Raynavero
JF-Expert Member
- Apr 29, 2014
- 38,413
- 55,987
hayo yako mm simooAu ulimchanganya akiwa ana kuangalia anapoteza mahesabu. Utakuwa ulishinda by default ukamchanganya adui
Hilo tatizo lisije na mimi likanioata siku ya mech yetu asee.
hayo yako mm simooAu ulimchanganya akiwa ana kuangalia anapoteza mahesabu. Utakuwa ulishinda by default ukamchanganya adui
Hilo tatizo lisije na mimi likanioata siku ya mech yetu asee.
hayo yako mm simoo
dogo hebu tulia...
Mbinu yako nimeigundua
Mind Destruction
Kabla ya mech unipe dakika 10 nikuangalie tuu kwanza, then tuna cheza
dogo hebu tulia...
nakupa one awa kabisa!
poa poa
Sawa hapo nakubal
Google imewaharibu sana aiseeInahitajika umakini tu.. hivi hili gemu la draft kwenye play (google) store lipo
Ha ha ha ha Mkuu iyo Ebola ndiyo ikoje?? Kuna jamaa hapa mtaani ananifunga sanaNjia rahisi ya kushinda huu mchezo unaenda mbele na kete tatu tatu. Lakini hivi juzi nilikutana na jamaa alikua na mchezo wake unaitwa ebola. Alinipiga nne firster mpaka nimejiuliza. Ni mchezo mzuri
yaani tulikuwa tunachuana na watu wa bao kwenye vijiweenzi hizo draft,bao ndo habari ya mjini
Sawa mkuu nmekusomaNdio mchezo wangu huo, najua sn draft ila kufundisha na ww ujue ndio shida labda ungekuwa karibu ningekufundisha mitego
Muhumi kinachotakiwa uone mitego ya mwenzio na ww ucheze kete nzuri huku unatega na ujue ukicheza hapa yeye atacheza pale na mm nitacheza hapa yani uone michezo ya hata mitatu ya mbele
Nchi nyingi wanacheza draft la kwenda mbele na nyuma, lakini kwa Tanzania yapo ya aina mbili, kuna hilo la mbele na nyuma na kuna la mbele tu
We ni mtaalamu wa lipi?
Ha ha ha ha Mkuu iyo Ebola ndiyo ikoje?? Kuna jamaa hapa mtaani ananifunga sana
Nipe formula na Mimi nisumbue watu hapa
Ha ha ha ha Mkuu iyo Ebola ndiyo ikoje?? Kuna jamaa hapa mtaani ananifunga sana
Nipe formula na Mimi nisumbue watu hapa
vipi kuhusu French style..tunakula mbele na nyumaMe ni mtaalamu wa kwenda mbele, na kingi ana uwezo wa kuruka. Linaitwa spanish