Nimeanza kuamini huenda ni kweli Simba ina hujumiwa

Labani og

JF-Expert Member
Sep 15, 2020
15,774
24,209
Kwa wale wenye macho ya kuona mbali kama sisi ( great thinkers) wa hapa jf nadhani atakubali Kuna kitu hakipo sawa pale mjini Simba Kwa fact zifuatazo:

1. Kila Simba ikianza kushine na kuanza kufanya vizuri....Kuna raia wanachomoa betri
Mfano kabla ya Nov 5 ...kabla ya Simba kula Simba ilikuwa na kikosi chenye confidence kubwa ...kiasi wananchi waliogopa ...lkn kilichotokea Hadi Leo hatuamini ....2nd half Simba ilipigwa 4
2. Ujio wa benchika Simba imeonakana kushine tena .. wydad kala zake 2 . mashabiki wameanza kufurahi .( Wakasema dhambi za onana wapewe wao)...wajanja wamechomoa betri Kwa Chama ..timu imerudi kwenye mgawanyiko Mechi ya kmc Simba kadondosha points

Kuna wataalamu wamekaa zao wanacheza draft ...na kete za Simba zinasukumwa kitaalamu kweli kweli

NB: tuseme tu ukweli ...kipindi hiki Yanga Iko vizr kiuchumi ...Simba ni ngumu kufurukuta .... Kwa soka la nje ya uwanja hapa TZ ( but Kwa michezo ya kimataifa wanaweza kuendelea kufanya vizuri
1703390691440.jpg
 
Kwa wale wenye macho ya kuona mbali kama sisi ( great thinkers) wa hapa jf nadhani atakubali Kuna kitu hakipo sawa pale mjini Simba Kwa fact zifuatazo:

1. Kila Simba ikianza kushine na kuanza kufanya vizuri....Kuna raia wanachomoa betri
Mfano kabla ya Nov 5 ...kabla ya Simba kula Simba ilikuwa na kikosi chenye confidence kubwa ...kiasi wananchi waliogopa ...lkn kilichotokea Hadi Leo hatuamini ....2nd half Simba ilipigwa 4
2. Ujio wa benchika Simba imeonakana kushine tena .. wydad kala zake 2 . mashabiki wameanza kufurahi .( Wakasema dhambi za onana wapewe wao)...wajanja wamechomoa betri Kwa Chama ..timu imerudi kwenye mgawanyiko Mechi ya kmc Simba kadondosha points

Kuna wataalamu wamekaa zao wanacheza draft ...na kete za Simba zinasukumwa kitaalamu kweli kweli

NB: tuseme tu ukweli ...kipindi hiki Yanga Iko vizr kiuchumi ...Simba ni ngumu kufurukuta .... Kwa soka la nje ya uwanja hapa TZ ( but Kwa michezo ya kimataifa wanaweza kuendelea kufanya vizuri View attachment 2851311
Kwa kuweka msisitizo umeambatanisha na picha yako
 
Kuna muda namuamin Genta aliyedai Mpishi wa Simba ndiye Mhujumu Na. 1 Anawapiga wachezaji dawa ya usingizi na Nusu Kaputi kwenye Vyakula siku za Mechi ili wakose nguvu.
Lkn pia kuna mambo meusi mnooo, fikiria zile nafasi anakosa BALEKE na Ntiba ambao last season walikuwa Top scorer unaona ni kawaida???? Viongozi wa Simba hasa MANGUNGU angejiondoa ili timu isonge mbele lkn vinginevyo hakuna jipya mgogoro ni mkubwa huo. Kubwa zaidi msimu huu Ubingwa ngumu tena.
 
Kwa kuweka msisitizo umeambatanisha na picha yako
Hapana mkuu hyo ni katuni .....imebeba ujumbe tusipende kuongea vitu kipindi tuna furaha kubwa
Mfano juzi Ahmed ally kawaambia makolo wamuombe radhi ayubu ....kapombe na tshabalala ....nao wakawaomba
 
Unataka kusema Ayoub alipewa maelekezo ya kuudaka vile ule mpira?
Hapana but Ile ni consequence ya migogoro ndani ya timu ....inawafanya wachezaji kupoteza molare.....

Mbna before ayubu alifanya saves za hatare ...mechi ya wydad
 
Simba na yanga ni doto na kulwa,akifanya vzr simba yanga lazima kuna shida and yanga akiwa wa moto then simba anateseka,it’s like US Kwa China/Russia hawawezi kua on the same page hatakidogo
 
Simba na yanga ni doto na kulwa,akifanya vzr simba yanga lazima kuna shida and yanga akiwa wa moto then simba anateseka,it’s like US Kwa China/Russia hawawezi kua on the same page hatakidogo
Nakubaliana naww mkuu
 
Tuseme mbio za ubingwa tuwaaçhie azam na yanga, sisi tujipange kwa msimu ujao, na kimataifa tuishie hapa turud nyumban maana tukivuka tutaenda kutia aibu huko, am done with you Simba.
 
Hapana but Ile ni consequence ya migogoro ndani ya timu ....inawafanya wachezaji kupoteza molare.....

