Tabutupu
JF-Expert Member
- Nov 26, 2010
- 13,108
- 18,325
Ukiacha Kenya, Uganda ,Rwanda na DRC ni nchi ambazo zimekua zikichezeana michezo mibaya sana hadi kufikia kupigana vita kabisa, wanao fuatilia mambo haya wanajua.
M23 imepotea kwa msaada was majeshi toka tz pamoja na kuwa m23 inasemekana inauhusiano na Rwanda,
miaka michache tz na Rwanda tumekua maadui, Leo tumekua marafiki, wiki hii kabila amekutana na kagame pamoja na mseven.
haka kamchezo hakahitaji hasira, mgeni ni magufuli, sijajua atapewa namba gani acheze bila kupewa kadi ya njano kama siyo nyekundu.
Tanzania ina wahutu wengi kuliko watutsi na hao wahutu wanataka madaraka Rwanda.
M23 imepotea kwa msaada was majeshi toka tz pamoja na kuwa m23 inasemekana inauhusiano na Rwanda,
miaka michache tz na Rwanda tumekua maadui, Leo tumekua marafiki, wiki hii kabila amekutana na kagame pamoja na mseven.
haka kamchezo hakahitaji hasira, mgeni ni magufuli, sijajua atapewa namba gani acheze bila kupewa kadi ya njano kama siyo nyekundu.
Tanzania ina wahutu wengi kuliko watutsi na hao wahutu wanataka madaraka Rwanda.