Mzee shida wanaonaga vitu halafu hawana uwezo wa kuvizuia, eg alimuona mama ake ana huzuni, ila asingeweza zuia kifo cha kaka ake,Binafsi naogopa Sana watu waonaji( watabiri)
Yaani unakuta mtu anakutabiria kwamba utakutwa na Jambo zito Sasa badala ya kukupa muongozo jinsi ya kuliepusha lisitokee yeye anajikalia tu kimya.
Very pathetic!
Nimegundua kuwa akili zake ndogo pale alioisema Eti mchumba wangu bikraUnakuwaje wakili mjinga hivi ,unaendaje kunnywa mipombe na watesi wako
Hapana, wewe ndiye umetuletea habari za unabii hapa.Wewe wasema!
Ww ni kijana smart sana! Lkn binti wa miaka 21 anakufanya uonekane huna mifereji ya akili
Kwanini mkuu?
Kuna wanaipewa na njia ya kuzuia ila ukimwambia mtu haamini, basi unaacha lipiteBinafsi naogopa Sana watu waonaji( watabiri)
Yaani unakuta mtu anakutabiria kwamba utakutwa na Jambo zito Sasa badala ya kukupa muongozo jinsi ya kuliepusha lisitokee yeye anajikalia tu kimya.
Very pathetic!
Atuambie 2025 Rais ni naniWakuu habarini za wakati huu...
Niliwahi kuleta Uzi humu kuhusu mchumba wangu ambaye ni Mcha Mungu, bikira, mpole, mkarimu, mzuri n.k.
Nimegundua kwamba huyu mwanamke ana karama ya unabii pia (muonaji). Zamani manabii waliitwa waonaji.
Kwanini nimefikia hii conclusion? Mjomba wangu alikuwa anaumwa, yaani kaka yake mama yangu. Siku Moja kabla ya kifo cha mjomba wangu, mchumba wangu akanipigia simu kunimbia anaona huzuni KUBWA Kwa mama yangu, kesho yake mjomba akafariki, kweli mama aliumia sana!
Mimi ni Wakili, nilikuwa na kesi Tanga Jana, kabla sijaondoka akanipigia simu kuniambia anaona vita KUBWA kwenye hiyo kesi, na ananiona Niko hospitalini! Baada ya kesi, ule upande wa pili wakaniomba tuonane nje ya Mahakama nikiwa na mteja wangu ili tufute kesi tuyazungumze, kweli tukaenda kuonana nao, nikawekewa sumu kwenye kinywaji changu, nikapelekwa hospitalini kweli na nikalazwa, Sasa hivi ndio wameni-discharge.
Hayo ni machache tu kati ya mengi. Ama kweli, ukimtanguliza MUNGU mbele HUWEZI kuikataa taasisi ya NDOA. NDOA ni baraka.
Huyu nikimuoa inabidi niwe makini sana
Muwe na jioni njema.
Unakuwaje wakili mjinga hivi ,unaendaje kunnywa mipombe na watesi wako
Kuna Demu alinitabiriaga kitu aliota kuhusu mimi akaniambia sali nikapuuzia yaliyonikuta hawa watu siwapuuzii aiseeBinafsi naogopa Sana watu waonaji( watabiri)
Yaani unakuta mtu anakutabiria kwamba utakutwa na Jambo zito Sasa badala ya kukupa muongozo jinsi ya kuliepusha lisitokee yeye anajikalia tu kimya.
Very pathetic!
Mteja wako yeye kafikwa na majanga gani?.Kinywaji ni complex term, ndani yake Kuna maji, pombe, juice n.k.
Akili yako mbovu ndio imekufanya uwaze kwamba kinywaji nilichokuwa nakunywa ni pombe.
Kwa akili hizi ni lazima CCM iendelee kutawala.
Au nitumie no yako ili ujumbe wangu ufike au email hebu chagua mana jobless tunataka mtu kama huyo aone Kuna nn hapa katikati ili tujue mda bado au Kuna kitu.
Very brilliant observation!Mzee shida wanaonaga vitu halafu hawana uwezo wa kuvizuia, eg alimuona mama ake ana huzuni, ila asingeweza zuia kifo cha kaka ake,
Alimuona jamaa hospital, ila hata hakujua alienda hospital kwa kuumwa ah kurogwa
Hizi ni zile DIVISION 5 enzi za Kikwete. Huwa wanakurupuka sana kujipapatua. Msamehe tu. Ndo madogo wa miaka hii uelewa wao ni shida sana. Ndo maana wanaishia kuwa mabwabwa.Kinywaji ni complex term, ndani yake Kuna maji, pombe, juice n.k.
Akili yako mbovu ndio imekufanya uwaze kwamba kinywaji nilichokuwa nakunywa ni pombe.
Kwa akili hizi ni lazima CCM iendelee kutawala.
Sawa.Hapana, wewe ndiye umetuletea habari za unabii hapa.
I just called you out on that.
Ww ni kijana smart sana! Lkn binti wa miaka 21 anakufanya uonekane huna mifereji ya akili
Duh! Aisee!Kuna wanaipewa na njia ya kuzuia ila ukimwambia mtu haamini, basi unaacha lipite
Mwaka jana mwezi km wa 3-4 nilimuotea ndg yangu akiuawa kwa risasi mazingira ya kazini kwake, niliposhtuka nikasikia sauti ndani yangu ikisema nimpe tahadhari abadili tabia zake hasa watu wa kazini kwake ama la watamuua, nikamwambia akapuuza mwaka huu mwezi wa 2 katikati amefariki kwa ajali ya kutatanisha
binafsi nimekupata. zaidi sana umenikumbusha neno la kwenye kitabu cha Marko "... hata mkinywa kitu cha kuwafisha hakitawadhuru".Wakuu habarini za wakati huu...
Niliwahi kuleta Uzi humu kuhusu mchumba wangu ambaye ni Mcha Mungu, bikira, mpole, mkarimu, mzuri n.k.
Nimegundua kwamba huyu mwanamke ana karama ya unabii pia (muonaji). Zamani manabii waliitwa waonaji.
Kwanini nimefikia hii conclusion? Mjomba wangu alikuwa anaumwa, yaani kaka yake mama yangu. Siku Moja kabla ya kifo cha mjomba wangu, mchumba wangu akanipigia simu kunimbia anaona huzuni KUBWA Kwa mama yangu, kesho yake mjomba akafariki, kweli mama aliumia sana!
Mimi ni Wakili, nilikuwa na kesi Tanga Jana, kabla sijaondoka akanipigia simu kuniambia anaona vita KUBWA kwenye hiyo kesi, na ananiona Niko hospitalini! Baada ya kesi, ule upande wa pili wakaniomba tuonane nje ya Mahakama nikiwa na mteja wangu ili tufute kesi tuyazungumze, kweli tukaenda kuonana nao, nikawekewa sumu kwenye kinywaji changu, nikapelekwa hospitalini kweli na nikalazwa, Sasa hivi ndio wameni-discharge.
Hayo ni machache tu kati ya mengi. Ama kweli, ukimtanguliza MUNGU mbele HUWEZI kuikataa taasisi ya NDOA. NDOA ni baraka.
Huyu nikimuoa inabidi niwe makini sana
Muwe na jioni njema.
Nmeambiwa na shem member atakayepita bila kulike atalala akute amelalia kitu kama moja