Mchumba kutoka moshi

Hapo sasa....waulize wanaenda kazini kufanya nini!!!Kama hawaipendi wasihangaike kuitafuta!
Kuna mwana jamvi alisema "UKIONA KAZI KUFANYA KAZI,ACHA KAZI UONE KAZI"sasa cjui uchaga na hela vinaingiliana vipi,kwanh kariakoo waliopo pale wote ni wachaga? Aaah! samahanini kumbe hata YUDA ISIKARIYOTI ni mchaga. Haya usioe mchaga kumbe wanapenda pesa.
 
HAhaha hahahaha:) Unaenda kwanza kupimwa nguvu ya kiuchumi home!!! Akikuta mambo hayalingani standard alizoelekezwa nyumbani kwao ujue NDOA IMEYEYUKA!!! Hiyo ni FAMILY ECONIMIC STATUS ASSESSMENT
 
we wa juu hovyoo! Kwani wachaga wamekua waARABU? Humuoi binti yake mpaka uwe na SEMI za kutosha.
 
Habari wakuu,jamani naomba kufahamishwa jambo moja linalo nisumbua kichwa changu,
kuna binti mmoja mwenyeji wa kilimanjaro,nina mpenda sana na tumepeana ahadi ya kuishi pamoja katika maisha ya ndoa,
Tatizo ni kwamba ameniambia kwamba siwezi kwenda kwao kujitambulisha mpaka kwanza nimpeleke yeye kwetu,sababu anayonipa ni kwamba
kwao wapo mabinti watano,na baba mkwe yaani baba yake anawataka binti zake kwanza wapafahamu nyumbani kwa vijana wanaowapenda kabla hawaja waleta kwake ili atoe idhini michakato mingine iendelee.

sasa wakuu naomba kujuzwa hizi ni taratibu za wenzetu wachaga,au vp nisije kuwa napigwa changa la macho,

kwa wababa wenye mabinti je huo ni utaratibu ambao mwaweza kutumia ili kujilidhisha kwamba kijana anayeletwa na binti zenu ni muoaji au.

Mpenzi wangu bado yupo masomoni anahitimu mwezi wa saba
Wachagga wachumi sana, huyo baba yao kawaambia wafanye assessment za wachumba kwanza kabla ya kuwapeleka nyumbani, na mojawapo ni economic assessment. Sister yuko makini huyo. Anataka afike kwanza apate value ya assets zilizoko kwenu, ajue economic base, nk.
 
Habari wakuu,jamani naomba kufahamishwa jambo moja linalo nisumbua kichwa changu,
kuna binti mmoja mwenyeji wa kilimanjaro,nina mpenda sana na tumepeana ahadi ya kuishi pamoja katika maisha ya ndoa,
Tatizo ni kwamba ameniambia kwamba siwezi kwenda kwao kujitambulisha mpaka kwanza nimpeleke yeye kwetu,sababu anayonipa ni kwamba
kwao wapo mabinti watano,na baba mkwe yaani baba yake anawataka binti zake kwanza wapafahamu nyumbani kwa vijana wanaowapenda kabla hawaja waleta kwake ili atoe idhini michakato mingine iendelee.

sasa wakuu naomba kujuzwa hizi ni taratibu za wenzetu wachaga,au vp nisije kuwa napigwa changa la macho,

kwa wababa wenye mabinti je huo ni utaratibu ambao mwaweza kutumia ili kujilidhisha kwamba kijana anayeletwa na binti zenu ni muoaji au.

Mpenzi wangu bado yupo masomoni anahitimu mwezi wa saba
Nafikiri hizo ni taratibu za familia yao walizojiwekea.Kwa upande wa taratibu za kichaga za kimila,ni wazazi wake walitakiwa wafanye upelelezi wa siri kuijua familia yako(baada ya wewe kutuma mshenga,kabla hawajapokea posa yenu).Mara nyingi walichunguza kuna magonjwa ya kurithi kama athma n.k,uchawi na vitu vya namna hiyo.

Ila haya yalifanywa zamani wakati wanaoana wenyewe kwa wenyewe(siku hizi mchaga anaoa mhaya n.k),taratibu hizi hazifanyiki sana.
 
Hapo umeongea point. Umasikini au utajiri wa wakwe unakuhusu nini wakati nyie mwaenda kuanzisha familia yenu mpya. Ni wangapi wametoka family masikini na sasa hivi ni matajiri wakubwa? Ni wangapi wametoka family tajiri na wamedekezwa na sasa hivi wamefulia?

Hata mimi si mchaga ila kabila langu pia wazazi wanachunguza vitu sensitive kama magonjwa ya kurithi, koo za wachawi etc, si mambo ya pesa. Hata mimi nimeolewa na mtu wa kabila nyingine but still my parents waliuliza through their friends wa kabila la mume wangu. SI unajua mjini kuna kila kabila na mtu hakunyimi neno. Uchunguzi waweza fanyika hata kama ni mtu anayetokea mtwara na wewe watokea kigoma.


Nafikiri hizo ni taratibu za familia yao walizojiwekea.Kwa upande wa taratibu za kichaga za kimila,ni wazazi wake walitakiwa wafanye upelelezi wa siri kuijua familia yako(baada ya wewe kutuma mshenga,kabla hawajapokea posa yenu).Mara nyingi walichunguza kuna magonjwa ya kurithi kama athma n.k,uchawi na vitu vya namna hiyo.

Ila haya yalifanywa zamani wakati wanaoana wenyewe kwa wenyewe(siku hizi mchaga anaoa mhaya n.k),taratibu hizi hazifanyiki sana.
 
Hapo umeongea point. Umasikini au utajiri wa wakwe unakuhusu nini wakati nyie mwaenda kuanzisha familia yenu mpya. Ni wangapi wametoka family masikini na sasa hivi ni matajiri wakubwa? Ni wangapi wametoka family tajiri na wamedekezwa na sasa hivi wamefulia?

Hata mimi si mchaga ila kabila langu pia wazazi wanachunguza vitu sensitive kama magonjwa ya kurithi, koo za wachawi etc, si mambo ya pesa. Hata mimi nimeolewa na mtu wa kabila nyingine but still my parents waliuliza through their friends wa kabila la mume wangu. SI unajua mjini kuna kila kabila na mtu hakunyimi neno. Uchunguzi waweza fanyika hata kama ni mtu anayetokea mtwara na wewe watokea kigoma.
Well spoken nyumba kubwa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom