Mchumba wangu ameamua tuachane

Cha msingi kaka fikiria kutafuta ela tu mapenzi siku hizi hayana mjuzi wala formula, ila mtoto husiache kumlea ata ukipata kumi we mtumie tu maana hasije kumuambia ata mtoto kuwa baba yako ndio alitukimbia hawachelewi hawa.
Ukimtumia hela si ndo watakula wote na baba mwingine? Subiri amlishe afike miaka 7 nawe uchukue jukumu la kumtunza. Mpaka akue... Mnagawana miaka tu ya kulea.. Matunzo ni jukumu la baba na mama..
 
Nimecheka sana hope ingekuja kwetu hiyo
 
Aisee! Hivi kumbe na wanaume huwa mnalia mkiachwa??? Duh! Kijana! Katafute pesa acha uboya! Mwenzako keshakuona we fala yaani mzigo hamlingani ! Na unavyotoa michozi ndo kabisaaa anakuona duanzi!khaa! Skia,usimtafute ,tafuta pesa!tena uondoke huko nyumbani kwake! Mpotezee akishavurugwa huko atarudi na magoti juu! Eboh!
 
We as men think differently, mwanamke akikuzingua unampotezea yeye na mtoto wake ingawaje na we ni mtoto wako.
Na mwanamke ukimfeel unamtake care ye na mtoto wake hata kama mtoto sio wako.
Still you didn't answer my question what the child has to do na mistake ya Huyo Dada? I think the baby has to be left out of this crazy mess na jamaa has to take care of that baby since the child is his .. Thanks..
 
Ukimtumia hela si ndo watakula wote na baba mwingine? Subiri amlishe afike miaka 7 nawe uchukue jukumu la kumtunza. Mpaka akue... Mnagawana miaka tu ya kulea.. Matunzo ni jukumu la baba na mama..
Si lazima ela ata mavazi yanatosha, ela ya matumizi kwa mtoto unaweza kutuma kiasi kidogo. Yeye hasiangalie anakula na nani hiyo Pesa.
 
Kama hayajawahi kukukuta unaweza kutoa kebehi na dharau za aina yoyote lakini kwa tunaojua nini mapenzi tunaumia sana tunapoona yanamtokea mtu,mapnz yana nguvu sana jamani,but no way out ishatokea jamaa,piga moyo konde kwa sasa,angalia kitu unachopenda uwe nacho bize ili kuondoa stress,after the time utasahau kila kitu na maisha yatasonga,huwezi jua MUNGU mkuu kakuepusha na nini,using'ang'anie.
 
kwanza sali mpe Mungu shida zako nae atakutatutllia matatizo yako. halaf malipo nibhapa hapa duniani kupunguza mawazo najuabulimpenda sana ila usiwaze Mungu atakupatia mwingine tena wakukujali kabisa mwambie akupe mtoto umleee kwani ndio faraja yako akikataa nenda kadai haki yako mahakamani. pia jichanganye upoteze mawazo kula mziki na burudani bro ucjali utampata mdada atakufufa machozy tuu. sa nyingine wanawake ni kama mapepo pia kwa level yako huoni kakuacha sna mbali so anataka wa levo zake wala usilie ni kawaida ukiona umekaa nae sana. jua ana kipaji chamsingi we mbato rafi then songa mbele hawa nibwakutuliwaza usimtegemee mtu mtegemee Mungu tuu. damn this bichez are so complicated.
 
Amekwambia form 4 harafu we unaandika kiswanglish... Utakuwa unamsaidia kweli?
english yake simple sana hii mimi mwenye STD 7 lkn namsoma fresh ila sionagi sababu ya kingereza wakati thread imeandikwa kwa kiswahili.
 
Nimeupenda sana ushauri wako.,
 
Ila jamani mapenzi yanauma mno mno kuliko ambavyo mtu unaweza kufikiria ila jipe muda utasahau tu na utaendelea na maisha yako,jipende,jitunze na jithamini wewe kwanza.
 
Elimu ndogo kwa mwanaume na mkwanja hakuna, uhusiano hauwezekani.
 
Sasa keshakumwaga bado unang'ang'ania nini? Wewe ni bure kwake ndo maana pamoja na kugombana kwenu hakuwa na muda na wewe. Mambo ya kufanya ni mengi, pengine waweza kuwa unalia sababu uliwah kuwa moja ya nguzo yake kipindi yupo chuo. Ndugu "Mara nyingine huwa tunatumika kama madaraja kuwafanya tuwapendao au tuliowasaidia kufika pahala na kukutana na waliokusudiwa ingawa huwa tunaishia katika uchungu na majuto mengi." Angalia upande mwingine wa maisha, na ikibidi mchukue mtoto mkapime DNA ili uwe na uhakika kuwa ni wako.
 
Me wallaa ckujibu[emoji83]
 
Tumia kichwa kikubwa mkuu, ndo ushaachwa hivyo anza kusaka hela kwa kutumia hasira hizo ukizipata tu utaona nyota yako inavyowaka
 
Tatizo la ilimu duni linawatesa sana vijana wengi katika mahusiano, lakini dokta mwaka ni suluhisho... Kama vp mpotezee. Tafuta unayelingana naye kielimu huenda mkaenda sawa... Pole sana mwana. Yote hayo ni mapito ya dunia hii...
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…