Mchumba wangu ana madeni balaa

Mchumba wangu ana madeni balaa

waambie madada wa jf walionifollow kule Instagram wapunguze kasi Zao hasa Yule Nuru Juma, Teacher flani na nanihii nimewaelewa sana.. Lakini kuna mmoja nadhani yule ni dada wa Mjini mjini lakini jina sikutajii

Mkuuu hebu ni pm inta accunt yako....!nkufollow...
 
Nina girlfriend nipo naye kwa miaka Tisa sasa. Nimeanza naye mahusiano akiwa na miaka 19. Ilikuwa mwaka 2006 mwezi wa tano Waziri Mkuu wa nchi hii akiwa Lowassa. Nampenda na ananipenda. Namuhudumia vzuri tu. Na tayari nimemchumbia. Zamani hakuwa na tabia za kukopa vitu na kubaki na madeni. Ila sasa imekuwa balaa.

Nilipoingia kwenya ajira nilianzia kazi ofisi zetu za Arusha yeye akabaki Dar na hapo ndipo alipobadili tabia ambayo hakuwa nayo mwanzo. Japo nilikiwa mbali hakuna kilichobadilika kwa kumjali kwa matumizi yake. Ila sijui tabia ya kukopa kaitoa wapi Na nilishamkataza na nikamuambia akiwa na shida ruksa kuniambia na analijua hilo. Ila anapenda tu kukopa.

Baadae nikahamia kikazi kurudi mjini DSM. Yaani kila njia tukipita japo ni ndani ya gari ataniambia hapa tusipite na tukipita usishushe kioo flani ataniaona. Nikimtaiti anasema ananidai nilikopa wigi.

Hii tabia inanishinda sasa. Anadaiwa hadi kwenye vibanda vya baga. Saluni nyingi haendi ameacha madeni. Maduka zaidi ya sita maeneo ya kwao mikocheni anadaiwa. Wanafunzi aliomaliza nao udsm mwaka huu karibia mashosti wake wote wanamdai. Nishafanya juhudi zote kumkataza na kuyalipia madeni yake ila anarudia na anakopa tena.

NIFANYEJE?

wee wenyewee anakudaii miaka yote unamkopa ujawahi mlipa
 
Mkuu kua makini YATALETWA MATARUMBETA HAPO KWAKO MUDA SI MREFU so jiandae
 
Kuwa makini yawezekana ana michepuko yke mitaa hyo kwahyo anakuzuga cz ashakuona ww ni muoga wa maden hata baadh ya simu anaweza asipokee akakuzuga ni mden kumbe mchepuko
 
ana stress za kuolewa huyo...ukimuoa yote hayo yataisha
 
Mi uchumba wangu ulidumu miaka nane nikamuoa, bro kanipiga gap
 
Mfungulie account ya bank kila week iweke pesa... mpe ATM card yake na password.
 
Nina girlfriend nipo naye kwa miaka Tisa sasa. Nimeanza naye mahusiano akiwa na miaka 19. Ilikuwa mwaka 2006 mwezi wa tano Waziri Mkuu wa nchi hii akiwa Lowassa. Nampenda na ananipenda. Namuhudumia vzuri tu. Na tayari nimemchumbia. Zamani hakuwa na tabia za kukopa vitu na kubaki na madeni. Ila sasa imekuwa balaa.

Nilipoingia kwenya ajira nilianzia kazi ofisi zetu za Arusha yeye akabaki Dar na hapo ndipo alipobadili tabia ambayo hakuwa nayo mwanzo. Japo nilikiwa mbali hakuna kilichobadilika kwa kumjali kwa matumizi yake. Ila sijui tabia ya kukopa kaitoa wapi Na nilishamkataza na nikamuambia akiwa na shida ruksa kuniambia na analijua hilo. Ila anapenda tu kukopa.

Baadae nikahamia kikazi kurudi mjini DSM. Yaani kila njia tukipita japo ni ndani ya gari ataniambia hapa tusipite na tukipita usishushe kioo flani ataniaona. Nikimtaiti anasema ananidai nilikopa wigi.

Hii tabia inanishinda sasa. Anadaiwa hadi kwenye vibanda vya baga. Saluni nyingi haendi ameacha madeni. Maduka zaidi ya sita maeneo ya kwao mikocheni anadaiwa. Wanafunzi aliomaliza nao udsm mwaka huu karibia mashosti wake wote wanamdai. Nishafanya juhudi zote kumkataza na kuyalipia madeni yake ila anarudia na anakopa tena.

NIFANYEJE?
dawa ya deni kulipa,sasa yeye anavyoyakimbia madeni ina maana hayupo tayar kulipa,atakua na elements za utapeli uyo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom