Mchezo wa sabuni unanitafuna taratibu, naomba msaada niache

IMG_6601.jpg

Hicho nacho ni kifungo mkuu huwezi jifungua mwenye, nenda ukafunguliwe
 
Nikiwa na miaka 16 niliwahi mshuhudia jamaa yangu fulani akifanya punyeto (Masturbation) akanifundisha jinsi ya kufanya, nilipofanya mwishoni nilisikia raha moja ya ajabu sana, siku iliofuata muda ule ule usiku nikiwa peke yangu nikafanya tena na ndo ikawa mchezo wangu.

Baadaye nikiwa shule boading, pale Moshitech Sec niliwahi kukutana na jarida la FEMA, lilielezea kuwa punyeto/Masturbation kuwa haia madhara yoyote, baada ya kusoma hilo jarida basi niliongeza kasi ya kufanya.

Sasa imefikia mahali nisipo fanya hiyo kitu siwezi kulala, pia nishakuwa kwenye mahusiano sana, Ila ninapokuwa peke yangu huwa nafungua macho navuta picha ya wanawake nilio chapa huku nikifanya Masturbation, hata nikiwa kwenye mizagamuano nakuwa bao la pili nalitafuta kwa kuvuta kumbukumbu ya picha za x na pisi Kali zingine ili nieze pata bao.

Yaani hapa nilipofikia kwisha habari yangu, napambana sana kuacha Ila kila njia nayotafuta kuacha nafeli, wakuu JF nahitaji msaada wenu naachaje Masturbation.
Usipende kukaa peke yako.

Jiweke Karibu na Mungu

Oa.
 
Pole sana. Wengi tumepita huko pia. Ila jitahidi kuwa busy kiasi cha kuchoka sana, epuka kukaa peke yako muda mrefu bila kazi. Epuka kukaa mazingira yaliyokuwa yanakushawishi kupiga puchu, tafuta mwenza wako ambaye atakuhudumia muda ukihisi kuwaka.

Puchu ni salama lakini sio nzuri sana madhara yake ni muda mrefu mfano kutoona thamani ya mwanamke/mwenza, kupoteza kumbukumu, kujilaumu laumu kila unapomaliza tukio, hasira za mara kwa mara, kukosa ujasiri na mixed feelings sometimes ukiwa na mwenza wako yaani ile kujiuliza kama umepiga miti ya kutosha au umemuacha njiani na kujiuliza maswali yasiyo na majibu like nisingekuwa napiga puchu ningekuwaje au wengine ambao hawafanyi hii kitu wakoje n.k

Yote katika yote... ichukulie kama dhambi (kama unahofu ya Mungu) binafsi nilianza kuona kwa kupiga puchu najinajisi hivyo najizibia riziki, nikaanza kujipenda kwa kuacha hiyo dhambi. Sasa hivi hata nione porn siwazi puchu kabisa😃.

Haya ni mawazo yangu, sio ya kitaalamu. Naomba nisinukuliwe vibaya.
 
Ipo hivi hamna mwanaume ambaye hajawahi kupiga nyeto..mimi nlipiga sana nyeto had nkawa adicted yan nkipshana na dada mzur tu kosa..nipga nyeto hadi pumbu ya kushoto ilivimba baada ya kwenda hosptal nlipewa dawa na ikapungua ule uvimbe ila imekuwa ndogo tofaut na mwanzo kifupi m mlemavu..

Mbinu nilzotumia kuacha kwanza nafsi inabd ikiri toka ndan kwamba hutafanya tena,usikae peke yako mda mrefu..unavoenda kuoga usitumie mda mrefu..futa porn zote kwenye sim yako..Anza maisha mapya huku akili yako ikubal kutoka ndan kwamba its over..
Ulifanya kwa mda gani na jee, una mtoto.. mm hofu yangu kubwa ninkukosa mtoto
 
Ipo hivi hamna mwanaume ambaye hajawahi kupiga nyeto..mimi nlipiga sana nyeto had nkawa adicted yan nkipshana na dada mzur tu kosa..nipga nyeto hadi pumbu ya kushoto ilivimba baada ya kwenda hosptal nlipewa dawa na ikapungua ule uvimbe ila imekuwa ndogo tofaut na mwanzo kifupi m mlemavu..

