Mwanakili90
JF-Expert Member
- Nov 24, 2010
- 1,568
- 245
Kuna mwana jamvi alisema "UKIONA KAZI KUFANYA KAZI,ACHA KAZI UONE KAZI"sasa cjui uchaga na hela vinaingiliana vipi,kwanh kariakoo waliopo pale wote ni wachaga? Aaah! samahanini kumbe hata YUDA ISIKARIYOTI ni mchaga. Haya usioe mchaga kumbe wanapenda pesa.Hapo sasa....waulize wanaenda kazini kufanya nini!!!Kama hawaipendi wasihangaike kuitafuta!