Kinyau
JF-Expert Member
- Nov 24, 2006
- 910
- 703
Tigga,
Duh inaonyesha wewe sio mvumilivu hata kidogo, nakusihi ujitafakari upya kama maisha unayoyaenda utayamudu. Kuna changamoto nyingi sana, sembuse hili. Mimi nilikuwa na case kama yako- kabla ya ndoa mchumba akapata mimba. I was extra extra extra happy. Baada ya wiki 2 sasa zile effect zikaanza- full kutapika, kichwa , kizunguzungu. Ila in all that i was happy. Alikuwa mama anatapika hadi anaishiwa maji na analazwa, mzee mzima nachukua off kumhudumia. alikuwa hapendi wageni, hapendi kelele, (tunanongonezana) etc. Ila nilimchukulia taratibuuuuuu. Akitapika nazoa , akitaka chakula ntatafuta, tena anaweza omba kuku-ukahangaika kumtafuta na ukimleta tu anasema sio kuku tena ni mbuzi !!! . Ukaribu wangu ulijenga sana mahusiano yetu , alipokuwa miezi 5 preg tukafunga ndoa.
Kwa hiyo kama unaona kutapika ni kujifanyisha ,bado kuna mengi. Maana akijifungua lazima usaidie kubadili nepi/pampers. Utabeba mtoto akilia, utamfulia hadi nguo za ndani akiwa bado mzazi.
Be responsible bwana.
Duh inaonyesha wewe sio mvumilivu hata kidogo, nakusihi ujitafakari upya kama maisha unayoyaenda utayamudu. Kuna changamoto nyingi sana, sembuse hili. Mimi nilikuwa na case kama yako- kabla ya ndoa mchumba akapata mimba. I was extra extra extra happy. Baada ya wiki 2 sasa zile effect zikaanza- full kutapika, kichwa , kizunguzungu. Ila in all that i was happy. Alikuwa mama anatapika hadi anaishiwa maji na analazwa, mzee mzima nachukua off kumhudumia. alikuwa hapendi wageni, hapendi kelele, (tunanongonezana) etc. Ila nilimchukulia taratibuuuuuu. Akitapika nazoa , akitaka chakula ntatafuta, tena anaweza omba kuku-ukahangaika kumtafuta na ukimleta tu anasema sio kuku tena ni mbuzi !!! . Ukaribu wangu ulijenga sana mahusiano yetu , alipokuwa miezi 5 preg tukafunga ndoa.
Kwa hiyo kama unaona kutapika ni kujifanyisha ,bado kuna mengi. Maana akijifungua lazima usaidie kubadili nepi/pampers. Utabeba mtoto akilia, utamfulia hadi nguo za ndani akiwa bado mzazi.
Be responsible bwana.