Totos Boss
JF-Expert Member
- Dec 30, 2012
- 5,456
- 1,569
Rafiki yangu amelazimishwa kuoa mke mwenye siafa tofauti na matarajio yake katika suala la maisha ya ndoa.
1. Mkubwa kwa miaka 2 kuliko mume
2. Mwanajeshi wa JWTZ
3. Mume itamlazim kuhamia Kigamboni toka Morogoro mke yupo kikazi au awe mabli nae hadi likizo.
Hali hii inampa wakati mgumi kaomba ushauri tumsaidieje
1. Mkubwa kwa miaka 2 kuliko mume
2. Mwanajeshi wa JWTZ
3. Mume itamlazim kuhamia Kigamboni toka Morogoro mke yupo kikazi au awe mabli nae hadi likizo.
Hali hii inampa wakati mgumi kaomba ushauri tumsaidieje