Mbna before ayubu alifanya saves za hatare ...mechi ya wydad
Sasa nani chanzo cha mgogoro ndani ya timu? Yaani unagombana na mkeo alafu unasema kuna mtu anawafarakanisha, mnashindwa kusolve matatizo yenu wenyewe ndani kwa ndani?
 
Tuseme mbio za ubingwa tuwaaçhie azam na yanga, sisi tujipange kwa msimu ujao, na kimataifa tuishie hapa turud nyumban maana tukivuka tutaenda kutia aibu huko, am done with you Simba.
Ni mapema sana kukata tamaa
 
Sasa nani chanzo cha mgogoro ndani ya timu? Yaani unagombana na mkeo alafu unasema kuna mtu anawafarakanisha, mnashindwa kusolve matatizo yenu wenyewe ndani kwa ndani?
Puppetism pia inaweza play role yake mkuu
 
Kuna muda namuamin Genta aliyedai Mpishi wa Simba ndiye Mhujumu Na. 1 Anawapiga wachezaji dawa ya usingizi na Nusu Kaputi kwenye Vyakula siku za Mechi ili wakose nguvu.
Lkn pia kuna mambo meusi mnooo, fikiria zile nafasi anakosa BALEKE na Ntiba ambao last season walikuwa Top scorer unaona ni kawaida???? Viongozi wa Simba hasa MANGUNGU angejiondoa ili timu isonge mbele lkn vinginevyo hakuna jipya mgogoro ni mkubwa huo. Kubwa zaidi msimu huu Ubingwa ngumu tena.
Umri mkuu, umri. Jua lishazama ndio maana unaona wanapoteana msimu huu.
 
Kwa wale wenye macho ya kuona mbali kama sisi ( great thinkers) wa hapa jf nadhani atakubali Kuna kitu hakipo sawa pale mjini Simba Kwa fact zifuatazo:

1. Kila Simba ikianza kushine na kuanza kufanya vizuri....Kuna raia wanachomoa betri
Mfano kabla ya Nov 5 ...kabla ya Simba kula Simba ilikuwa na kikosi chenye confidence kubwa ...kiasi wananchi waliogopa ...lkn kilichotokea Hadi Leo hatuamini ....2nd half Simba ilipigwa 4
2. Ujio wa benchika Simba imeonakana kushine tena .. wydad kala zake 2 . mashabiki wameanza kufurahi .( Wakasema dhambi za onana wapewe wao)...wajanja wamechomoa betri Kwa Chama ..timu imerudi kwenye mgawanyiko Mechi ya kmc Simba kadondosha points

Kuna wataalamu wamekaa zao wanacheza draft ...na kete za Simba zinasukumwa kitaalamu kweli kweli

NB: tuseme tu ukweli ...kipindi hiki Yanga Iko vizr kiuchumi ...Simba ni ngumu kufurukuta .... Kwa soka la nje ya uwanja hapa TZ ( but Kwa michezo ya kimataifa wanaweza kuendelea kufanya vizuri View attachment 2851311
Kitendo Cha kuhisi Simba inahujumiwa, hiyo ndio hujuma yenyewe. Maana inawafanya wasifocus kwenye matatizo ya msingi, badala yake wanaanza kushikana mashati kumtafuta mchawi nani.

Simba wana matatizo mengi nje ya uwanja kuliko hata ndani. Moja kati ya tatizo kubwa la Simba, ni mashabiki wake. Mashabiki wengi wa Simba hawajui mpira, wao wanataka points 3 kwenye Kila mechi, bila kuangalia namna Gani hizo points zinaletwa. Timu haina number 9 wakueleweka, wanaletewa Manzoki wapige nae picha, wanafurahi kama washachukua ubingwa.

Hata Yanga huwa tunapoteana lakini sio kama hawa wenzetu. Ukiona Yanga tumepoteana, ujue chanzo kikubwa ni financially hatuko poa, hivyo inaathiri utendaji kazi wa wachezaji, ila kwa Simba ni tofauti. Wapo vizuri upande wa hela maana wafadhili wapo wakutosha, matatizo yao ni nje ya uwanja, viongozi na mashabiki.

Alafu kinachofanya Simba wahisi wanahujumiwa, ni kwamvile wao ndio wanaongoza kwa kuhujumu timu pinzani. Hakuna timu yenye hujuma hapa Tz kama Simba. Rejea misimu kadhaa nyuma kipindi Cha anguko la Manji kabla GSM hajaichukua timu. Hali ya uchumi tuliyokuwa nayo Yanga, Simba walianza kurubuni wachezaji wetu kiasi kwamba wakaanza kuonesha utovu wa nidhamu, Rejea issue ya Gadiel Michael na Ben Kakolanya, pia hata Tshishimbi (Tena huyu alianza hadi kuongea hadharani jinsi partnership yake na Mkude itakavyokuwa kali).

Ukiacha hao, Rejea Tena issue ya Morrison. Haya yote ndio yanawafanya wahisi na wao wanahujumiwa, ila kiukweli sidhani kama Yanga wanatime na mchezaji yeyote wa Simba kwasasa.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom