Mchezo wa Simba na Yanga kuchezwa tena, Mashabiki kurudishiwa tiketi zao

Hapo mwisho kama umesoma wamesema serikali ilikuwa na nia njema kusogeza muda wa mpira, Sasa sijui nia yao njema ambayo hawajaisema ni ipi kama inatambulika na kanuni na sheria za FIFA za serikali kutoingilia mambo ya TFF
Wanashindwa kusema maana wakisema ni Tanzania kufungiwa kuhusika na mpira. Itakuwa ajabu hata kusoma mechi inahairishwa kwa sababu ya kitabu cha kisiasa.

Naomba FIFA ifungie Tanzania, kusudi watu wafahamu siasa zina mipaka yake. Siasa zibaki kwenye mavikao ya chama, bungeni na ikulu.
 
Na TFF HAO HAO.waliosogeza muda wa mechi mbele tarehe 8 mkagoma.
Ndo HAO HAO watakuja kuwapangia tarehe nyingine ya mchezo na mtaenda kucheza.
Sasa mlikataa nini mnaenda kukubali nini?
timu kuongozwa na viongozi wahuni ndo SHIDA
Ndio mana Manara amewaita takataka. Minafiku. Yaan miandishi na michambuz yetu hovyooo kbsa. Na hii ni kwa kuwa elimu zao ni za chini mno. Ni div 4 na 0. Kama nadanganya hebu mtaje mwenye div ONE / TWO. O- level na A-level
 
Ukiangalia hilo andiko. Serikali inachonganisha TFF na Yanga! Au wanaitisha TFF asimbuguzi yanga je Yanga wako juu ya sheria?
Hapo wachambuzi takataka watakurupuka na wote watasema kitu kimoja.
 
Yanga watapeleka tu timu Uwanjani..Msola hana ubavu wa kuibishia Serikali labda akimbilie FIFA
 
Kama kweli waziri ulitoa hilo agizo na Yanga wakagoma na waliosalia wote wakatii, kwa nn sasa huyo mkosaji ndo mnambembeleza na kulazimisha makosa yawe ya TFF?! Je wizara iko chini ya yanga au yanga iko chini ya wizara?
 
Serikali imefeli sana, na gharama za mashabaki waliotoka mbali
 
Mbona naona kama ndio wanazidi kujiharibia FIFA, baada ya hicho kikao na kukubaliana.. kwa nini wasingewaacha TFF ndio watoe tamko,.kuliko wao kama wizara tena wakisema kabisa ni kwa Maelekezo ya Waziri mkuu aliyoyatoa Bungeni.

hapo FIFA hawawezi kutuchulia hatua?? kwa serikali kuingilia mambo ya mpira na ushahidi sasa uko wazi kabisa.

au walikua wanataka sifa ili kuonekana wao ndio wamesolve.
 
Mechi inarudiwa vipi wakati sheria inaitaka TFF kuipatia Yanga SC pointi tatu maana walifika uwanjani muda wa mchezo na Simba SC hawakutokea. Yanga SC nitawashangaa wakicheza huu mchezo.
🤣🤣🤣....mpira sio wa kila mtu mzee, baki kwenye kada unayofit.
Yanga wapewe point tatu na ni yanga hao hao walikaidi agizo la TFF🤣🤣.
Hizo point wanapewa na radio maria?
 
Yaani serekali imeamua kuingilia masuala la soka kienyeji enyeji hivi? Ngoja nicharaze barua yangu fasta kwenda FIFA ili spana zifanye kazi.
At least 2 years suspension hakuna kushirik mashindano ya kimataifa!
SERIKALI kuingilia maswala ya soka ni issue tofauti na hii, ht km serikali ingesimamisha ligi mpk mwakan still huko si kuingilia mwaswala ya soka ndio maana ni mara chzche sana utasikia nchi flan imefungiwa na FIFA kwa sababu ya serikali kuingilia maswala ya mpira, serikali nyingi tu zinaingilia mambo ya mashirikisho yao ya mpira lkn inakuwa ngumu kuprove kuwa ni kweli imeingilia so sio isse rahisi ivyo
 
Mbona naona kama ndio wanazidi kujiharibia FIFA, baada ya hicho kikao na kukubaliana.. kwa nini wasingewaacha TFF ndio watoe tamko,.kuliko wao kama wizara tena wakisema kabisa ni kwa Maelekezo ya Waziri mkuu aliyoyatoa Bungeni.

hapo FIFA hawawezi kutuchulia hatua?? kwa serikali kuingilia mambo ya mpira na ushahidi sasa uko wazi kabisa.

au walikua wanataka sifa ili kuonekana wao ndio wamesolve.
hii issue mbn haihusiani kabisa na Swala la serikali kuingilia mpira wazee, hapa utendaji binafsi wa TFF wala katiba yao haijaingiliwa na mtu yeyote kwa vyovyote vile, ingekuwa hvyo mbn nchi nyng zngekuwa znafungiwa na FIFA kila siku
 
Back
Top Bottom