Mchumba wangu ananitesa jamani

Mchumba wangu ananitesa jamani

nilimpenda kwa dhati na yeye analijua lkn cjui ni shetani gani kampata

Hamna cha shetani wala lucifer.. Huyo anafanya yote hayo kwa akili yake timamu.. Jiweke busy kama umemsahau (ni ngumu naelewa) ila ukiendelea kumtafuta na amekuchunia hiyo inaumiza zaidi..
Ikitokea mmeachana na ukapata mwingine usimtambulishe kwa jamii nzima, utatambulisha wangapi??
 
Nashndwa Kukushaur 7b unaonekana umekufa umeoza kwa huyo jamaaaa!! ILA YANN KUMNGA'NGA'NIA ASYEKUPENDA??? KWAN ULIZALIWA NAE?? Afu inaonekana mlikuwa mnazin,hujui zinaa haramu??tubu kwa mola!
 
Wana JF naombeni msada wenu nifanye nini, mchumba wangu niliyempenda sana, ghafla kakata mawasiliano na mimi nikimpigia cm hapokei sms hajibu na hakuna chochote kibaya nilichomfanyia, kibaya zaidi anafahamika kwenye familia yangu, ofcn kwangu mpaka marafiki wote wanajua nilikuwa na mahusiana nae sasa najiuliza ntawambia nini hasa familia make tayari nshamtambulisha nahc ntaonekana cjatulia hasa kwa wazazi wangu, huyu jamaa alifanya nikarisk kazi yangu nikawa naaga naenda kumuona mdogo wangu kumbe naenda arusha kumuuona yeye by that tym alikuwa anafanya masters yake pale nelson mandela kwa sasa kamaliza yupo dar sina mawasiliano nae anachoanya cjui na hata ikitokea nimepiga cm akipokea ananijibu kwa hasira as if tumegombana yani jamani naumia sana na nilimpenda kwa dhati na yeye analijua lkn cjui ni shetani gani kampata,.
Naombeni ushauri wenu jamani,..

Pole dadangu na kama kweli unampenda then fught for your love mana yawezekana kuna mtu kaingilia uhusiano kwa sabab ya kuona labda jamaa ana hela na vitu vngne kama dada zetu walivo na tamaa,fight for your love n u wil win
 
mwambie akuambie ukwel km anakpend au hakupend,.
 
umejifunza, mambo ya kutambulishana fasta fasta sio mpango..endelea na maisha yako...huyo kashasepa
 
Nahisi wewe ni mgeni humu ndani, utapigwa bana usipoangalia!
don't let the new ID FOOL you Miss or whoever you are,mi ni born here-here friend...na katika hilo nililosema,kumekuwa na ka-trend ka machalii wanaleta zile habari za kwenye yale magazeti niliyoyataja ambayo huwa na kisegment I guess cha maanti sijui SUZY sijui anti Calorine wanaotoa ushauri wa maswali ya kizembe kama hayo ambayo yamevamia JF,mfano wa hayo maswali yaliyovamia JF;

1.U.me wangu mkubwa unanitesa,warembo wananikimbia sijui nifanye nini

2.Wake za watu wananipenda nifanyeje hii hali isiendelee

3.Boyfriend wangu sijui hapendi niishike simu yake blaa blaa blaa.....

n.k...

m

 
Wana JF naombeni msada wenu nifanye nini, mchumba wangu niliyempenda sana, ghafla kakata mawasiliano na mimi nikimpigia cm hapokei sms hajibu na hakuna chochote kibaya nilichomfanyia, kibaya zaidi anafahamika kwenye familia yangu, ofcn kwangu mpaka marafiki wote wanajua nilikuwa na mahusiana nae sasa najiuliza ntawambia nini hasa familia make tayari nshamtambulisha nahc ntaonekana cjatulia hasa kwa wazazi wangu, huyu jamaa alifanya nikarisk kazi yangu nikawa naaga naenda kumuona mdogo wangu kumbe naenda arusha kumuuona yeye by that tym alikuwa anafanya masters yake pale nelson mandela kwa sasa kamaliza yupo dar sina mawasiliano nae anachoanya cjui na hata ikitokea nimepiga cm akipokea ananijibu kwa hasira as if tumegombana yani jamani naumia sana na nilimpenda kwa dhati na yeye analijua lkn cjui ni shetani gani kampata,.
Naombeni ushauri wenu jamani,..

