Mchezo wa mia kwa mia (100/100)

Mchezo wa mia kwa mia (100/100)

Mi hata sijaelewa mnachezajeeee

We nawe hebu soma maelekezo vizurii...yani hapa mwanamke anatoa 1 katika namba ya mwisho anayoikuta na mwanaume anajumlisha moja....wanawake tukitoa hadi ikifika 00 tumeshinda...
 
We nawe hebu soma maelekezo vizurii...yani hapa mwanamke anatoa 1 katika namba ya mwisho anayoikuta na mwanaume anajumlisha moja....wanawake tukitoa hadi ikifika 00 tumeshinda...

Mi hesabu nilipata F narudi umbeani huko nina A
 
We jishaue tu na tukishinda nisikuone unashobokea pilau letu...

Shogaaa juzi kati hapa tena kulikua na harusi ya shoga yangu mpenziii, mume mtarajiwa hajaumwa ghafla,ndoa tumeahirisha mpaka leo,sijui wachawii sijui mkono wa Mungu tu😕😕😕😕
 
Shogaaa juzi kati hapa tena kulikua na harusi ya shoga yangu mpenziii, mume mtarajiwa hajaumwa ghafla,ndoa tumeahirisha mpaka leo,sijui wachawii sijui mkono wa Mungu tu😕😕😕😕

Mhhh...au bwana harusi kapanick? ....ila uchawi upo...
 
Back
Top Bottom