Ukimtumia hela si ndo watakula wote na baba mwingine? Subiri amlishe afike miaka 7 nawe uchukue jukumu la kumtunza. Mpaka akue... Mnagawana miaka tu ya kulea.. Matunzo ni jukumu la baba na mama..Cha msingi kaka fikiria kutafuta ela tu mapenzi siku hizi hayana mjuzi wala formula, ila mtoto husiache kumlea ata ukipata kumi we mtumie tu maana hasije kumuambia ata mtoto kuwa baba yako ndio alitukimbia hawachelewi hawa.
Wanawakataa sababu mkiachwa kisomi hamuelewi mnaanza kulialia...Hahahaaaa....lakini ni kwanini nyinyi wanawake wasomi manatukataa sisi tusiosoma.....??
Nimecheka sana hope ingekuja kwetu hiyoKuna wizara mpya imeanzishwa na raisi mwenye kasi ya ajabu nayo ni wizara ya Mapenzi, Uchumba, Kuoana na taraka.
Waziri mwenye dhamana Siku ya kwanza tu alipoteuliwa alilia sana maana alikuwa na uchungu na watu wanavyopigana chini.
Ameahidi kufuta mitandao ya kijamii na kuondoa bundles (mb's) ili watu wasiwe na access na mitandao.
Amesema kuwa kwasasa hata ukiwa na smartphone haitakuwa na kazi zaidi ya kupiga picha.
Amewataka wanaonunua simu za gharama kuacha maramoja maana ndio chanzo cha migogoro kwenye mahusiano. Amesema ni bora MTU akanunua simu za promosheni au tecno, huawei na itel ambazo hata ukitaifishwa na mamlaka haitakuuma sana.
Pia amesema kuanzia sasa hakutakuwa na taraka maana kama watu walikubaliana na kufunga ndoa wenyewe kwanini waachane. Alisema kama wanandoa hawa walitongozana, wakakubaliana, wakachunguzana, wakapelekana gest na maghetoni wakaonjana baadhi yao na baadae wakataarifu wazazi kuwa wanataka kuoana iweje Leo watake talaka? Hayo ni matuminizi mabaya ya rasilimali ubongo.
Ni huko nchi za nje!
Still you didn't answer my question what the child has to do na mistake ya Huyo Dada? I think the baby has to be left out of this crazy mess na jamaa has to take care of that baby since the child is his .. Thanks..
Si lazima ela ata mavazi yanatosha, ela ya matumizi kwa mtoto unaweza kutuma kiasi kidogo. Yeye hasiangalie anakula na nani hiyo Pesa.Ukimtumia hela si ndo watakula wote na baba mwingine? Subiri amlishe afike miaka 7 nawe uchukue jukumu la kumtunza. Mpaka akue... Mnagawana miaka tu ya kulea.. Matunzo ni jukumu la baba na mama..
english yake simple sana hii mimi mwenye STD 7 lkn namsoma fresh ila sionagi sababu ya kingereza wakati thread imeandikwa kwa kiswahili.Amekwambia form 4 harafu we unaandika kiswanglish... Utakuwa unamsaidia kweli?
Nimeupenda sana ushauri wako.,Dear If I was you ..as bitter as it is ningeshukuru Mungu for the everything .. Huyo hakuwa wako my Kaka subiri wako anakuja.. Just move on by taking a time off on dating for a while .. Take care of your child with all your heart .. Invest your time on Praying, your child and work.. Na God will heal you.. Dont worry huyo yakimmshindwa mbona atakukumbuka na kurudi kwa kasi kwako.. But never take her back because hakuthamini Upendo wako bali alithamini money , forget her dear , she is not worthy for your tears to come out ... Nakuhakikishia she will pay for your tears huko ataaishia kuchezewa na kupotezewa muda .. Why? For what she did to you.. Unajua ni bora MTU akucheat , au ku lie then can do that the way she did.. But you didnt ... Ni wivu tuu wa kummpenda ... Sasa wait the outcome yake ya ku reap for what she sowed .. Soon it will come .. Pole sana... Thanks..
