DAR si LAMU
JF-Expert Member
- Mar 31, 2007
- 2,928
- 544
Data: 50% ya wake za watu wanamegwa nje ndo maana 50% ya wana ndoa ni HIV ++ve
..source of the data, please.
Data: 50% ya wake za watu wanamegwa nje ndo maana 50% ya wana ndoa ni HIV ++ve
Originally Posted by africa6666
Data: 50% ya wake za watu wanamegwa nje ndo maana 50% ya wana ndoa ni HIV ++ve
nakushauri anza mkuu, hawabadilikagi hao, tabia ni kama rangi ya ngozi huwezi kuibadili
Sijui hata nianzie wapi..... Ni takribani mwaka wa pili sasa nipo nae, na ni mwezi wa pili mwaka huu nilimtambulisha kwa wazazi wangu na ndugu kadhaa kuwa huyu ni "mchumba wangu mpendwa niliyependezwa nae". Baada ya hapo maisha yakatuweka mbali takribani miezi mitano, lakini tulikuwa tukiwasiliana mara kwa mara... Chako ni chako tu, nilianza kuhisi mabadiliko kwenye mawaasiliano yetu na hiyo iliniumiza kichwa sana, Mungu si athumani siku isiyokuwa na jina nikapata kalikizo, nikaamua ku pay a suprise visit huko kwao...mengi yakatokea lakini la muhimu niligundua kuwa mwenzangu alianzisha mahusiano yasiyo rasmi kama mawili, akakiri kuwa ni kweli amemegwa na hao washkaji kwa muda tofauti... Iliniuma sana zaidi aliponiambia kuwa mmoja kati ya hao jamaa alikuwa anafahamu kuwa yeye ni mchumba wa mtu na wakala njama kuwa mimi nisijue, kumbe hata nilivyokuwa napiga simu au kutuma msg alikuwa na jamaa yake tena anaipumulia... Amejuta sana na anadai haelewi kwa nini ali kwenda astray, nimepima moyo wangu nimeamua kumsamehe kwani bado nampenda lakini nashidwa kuishi na fact kwamba jamaa kadhaa baada yangu wamepita... Na nikifikilia zile promises alizokuwa ananipa kuwa ananipenda na kamwe hawezi kuni hurt, zinanifanya nimuone Muongo kwa kila kitu.... Nisaidieni wajameni...
Wanawake wazuri wako wengi tu kwanini uhangaike na msaliti. kwanini uumize moyo wako bila sababu. Achana naye, tafuta wengine yeye aendelee na hao wanaommega, kwa sababu wameshakushinda uweze. Uking'ang'ania watamega hata akiwa mkeo
..source of the data, please.