amilyroley
JF-Expert Member
- Jun 23, 2015
- 621
- 1,200
Kiongozi swala la madeni tuliweke kando kwanza, ni kwa nini unamhold binti wawatu miaka 9 bila kumuowa? yani utamu wote ule wewe umri wake akishachuja usichana ndio umpige chini halafu uowe mwingine? ndugu yangu utalogwa na wanawake wanawajuwa waganga kuliko unavyoweza kufikiri. shauri yako.
Miaka tisa uchumba? Mkuu hebu tuanzie hapo...
Huyo bint si anamshahara? Mwambie mwisho wa mwez huu alipe maden yake.
Anywai umuoeee sasa bwana miaka tisa duuu tangu kikwete aapishwe paka ameondoka...
Cc mito
Teh teh..Na jamaa wala haonyeshi kama ana mpango wa kuoa karibuni..Miaka tisa uchumba? Mkuu hebu tuanzie hapo...
Huyo bint si anamshahara? Mwambie mwisho wa mwez huu alipe maden yake.
Anywai umuoeee sasa bwana miaka tisa duuu tangu kikwete aapishwe paka ameondoka...
Cc mito
Nina girlfriend nipo naye kwa miaka Tisa sasa. Nampenda ananipenda. Namuhudumia vzuri tu. Zamani hakuwa na tabia za kukopa vitu na kubaki na madeni. Ila sasa imekuwa balaa. Nilipoingia kwenya ajira nilianzia kazi ofisi zetu za Arusha yeye akabaki Dar na hapo ndipo alipobadili tabia ambayo hakuwa nayo mwanzo. Japo nilikiwa mbali hakuna kilichobadilika kwa kumjali kwa matumizi yake. Ila sijui tabia ya kukopa kaitoa wapi Na nilishamkataza na nikamuambia akiwa na shida ruksa kuniambia na analijua hilo. Ila anapenda tu kukopa. Baadae nikahamia kikazi kurudi mjini DSM. Yaani kila njia tukipita japo ni ndani ya gari ataniambia hapa tusipite na tukipita usishushe kioo flani ataniaona. Nikimtaiti anasema ananidai nilikopa wigi. Hii tabia inanishinda sasa. Anadaiwa had kwenye vibanda vya baga. Saluni nyingi haendi ameacha madeni. Maduka zaidi ya sita maeneo ya kwao mikocheni anadaiwa. Wanafunzi aliomaliza nao udsm mwaka huu karibia mashosti wake wote wanamdai. Nishafanya juhudi zote kumkataza na kuyalipia madeni yake ila anarudia na anakopa tena. NIFANYEJE?
Samahan lkn! Hivi Dar kuna vibanda vya baga 'Drive thru kama Maccas, Kfc, roosters, subway. Nikija na mm mnipe address namiss sana huku sumbawanga hakuna
Ha ha ha...kuna jamaa mmoja mdau wa Bagamoyo aliniambia kuna waganga wawili Bagamoyo wateja wao zaidi ya 90% ni wanawake. Na matatizo yao ni ishu za mahusiano!!!
Yaani tusipokuwa makini tutalishwa mpaka kinyesi
Yaani nimekujibu kimoyomoyo.
Hadi tandale kuna burgers