Elimu ndogo kwa mwanaume na mkwanja hakuna, uhusiano hauwezekani.I think tunatofautiana as human being from different backgrounds... Some women ni ulimbukeni unawasumbua tuu.... That's all I can say .. Kuna some women I know wamekwenda shule zaidi ya waume zao walioolewa nao na huwezi juwa if their husbands wako chini in education . they just let Love lead .. So it depends . Malezi pia na maisha ya kuiga yanachangia kwa hili.. Thanks
Me wallaa ckujibu[emoji83]Ndugu zangu mm ni kijana miaka 30,elimu yangu ni kidato cha 4. nina mchumba ambaye ukweli nnapenda sana, nimekuwa nae kwenye mahusiano, kuanzia 2014 alipo maliza tuu degree ya uhasibu pale tia, nilikutana nae mtaani tuu ndipo mahusiano yakaanza.
Tumebahatika kupata mtoto wa kike 19. 10 2015, mwenzagu kwa sababu anavyeti alikuwa amesha apply kazi sehemu tofauti tofauti na bahati nzuri 2015 alipata kazi selikarini. Alipo pangiwa sehemu ya kazi ikabidi tukubaliane mm nimfuate, ingawa kipindi hicho nilikuwa na umachinga wangu Dar, kweli baada ya miezi kadhaa mm niliamua kumfuata mpenzi wangu ili tuishi pamoja, maisha yamesonga ingawa mikwaruzano ya hapa na pale ni mingi tumeishi hivyo hivyo.
Mwezi wa kwanza walipewa maelekezo na tasisi waende kusoma, Short courses ya miezi 4, ameenda na mtoto baada ya wiki akamuachisha mtoto ziwa ili awe na muda mzuri wa kusoma mtoto akampeleka kwa bb yake huko huko dar. Kwa hili mm niliona ni sawa ili awe na muda mzuri wakujisomea maana mwisho wa siku wafanye tena mitihani.
Tulikuwa tunawasiliana vizuri tuu. Muda wowote ule, baada ya wiki tatu, ndipo matatizo yalipoanza, kuna siku nilimpigia simu zote mbili zikawa hazipatikani, sikujua shida ni nini kwa sababu tulikuwa tumeshazoeshana kujulisha kwa kila hali mm hiyo siku nilipaniki nilipiga simu usiku mzima simu zikajapatikana saa 3 asubuhi kumuuliza anasema ziliisha chaji, wakati huo huo, usiku niliingia WhatsApp niliona last seen yake ilikuwa saa8:43 usiku.
Nilishidwa kuelewa, nilimtukana sana kwasababu ya hasira ila yy akawa ananicheka, nilimuambia kuongea na mm lazma anipe sababu za kuridhisha sikumuamini kwa sababu ya kuonekana online usiku.
Sikumtafuta nikiamini kwamba lazima anitafute angalau aniombe msamaha, imepita miezi 2 bila mawasiliano, nimekuja kusitukia sasa mm nnahitaji mawasiliano nae tayari yupo kwenye uhusiano mwingine huko huko chuo eti ameshachoka kusubili hasira zangu ziishe, na ananitamkia wazi hataki tena kuishi na mm sababu sijamtafuta miezi 2, nimelia sana nmemuomba mm kama nilikosa anisamehe aachane na jamaa hataki anasema nimeshachelewa kusolve tatizo.
Nnapiga cmu anakata nnatuma sms hazijibiwi, na hadi fb ameandika ameingia kwenye uhusiano mpya. Ndugu zangu nnalia sijui cha kufanya, ukweli nnampenda sana.
Kwa nn mkuu?Me wallaa ckujibu[emoji83]
Watoto design hii wwapo wengi humu wanalialia tuu. So ucpoteze nguvu zako. KuwwaJibu zezeta domo zege kama huyu mbugilaMe wallaa ckujibu[emoji83]
Kwa nn mkuu?
Kanivumilia kivipi mkuu, kosa langu liko wapi hapo?Kijana acha kulialia nenda darasani, kakuvumilia sana uchumba gani huo!