Dr Lizzy
Platinum Member
- May 25, 2009
- 30,853
- 59,597
Wasamehe bure bana...hawajui walitendalo!Ipfo dako.
Wasamehe bure bana...hawajui walitendalo!Ipfo dako.
unataka kuoa mchaga???? poleeeeeeeeeeeeeee....................... hawana mapenzi zaidi ya pesa........ UTAKUJA KUNISIMULIA!!!!
Kweli Lizzy hawajui walitendalo ....wanakera kishenzi eti wachaga wanapenda pesa kuna m2 asiyependa pesa!!Wasamehe bure bana...hawajui walitendalo!
Hapo sasa....waulize wanaenda kazini kufanya nini!!!Kama hawaipendi wasihangaike kuitafuta!Kweli hawajui walitendalo ....wanakera kishenzi eti wachaga wanapenda pesa kuna m2 asiyependa pesa!!
elyo nyisembo tee rejao!yaaa!
elyo nyisembo tee rejao!yaaa!
Nashaanga!!!Hapo sasa....waulize wanaenda kazini kufanya nini!!!Kama hawaipendi wasihangaike kuitafuta!
unataka kuoa mchaga???? poleeeeeeeeeeeeeee....................... hawana mapenzi zaidi ya pesa........ UTAKUJA KUNISIMULIA!!!!
hahahahaha ....... KYASAKA! umemaliza kila ki2 mkuu!Nyisembo kapisa kama hauna kabati ya mbehoo!!!, Redio ya Picha!!! hatutaki kyasaka sisi:A S 114:
Habari wakuu,jamani naomba kufahamishwa jambo moja linalo nisumbua kichwa changu,
kuna binti mmoja mwenyeji wa kilimanjaro,nina mpenda sana na tumepeana ahadi ya kuishi pamoja katika maisha ya ndoa,
Tatizo ni kwamba ameniambia kwamba siwezi kwenda kwao kujitambulisha mpaka kwanza nimpeleke yeye kwetu,sababu anayonipa ni kwamba
kwao wapo mabinti watano,na baba mkwe yaani baba yake anawataka binti zake kwanza wapafahamu nyumbani kwa vijana wanaowapenda kabla hawaja waleta kwake ili atoe idhini michakato mingine iendelee.
sasa wakuu naomba kujuzwa hizi ni taratibu za wenzetu wachaga,au vp nisije kuwa napigwa changa la macho,
kwa wababa wenye mabinti je huo ni utaratibu ambao mwaweza kutumia ili kujilidhisha kwamba kijana anayeletwa na binti zenu ni muoaji au.
Mpenzi wangu bado yupo masomoni anahitimu mwezi wa saba
Mhhhhhhhhhhhhhmbyenyi nalenakane na kyasakakyo..chaaaa....apaaa rua mangi.
Mkuu duh! Ktk swala la mimba, wanawake hukosa ujanja! Ataenda!Mpachike mimba kwanza, then uone kama atatoa sharti hata moja :happy:
sasa wife si huwa nakuambia nikufundishe hutaki?Mhhhhhhhhhhhhh