Mchumba anahitajika

Mm nmekwambia sio njia sahihi saana kutumia kutafta mchumba sasa tuchulie mfano akapatika kahama then ww uko arusha what would you do mkikutana na ikaonekana hakufai au kutumia picha za udanganyifu akasema ni yy but sio na umechoma mafuta kumfuata coz nachomaanisha hapa ni kuwa distant doesn't matter in love OK, but kama yuko karibu nawe and at least uwezo wa kumwona live upo haina shida

Nadhan hapo umenipata msomi mwenzangu
 
Usiwe mwoga kuchoma mafuta......
 
Hapa nilipo nafikilia kianzio cha kutafta mwenza lakin daah nipo dilemma sana but I wish one day yec thanx kwa kunipa moyo hopefully ntayafanyia kazi mawazo yako

Tjanx
 
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…