Pole sana! Acha kulalama hapa JF, chukua hatua!

Hivi matangazo huyaoni barabarani? Wapo wa kutoka Sumbawanga, Nigeria, Congo, Tanga na Kigoma hao wote wanarudisha wapenzi walopotea, au labda hapa mtaalam ni MziziMkavu, ambaye naamini atakushauri utumie kichwa cha nyoka!

Chukua hatua dada!
 
Last edited by a moderator:
Wana JF naombeni msada wenu nifanye nini, mchumba wangu niliyempenda sana, ghafla kakata mawasiliano na mimi nikimpigia cm hapokei sms hajibu na hakuna chochote kibaya nilichomfanyia, kibaya zaidi anafahamika kwenye familia yangu, ofcn kwangu mpaka marafiki wote wanajua nilikuwa na mahusiana nae sasa najiuliza ntawambia nini hasa familia make tayari nshamtambulisha nahc ntaonekana cjatulia hasa kwa wazazi wangu, huyu jamaa alifanya nikarisk kazi yangu nikawa naaga naenda kumuona mdogo wangu kumbe naenda arusha kumuuona yeye by that tym alikuwa anafanya masters yake pale nelson mandela kwa sasa kamaliza yupo dar sina mawasiliano nae anachoanya cjui na hata ikitokea nimepiga cm akipokea ananijibu kwa hasira as if tumegombana yani jamani naumia sana na nilimpenda kwa dhati na yeye analijua lkn cjui ni shetani gani kampata,.
Naombeni ushauri wenu jamani,..

Pole sana! Acha kulalama hapa JF, chukua hatua!

Hivi matangazo huyaoni barabarani? Wapo wa kutoka Sumbawanga, Nigeria, Congo, Tanga na Kigoma hao wote wanarudisha wapenzi walopotea, au labda hapa mtaalam ni MziziMkavu, ambaye naamini atakushauri utumie kichwa cha nyoka!

Chukua hatua dada!
 
Last edited by a moderator:
Wana JF naombeni msada wenu nifanye nini, mchumba wangu niliyempenda sana, ghafla kakata mawasiliano na mimi nikimpigia cm hapokei sms hajibu na hakuna chochote kibaya nilichomfanyia, kibaya zaidi anafahamika kwenye familia yangu, ofcn kwangu mpaka marafiki wote wanajua nilikuwa na mahusiana nae sasa najiuliza ntawambia nini hasa familia make tayari nshamtambulisha nahc ntaonekana cjatulia hasa kwa wazazi wangu, huyu jamaa alifanya nikarisk kazi yangu nikawa naaga naenda kumuona mdogo wangu kumbe naenda arusha kumuuona yeye by that tym alikuwa anafanya masters yake pale nelson mandela kwa sasa kamaliza yupo dar sina mawasiliano nae anachoanya cjui na hata ikitokea nimepiga cm akipokea ananijibu kwa hasira as if tumegombana yani jamani naumia sana na nilimpenda kwa dhati na yeye analijua lkn cjui ni shetani gani kampata,.
Naombeni ushauri wenu jamani,..

Pole sana! Acha kulalama hapa JF, chukua hatua!

Hivi matangazo huyaoni barabarani? Wapo wa kutoka Sumbawanga, Nigeria, Congo, Tanga na Kigoma hao wote wanarudisha wapenzi walopotea, au labda hapa mtaalam ni MziziMkavu, ambaye naamini atakushauri utumie kichwa cha nyoka!

Chukua hatua dada!
 
Last edited by a moderator:
hakuna mapenzi hapo,inabidi ukubali tu maumivu.
LAKINI USIJARI COZ MAUMIVU YA JANA HAYAFANANI NA YA LEO,NA YA LEO HAYAFANI NA KESHO IPO SIKU YATAISHA..
 
walio wengi wakitaka kuachana na mtu hizo ndo huwa dalili zao kwa hiyo bi dada akili mukichwa
 
