Mchuano wa 2030 ni Mwigulu vs Makamba

Mchuano wa 2030 ni Mwigulu vs Makamba

Sasa unavyosema uondoe nguvu ya hao watu una maana gani.

Hivi bila nguvu za hao watu MTU gani mzima mwenye akili timamu anaweza kumchagua Mwigulu asiye na uwezo hata wa kupresent hoja awe Rais na ni tahira gani anaweza mchagua Makamba form 4 failure awe Rais.

Hao wenye nguvu watawahitaji Mwigulu na Makamba kulinda masilahi yao na sio kwa uwezo walionao.

Ni Mara 100 achuguliwe Bashungwa kuliko hao jamaa.
 
Sasa unavyosema uondoe nguvu ya hao watu una maana gani,hivi bila nguvu za hao watu MTU gani mzima mwenye akili timamu anaweza kumchagua Mwigulu asiye na uwezo hata wa kupresent hoja awe Rais na ni tahira gani anaweza mchagua Makamba form 4 failure awe Rais.
Hao wenye nguvu watawahitaji Mwigulu na Makamba kulinda masilahi yao na sio kwa uwezo walionao.

Ni Mara 100 achuguliwe Bashungwa kuliko hao jamaa.
Kikubwa ni Aliweka mizizi ndie atakaechukua nchi
 
Hapo atakayefuata ni mkristo,tena mseminari,rejea Mkapa,alikua x-seminarian,ukija Ngosha,alikua mkristo,tena mseminari,atakayekuja lazima awe mkristo,mkatoliki tena mseminari.Kwasasa nguvu ya TEC iko wazi kabisa na wako macho kwelikweli.Walikua indirect,lakini DP WORLD imewaibua,nasasa watakua FRONT.Na ijulikane,hao TEC,wana watu wao kuanzia Ikulu hadi ngazi ya familia,bila kusahau hata misikitini,na huko kwenye madhehebu mengine,wakiitwa majina tofauti,lakini ni wakatoliki.
 
Kutoka sasa mpaka mwaka 2030 ni safari ndefu.
Miaka saba kwenye siasa ni mwendo mrefu mno.
Kuna vifo, maradhi, kashfa nk.
Wawili hao hata kama watakuwa hai na wazima wa afya, naamini mmoja wao au wote lazima wapate/ apate kashfa itakayo mtibulia mipango yake. Muda utaamua
 
Moderator shusha huu Uzi ni uongo na upotoshaji mkubwa Rais ajaye hayupo hapo😁

#nizamuyawagalatia#

Zingatia neno WAGALATIA😃
 
Back
Top Bottom