa hasira as if tumegombana yani jamani naumia sana na nilimpenda kwa dhati na yeye analijua lkn cjui ni shetani gani kampata,.
Naombeni ushauri wenu jamani,..
Wana JF naombeni msada wenu nifanye nini, mchumba wangu niliyempenda sana, ghafla kakata mawasiliano na mimi nikimpigia cm hapokei sms hajibu na hakuna chochote kibaya nilichomfanyia, kibaya zaidi anafahamika kwenye familia yangu, ofcn kwangu mpaka marafiki wote wanajua nilikuwa na mahusiana nae sasa najiuliza ntawambia nini hasa familia make tayari nshamtambulisha nahc ntaonekana cjatulia hasa kwa wazazi wangu, huyu jamaa alifanya nikarisk kazi yangu nikawa naaga naenda kumuona mdogo wangu kumbe naenda arusha kumuuona yeye by that tym alikuwa anafanya masters yake pale nelson mandela kwa sasa kamaliza yupo dar sina mawasiliano nae anachoanya cjui na hata ikitokea nimepiga cm akipokea ananijibu kwa hasira as if tumegombana yani jamani naumia sana na nilimpenda kwa dhati na yeye analijua lkn cjui ni shetani gani kampata,.
Naombeni ushauri wenu jamani,..
Wana JF naombeni msada wenu nifanye nini, mchumba wangu niliyempenda sana, ghafla kakata mawasiliano na mimi nikimpigia cm hapokei sms hajibu na hakuna chochote kibaya nilichomfanyia, kibaya zaidi anafahamika kwenye familia yangu, ofcn kwangu mpaka marafiki wote wanajua nilikuwa na mahusiana nae sasa najiuliza ntawambia nini hasa familia make tayari nshamtambulisha nahc ntaonekana cjatulia hasa kwa wazazi wangu, huyu jamaa alifanya nikarisk kazi yangu nikawa naaga naenda kumuona mdogo wangu kumbe naenda arusha kumuuona yeye by that tym alikuwa anafanya masters yake pale nelson mandela kwa sasa kamaliza yupo dar sina mawasiliano nae anachoanya cjui na hata ikitokea nimepiga cm akipokea ananijibu kwa hasira as if tumegombana yani jamani naumia sana na nilimpenda kwa dhati na yeye analijua lkn cjui ni shetani gani kampata,.
Naombeni ushauri wenu jamani,..
duh umeanailize vizuri mpka nimeridhika roho yangu!!Ukisoma vizuri statement moja kwa moja utajua ni Girl kaandika,
Evidences:
See highlighted red:
Wana JF naombeni msada wenu nifanye nini, mchumba wangu niliyempenda sana, ghafla kakata mawasiliano na mimi nikimpigia cm hapokei sms hajibu na hakuna chochote kibaya nilichomfanyia, kibaya zaidi anafahamika kwenye familia yangu, ofcn kwangu mpaka marafiki wote wanajua nilikuwa na mahusiana nae sasa najiuliza ntawambia nini hasa familia make tayari nshamtambulisha nahc ntaonekana cjatulia hasa kwa wazazi wangu, huyu jamaa alifanya nikarisk kazi yangu nikawa naaga naenda kumuona mdogo wangu kumbe naenda arusha kumuuona yeye by that tym alikuwa anafanya masters yake pale nelson mandela kwa sasa kamaliza yupo dar sina mawasiliano nae anachoanya cjui na hata ikitokea nimepiga cm akipokea ananijibu kwa hasira as if tumegombana yani jamani naumia sana na nilimpenda kwa dhati na yeye analijua lkn cjui ni shetani gani kampata,.
Naombeni ushauri wenu jamani,..
Mara nyingi wasichana ndo huwatambulisha haraka marafiki zao wa kiume kwa Familia, marafiki zake wa kike na kutangaza ofsini ili wafanyakazi wenzie wasije vamia mali yake....
Pia wanaume wengi hawaogopi kwamba ataiambia nini familia, ataonekana hajatulia, hii inaapply zaidi kwa wasichana.
Mwanaume hawezi kumwita mchumba wake wa kike "Huyu Jamaa".
Hope umepata majibu hapo; Huyo Dada anasubiria ushauri wako tafadhali.....msaidie!!!
Wana JF naombeni msada wenu nifanye nini, mchumba wangu niliyempenda sana, ghafla kakata mawasiliano na mimi nikimpigia cm hapokei sms hajibu na hakuna chochote kibaya nilichomfanyia, kibaya zaidi anafahamika kwenye familia yangu, ofcn kwangu mpaka marafiki wote wanajua nilikuwa na mahusiana nae sasa najiuliza ntawambia nini hasa familia make tayari nshamtambulisha nahc ntaonekana cjatulia hasa kwa wazazi wangu, huyu jamaa alifanya nikarisk kazi yangu nikawa naaga naenda kumuona mdogo wangu kumbe naenda arusha kumuuona yeye by that tym alikuwa anafanya masters yake pale nelson mandela kwa sasa kamaliza yupo dar sina mawasiliano nae anachoanya cjui na hata ikitokea nimepiga cm akipokea ananijibu kwa hasira as if tumegombana yani jamani naumia sana na nilimpenda kwa dhati na yeye analijua lkn cjui ni shetani gani kampata,.
Naombeni ushauri wenu jamani,..