Mbinu nilzotumia kuacha kwanza nafsi inabd ikiri toka ndan kwamba hutafanya tena,usikae peke yako mda mrefu..unavoenda kuoga usitumie mda mrefu..futa porn zote kwenye sim yako..Anza maisha mapya huku akili yako ikubal kutoka ndan kwamba its over..
Ipo hivi hamna mwanaume ambaye hajawahi kupiga nyeto..mimi nlipiga sana nyeto had nkawa adicted yan nkipshana na dada mzur tu kosa..nipga nyeto hadi pumbu ya kushoto ilivimba baada ya kwenda hosptal nlipewa dawa na ikapungua ule uvimbe ila imekuwa ndogo tofaut na mwanzo kifupi m mlemavu..

Mbinu nilzotumia kuacha kwanza nafsi inabd ikiri toka ndan kwamba hutafanya tena,usikae peke yako mda mrefu..unavoenda kuoga usitumie mda mrefu..futa porn zote kwenye sim yako..Anza maisha mapya huku akili yako ikubal kutoka ndan kwamba its over..
Mlemavu 😂
 
Nikiwa na miaka 16 niliwahi mshuhudia jamaa yangu fulani akifanya punyeto (Masturbation) akanifundisha jinsi ya kufanya, nilipofanya mwishoni nilisikia raha moja ya ajabu sana, siku iliofuata muda ule ule usiku nikiwa peke yangu nikafanya tena na ndo ikawa mchezo wangu.

Baadaye nikiwa shule boading, pale Moshitech Sec niliwahi kukutana na jarida la FEMA, lilielezea kuwa punyeto/Masturbation kuwa haia madhara yoyote, baada ya kusoma hilo jarida basi niliongeza kasi ya kufanya.

Sasa imefikia mahali nisipo fanya hiyo kitu siwezi kulala, pia nishakuwa kwenye mahusiano sana, Ila ninapokuwa peke yangu huwa nafungua macho navuta picha ya wanawake nilio chapa huku nikifanya Masturbation, hata nikiwa kwenye mizagamuano nakuwa bao la pili nalitafuta kwa kuvuta kumbukumbu ya picha za x na pisi Kali zingine ili nieze pata bao.

Yaani hapa nilipofikia kwisha habari yangu, napambana sana kuacha Ila kila njia nayotafuta kuacha nafeli, wakuu JF nahitaji msaada wenu naachaje Masturbation.
Kwann unataka kuacha na Jarida la FEMA linekujulisha hakuna madhara
 
Nikiwa na miaka 16 niliwahi mshuhudia jamaa yangu fulani akifanya punyeto (Masturbation) akanifundisha jinsi ya kufanya, nilipofanya mwishoni nilisikia raha moja ya ajabu sana, siku iliofuata muda ule ule usiku nikiwa peke yangu nikafanya tena na ndo ikawa mchezo wangu.

Baadaye nikiwa shule boading, pale Moshitech Sec niliwahi kukutana na jarida la FEMA, lilielezea kuwa punyeto/Masturbation kuwa haia madhara yoyote, baada ya kusoma hilo jarida basi niliongeza kasi ya kufanya.

Sasa imefikia mahali nisipo fanya hiyo kitu siwezi kulala, pia nishakuwa kwenye mahusiano sana, Ila ninapokuwa peke yangu huwa nafungua macho navuta picha ya wanawake nilio chapa huku nikifanya Masturbation, hata nikiwa kwenye mizagamuano nakuwa bao la pili nalitafuta kwa kuvuta kumbukumbu ya picha za x na pisi Kali zingine ili nieze pata bao.

Yaani hapa nilipofikia kwisha habari yangu, napambana sana kuacha Ila kila njia nayotafuta kuacha nafeli, wakuu JF nahitaji msaada wenu naachaje Masturbation.
Mkuu mimi na wewe hatuna tofauti. Nimejaribu sana kuacha ila badooo wanawake wote wazuri nishawala kwenye nyeto.
 
Back
Top Bottom