Ndiho
JF-Expert Member
- Feb 23, 2013
- 2,306
- 1,531
Eddy labda anatoka Songea au Mtwara. Kwa mtu wa kanda ya ziaa au magharibi hawezi kusema hivyo. Wanyarwa na Warundi ni wa kuogopa sanaEddy naona huwajui Wanyarwanda! Pole sana,usicheke na Nyani wakati umeivisha mahindi!