Hapo namba 6 ulipoanza na "sitaki wale" nimeshaanza kupata picha ukoje...Wanawake huwa tunatongozwa, ila tu niseme ukweli hata sisi tunavigezo vyetu ambapo familia huwa inaanza kutufundisha pindi tunapo balehe. Bila hivyo vigezo, inakuwa kazi sana, na ndio unajikuta unakuwa na mtu mradi tu upo nae, ila moyoni unamawazo na sonono.
Kila ukimuangalia uliye nae, unawaza, "ntatokaje hapa?" maana hana ramani kabisa na vitu vya msingi kama baba wa baadae. Nimemuelekeza vitu vya msingi kwenye mahusiano, lakini naambulia ugomvi na ata kuambiwa tuachane. Baadaye, anajirudi tena, unadhani kapata somo, lakini bado yupo vilevile.
Sasa, kwakuwa sisi ndio husubiri kutongozwa, na kuna vitu tunavyovipima kwa anayetuongoza, tunabaki tupo kwenye uhusiano huku tukiwa na sonono. Uku mtaani, nimechoka. Sasa aje anayeweza hivi vigezo.
1/akubali kupima magonjwa hasa HIV na asiwe mume wa mtu au mwenye familia.
2/akubali kulea familia kuanzia tumboni kama tukijaaliwa.
3/akubali nifahamike kwao sio unanitambulisha kwa maworkmate/ mama au baba wa rafiki zako tu.
4/watoto wajulikane hadi kwao sio mama au baba ye ndo anafunga safari kuja kutuonea kwenye tunapoishi halafu anaondoka hapana.
5/asiwe na gubu au mgomvi yaan ye kitu kidogo tu kasusa hataki kuzichanga akili zake katika kutatua jambo kwenye famili kama kichwa cha nyumba.
6/sitaki wale wa My wangu, pw, ok, tnx bby au nambie na kuomba vocha au niongezee hela nimepelea sijui akishanunua hata hukioni wala hujulishwi, au nasikilizia mchongo subiri nikusanye afumbilimbili itimie hao SIWATAKI napo sema siwataki elewa hata mimi sina uzembe wa kuombaomba kizembe hivyo nataka tutakae endana nae anajua jukum lake kama mume na mimi nijue jukumu langu kama mke.
7/mkristu asiye na mambo ya BET. aliyemaliza ujana wa mambo mengi age 35+, ajitegemee sio wakuishi chumba kimoja mnashare watatu kodi, pia awe mkazi wa moro au awe na uwezo wa kuwa anakuja kila wikiend kuona familia.
NB: swala la yeye kuja kuiona familia badala ya mimi nika kae nae au ndio niende hayo ni maamuzi yake mwenyewe na hata ndoa hayo ni maamuzi yake maana katika ndoa mwenye maamuzi ni mwanaume hivo hiko kipengele sikilazimishi.
nawasilisha.
Ndo maana mtaani kwako wamekushindwa tatizo kamdomoollWanawake huwa tunatongozwa, ila tu niseme ukweli hata sisi tunavigezo vyetu ambapo familia huwa inaanza kutufundisha pindi tunapo balehe. Bila hivyo vigezo, inakuwa kazi sana, na ndio unajikuta unakuwa na mtu mradi tu upo nae, ila moyoni unamawazo na sonono.
Kila ukimuangalia uliye nae, unawaza, "ntatokaje hapa?" maana hana ramani kabisa na vitu vya msingi kama baba wa baadae. Nimemuelekeza vitu vya msingi kwenye mahusiano, lakini naambulia ugomvi na ata kuambiwa tuachane. Baadaye, anajirudi tena, unadhani kapata somo, lakini bado yupo vilevile.
Sasa, kwakuwa sisi ndio husubiri kutongozwa, na kuna vitu tunavyovipima kwa anayetuongoza, tunabaki tupo kwenye uhusiano huku tukiwa na sonono. Uku mtaani, nimechoka. Sasa aje anayeweza hivi vigezo.
1/akubali kupima magonjwa hasa HIV na asiwe mume wa mtu au mwenye familia.
2/akubali kulea familia kuanzia tumboni kama tukijaaliwa.
3/akubali nifahamike kwao sio unanitambulisha kwa maworkmate/ mama au baba wa rafiki zako tu.
4/watoto wajulikane hadi kwao sio mama au baba ye ndo anafunga safari kuja kutuonea kwenye tunapoishi halafu anaondoka hapana.