we kweli mgeni kwenye malavidavi......Ukiona manyoya ujua ameliwa
 
P
Wana JF naombeni msada wenu nifanye nini, mchumba wangu niliyempenda sana, ghafla kakata mawasiliano na mimi nikimpigia cm hapokei sms hajibu na hakuna chochote kibaya nilichomfanyia, kibaya zaidi anafahamika kwenye familia yangu, ofcn kwangu mpaka marafiki wote wanajua nilikuwa na mahusiana nae sasa najiuliza ntawambia nini hasa familia make tayari nshamtambulisha nahc ntaonekana cjatulia hasa kwa wazazi wangu, huyu jamaa alifanya nikarisk kazi yangu nikawa naaga naenda kumuona mdogo wangu kumbe naenda arusha kumuuona yeye by that tym alikuwa anafanya masters yake pale nelson mandela kwa sasa kamaliza yupo dar sina mawasiliano nae anachoanya cjui na hata ikitokea nimepiga cm akipokea ananijibu kwa hasira as if tumegombana yani jamani naumia sana na nilimpenda kwa dhati na yeye analijua lkn cjui ni shetani gani kampata,.
Naombeni ushauri wenu jamani,..

We ni she/he?
 
Ukisoma vizuri statement moja kwa moja utajua ni Girl kaandika,
Evidences:
See highlighted red:
Wana JF naombeni msada wenu nifanye nini, mchumba wangu niliyempenda sana, ghafla kakata mawasiliano na mimi nikimpigia cm hapokei sms hajibu na hakuna chochote kibaya nilichomfanyia, kibaya zaidi anafahamika kwenye familia yangu, ofcn kwangu mpaka marafiki wote wanajua nilikuwa na mahusiana nae sasa najiuliza ntawambia nini hasa familia make tayari nshamtambulisha nahc ntaonekana cjatulia hasa kwa wazazi wangu, huyu jamaa alifanya nikarisk kazi yangu nikawa naaga naenda kumuona mdogo wangu kumbe naenda arusha kumuuona yeye by that tym alikuwa anafanya masters yake pale nelson mandela kwa sasa kamaliza yupo dar sina mawasiliano nae anachoanya cjui na hata ikitokea nimepiga cm akipokea ananijibu kwa hasira as if tumegombana yani jamani naumia sana na nilimpenda kwa dhati na yeye analijua lkn cjui ni shetani gani kampata,.
Naombeni ushauri wenu jamani,..

Mara nyingi wasichana ndo huwatambulisha haraka marafiki zao wa kiume kwa Familia, marafiki zake wa kike na kutangaza ofsini ili wafanyakazi wenzie wasije vamia mali yake....

Pia wanaume wengi hawaogopi kwamba ataiambia nini familia, ataonekana hajatulia, hii inaapply zaidi kwa wasichana.

Mwanaume hawezi kumwita mchumba wake wa kike "Huyu Jamaa".

Hope umepata majibu hapo; Huyo Dada anasubiria ushauri wako tafadhali.....msaidie!!!
duh umeanailize vizuri mpka nimeridhika roho yangu!!
 
..ila hujasema ni how long amekata mawasiliano,,, isijekuwa ni cku 1 tuu,,, tujuze tafadhali...
 
ubaya wa mapenzi ni kwmba hayashauriki i have been in the same situion lakini kila niliposhauriwa nilikuwa kichwa maji,sisikii la muadhini wala la mchota maji cha msingi jua kwamba huyo kapunguuza mapenzi na wewe so tafuta sababu kwa nini kapuguza mapenz na wewe then ufanye maamuzi hapa utapewa ushauri tu maamuzi ya mwisho unayo wewe!!,kuwa tayari kwa lolote
 
Wana JF naombeni msada wenu nifanye nini, mchumba wangu niliyempenda sana, ghafla kakata mawasiliano na mimi nikimpigia cm hapokei sms hajibu na hakuna chochote kibaya nilichomfanyia, kibaya zaidi anafahamika kwenye familia yangu, ofcn kwangu mpaka marafiki wote wanajua nilikuwa na mahusiana nae sasa najiuliza ntawambia nini hasa familia make tayari nshamtambulisha nahc ntaonekana cjatulia hasa kwa wazazi wangu, huyu jamaa alifanya nikarisk kazi yangu nikawa naaga naenda kumuona mdogo wangu kumbe naenda arusha kumuuona yeye by that tym alikuwa anafanya masters yake pale nelson mandela kwa sasa kamaliza yupo dar sina mawasiliano nae anachoanya cjui na hata ikitokea nimepiga cm akipokea ananijibu kwa hasira as if tumegombana yani jamani naumia sana na nilimpenda kwa dhati na yeye analijua lkn cjui ni shetani gani kampata,.
Naombeni ushauri wenu jamani,..

pole sana, wewe sio chaguo lake alikuwa na wewe kwa sababu ya kitu fulani tuu!! tafakari then chukua hatua
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom