Son of Gamba
JF-Expert Member
- Oct 26, 2012
- 4,358
- 6,077
Hukumu moja wapo Tanzania inaweza kufungiwa kushiriki michuano ya kimataifa kwa muda na hukumu hiyo itatutia akili sisi Watanzania na itapelekea wadau wa soka nchini kuibadilisha kabisa safu yote ya uongozi pale TFF.Hivi unaweza kutaja mkuu baadhi ya hukumu tunazoweza kupewa na Fifa na namna zitakavyoikomoa Tff?