5/asiwe na gubu au mgomvi yaan ye kitu kidogo tu kasusa hataki kuzichanga akili zake katika kutatua jambo kwenye famili kama kichwa cha nyumba.
6/sitaki wale wa My wangu, pw, ok, tnx bby au nambie na kuomba vocha au niongezee hela nimepelea sijui akishanunua hata hukioni wala hujulishwi, au nasikilizia mchongo subiri nikusanye afumbilimbili itimie hao SIWATAKI napo sema siwataki elewa hata mimi sina uzembe wa kuombaomba kizembe hivyo nataka tutakae endana nae anajua jukum lake kama mume na mimi nijue jukumu langu kama mke.
7/mkristu asiye na mambo ya BET. aliyemaliza ujana wa mambo mengi age 35+, ajitegemee sio wakuishi chumba kimoja mnashare watatu kodi, pia awe mkazi wa moro au awe na uwezo wa kuwa anakuja kila wikiend kuona familia.
NB: swala la yeye kuja kuiona familia badala ya mimi nika kae nae au ndio niende hayo ni maamuzi yake mwenyewe na hata ndoa hayo ni maamuzi yake maana katika ndoa mwenye maamuzi ni mwanaume hivo hiko kipengele sikilazimishi.
nawasilisha.
Atakua mchaga huyumbona kibabe sana? kama mtandaoni tu unaongea hivi je kwenye maisha halisi si ndo balaa? kuna mwanaume atayeweza kuishi na ww kweli?
Mkuu hapa unatomba unatembea mpaka akili imkae sawambona kibabe sana? kama mtandaoni tu unaongea hivi je kwenye maisha halisi si ndo balaa? kuna mwanaume atayeweza kuishi na ww kweli?
Huyu ni feminist,inaonekana ana jeuri,kiburi na anajiamini kupita kiasi,hawezi kuji-submitt kwa mwanaume,si unaona mtaani kwake wamemshindwaIla hujasema phisical body. Upoje?
ila umeanza vizur kuanzia mwazo kama ni mkeka unatikisha tu.
utata umeanzia namba 6, hapo tutakimbia koz sio kila siku ntakua vizur mfukon. hyo kauri mwanaume anakuja kwako anajua kabxa naenda kua mtumwa.
Hapa mwishoni ndio nimekuelewa zaidi na hii ndio maana halisi Chapa Ilale. Isipokua haujaweka namba tu hapo ndipo ulipoacha kipengele mama la mama njoo PM vigezo vyote na masharti vimezingatiwa na nimetimizaNB: swala la yeye kuja kuiona familia badala ya mimi nika kae nae au ndio niende hayo ni maamuzi yake mwenyewe na hata ndoa hayo ni maamuzi yake maana katika ndoa mwenye maamuzi ni mwanaume hivo hiko kipengele sikilazimishi.
nawasilisha.
Muache aje kwa tunaaojiweza nyie vi Ben 10 tulieni nendeni TikTok kule mnafanya nini humu?Huyu ni feminist,inaonekana ana jeuri,kiburi na anajiamini kupita kiasi,hawezi kuji-submitt kwa mwanaume,si unaona mtaani kwake wamemshindwa
Wewe tulia hapo amesema mkeka umenyooka huo km vigezo huna kaa kushoto.Mkuu hapa unatomba unatembea mpaka akili imkae sawa
Leo ni sikukuu ya Wajinga duniani April Foolsmbona kibabe sana? kama mtandaoni tu unaongea hivi je kwenye maisha halisi si ndo balaa? kuna mwanaume atayeweza kuishi na ww kweli?
hamnapo mke hapoHuyu ni feminist,inaonekana ana jeuri,kiburi na anajiamini kupita kiasi,hawezi kuji-submitt kwa mwanaume,si unaona mtaani kwake wamemshindwa
unakua ni utumwa.. Utatumika vibayaMuache aje kwa tunaaojiweza nyie vi Ben 10 tulieni nendeni TikTok kule mnafanya nini humu?
Mkeka wa kibabe huo umenyooka Chapaunakua ni utumwa.. Utatumika vibaya
hehehehe haya bhana khira la kheriMkeka wa kibabe huo umenyooka Chapa
Sikuona hii bwashee😹🙌🏾Kabisa...namwinda Anastasia21 kwa sasa
Hatimae vicheko vimerudi baada ya matokeo ya Al Masry.Wanaume waoaji mkuje hapa, kuna fursa yenu adhimu.
NB: Kataa Ndoa hili haliwahusu, piteni km mnaaga maiti vile.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sent from my Infinix X669 using JamiiForums mobile app