Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 92,250
- 113,653
Na kuongeza kasi ya ukimwi, not to mention kaswende gono na machafuchafu mengine kibao!
Not if you wear the jimmy hat.....
Na kuongeza kasi ya ukimwi, not to mention kaswende gono na machafuchafu mengine kibao!
Mzozoooooooooooooooooo!!! Unataka mashine mpya??? Then iweje?? we ukipata utakayoridhika nayo songa mbele siku hizi cha peke yako hakuna kaka wala hizo mpya nazo utasaidiwa tu wadau hawana uvumilivu sana....
taratibu Mwana Mama... Wanikumbusha Kipindi Niko Kwa Mze Wa Shamba Pugu...
wanasema "isiyokuwasha hujailamba"
sasa wewe chichi imeshakuwasha na wewe ndo umejua utamu au uuchungu wake, so maamuzi ya mwisho mi naona unayo wewe na sisi ni watazamaji coz bado haijatuwasha..wakati unamtongoza hukutushirikisha.
so mi naona mjadala ufungwe.
Sijui hata nianzie wapi..... Ni takribani mwaka wa pili sasa nipo nae, na ni mwezi wa pili mwaka huu nilimtambulisha kwa wazazi wangu na ndugu kadhaa kuwa huyu ni "mchumba wangu mpendwa niliyependezwa nae". Baada ya hapo maisha yakatuweka mbali takribani miezi mitano, lakini tulikuwa tukiwasiliana mara kwa mara... Chako ni chako tu, nilianza kuhisi mabadiliko kwenye mawaasiliano yetu na hiyo iliniumiza kichwa sana, Mungu si athumani siku isiyokuwa na jina nikapata kalikizo, nikaamua ku pay a suprise visit huko kwao...mengi yakatokea lakini la muhimu niligundua kuwa mwenzangu alianzisha mahusiano yasiyo rasmi kama mawili, akakiri kuwa ni kweli amemegwa na hao washkaji kwa muda tofauti... Iliniuma sana zaidi aliponiambia kuwa mmoja kati ya hao jamaa alikuwa anafahamu kuwa yeye ni mchumba wa mtu na wakala njama kuwa mimi nisijue, kumbe hata nilivyokuwa napiga simu au kutuma msg alikuwa na jamaa yake tena anaipumulia... Amejuta sana na anadai haelewi kwa nini ali kwenda astray, nimepima moyo wangu nimeamua kumsamehe kwani bado nampenda lakini nashidwa kuishi na fact kwamba jamaa kadhaa baada yangu wamepita... Na nikifikilia zile promises alizokuwa ananipa kuwa ananipenda na kamwe hawezi kuni hurt, zinanifanya nimuone Muongo kwa kila kitu.... Nisaidieni wajameni...
Ni kweli Isiyokuwasha hujailamba..., lakini Mngojea masika shamba hata lilima!!! mimi nachohitaji si kuzungumzia nini kilichotokea na nini yule binti amefanya, nachohitaji kwa sasa ni kupata maoni, ushauri, wosia, nasaha,tambuzi,uzoefu,na hata tiba ya Ku OVERCOME THE FACT ndio maana nikaja hapa Barazani...... Ni hayo tu.
Pole sana kijana kwa yaliyokukuta,jambo la kwanza nakushauri ukapime ukimwi na la pili achana na huyu binti kama si hivyo raha ya siku moja itakupa majuto ya daimadogo nakushauri tena nenda kapime ukimwi.
kama unao "u decide to hang ur gloves" na utuachie game wakongwe.
la kama huna nakushauri kwa sasa uachane na maswala hayo na ukazanie maswala yako ya maisha.
kama mwenyezi mungu akipenda baadae atakupa mke mzuri na mtazaa watoto wazuri wa damu yako na mtajenga familia iliyo bora na yenye furaha.
narudia tena achana na mademu wataakuumiza kichwa.