Jamaa bado ana nafasi ya kusamehe!
Hivi ni nani ambaye hupata demu bikira na kumuoa hapa mjini siku hizi. kwahiyo kila demu anakuwa amepigwa kimtindo katika life cycle yake kabla hajaolewa.Na bado watu huoa hao waliopigwa... Nani ambaye hufurahia kupata story ya maisha ya mapenzi ya mpenzi wake kabla hawajawa pamoja?
Je wana uhakika gani kuwa jioni wakati fulani hawatarejea kwenye mazizi yao ya zamani? Kuna tofauti gani hapo na kupiga au kupigiwa ukiwa katika pendo?
Wajua kupenda ni upofu... Jamaa amejua kuwa kamegewa, akatafakari akaona hawezi kuacha... Pia ameomba ushauri, akitegemea tumpe ule unaopelekea yeye kuendelea na mpenzi huyo! Hii ina maana kuwa jamaa amependa ile mbaya, na kwakuwa demu ameomba msamaha... basi na amsamehee... kwani ni nani aliye msafi?
Hivi ni nani ambaye hupata demu bikira na kumuoa hapa mjini siku hizi. kwahiyo kila demu anakuwa amepigwa kimtindo katika life cycle yake kabla hajaolewa.Na bado watu huoa hao waliopigwa... Nani ambaye hufurahia kupata story ya maisha ya mapenzi ya mpenzi wake kabla hawajawa pamoja?
Je wana uhakika gani kuwa jioni wakati fulani hawatarejea kwenye mazizi yao ya zamani? Kuna tofauti gani hapo na kupiga au kupigiwa ukiwa katika pendo?
Wajua kupenda ni upofu... Jamaa amejua kuwa kamegewa, akatafakari akaona hawezi kuacha... Pia ameomba ushauri, akitegemea tumpe ule unaopelekea yeye kuendelea na mpenzi huyo! Hii ina maana kuwa jamaa amependa ile mbaya, na kwakuwa demu ameomba msamaha... basi na amsamehee... kwani ni nani aliye msafi?