Mchezo wa draft

Duh!hizo dharau mkuu
 
Niliwah kwenda znz kuna sehem kuna kijiwe cha draft na bao LA kete pande za kwa mchina barabara ya kwenda kiembe samaki wanapaita sokoni
Wsle jamaa draft lao LA kawaida sana,tatizo ukiwa mgeni alafu unacheza na mwenyeji akikubana kwenye mchezo hatoi maneno ya kashfa,bali anafanya kama vile yupo anakula papuchi kitandani anakata mauno Mdogo Mdogo wew utashangaa watu wanacheka tu ilhali akili yako yote imezama kutafakari utachomoka vipi ktk hilo draft
 
Inakubidi uwe makini sana,Ukiweza kumpiga mpinzani wako.Tutusa"Mbara mbili.Jua game ni yako.Tutusa"Ni kula kete tatu kwa wakati mmoja.
 
Hakikisha unaweka chambo kizuri kumvutia mpinzani ili aingie kwenye huo mtego wako...hasa hakikisha huo mtego uwe wa kumpiga kete kuanzia tatu...na hakikisha mashambulizi yako yaongozwe na wachezaji kama wa simba ukiweka kama wayanga umekwisha kila siku utapigwa super
 
Hobi Yangu Namba 1 Ni Mchezo Wa Draft, Hata Kula Huwa Sikumbuki Kwenye Draft. uzuri wa draft hata kutazama tu ni burudani tosha, changamoto ni nature ya kazi yangu, kwa sasa ni nadra sana kucheza draft mpaka likizo ivi. miaka ya nyuma nimecheza Vijiwe Kadhaa Dar, Nilichogundua Vijana Wanaocheza Draft Dar Wamegeuza Draft Kama Kitega Uchumi, Wanacheza Kamari Sana! Kazi Yao Ni Kuchukua Copy Kwa Kina Juma Mchafu, Mangwerere na wakongwe wengine ili wapige hela, wengi wanakariri copy, kumbe draft ni hesabu zaidi. Wanasahau Kuwa Draft Ni Burudani Tofauti Na Mchezo Kama Mpira, Kibaya Zaidi Hawafikirii Alternative Ya Maisha, Hiki Ndicho Kilichonisikitisha Zaidi! Napenda Sana Mchezo Wa Draft Kwa Kweli
 
Moja ya mchezo ninao uhusudu ukitoka chess.
Ni simple tu... Draft linachezwa kwa copy na linacopy 12.
Kwa magwiji hawatumii tena copy ni mahesabu makubwa unabidi utumie otherwise utatoa suluhu nyingi na mpinzani wako.
Kwa kuanza download app ya draft kwenye simu yako ya kupyatila pyatila.
 
Mangwelele hajui sana siku hizi... Christiano Ronaldo yupo vizuri ila kuna hawa watu wanapatikana mbezi mwisho Mzee salehe (Mangwelele hutafuta sare kwa huyu mzee, ni fundi mno),James Mapigo na Jamaa mmoja anaitwa white.
Na mbeya kuna jamaa anaitwa teacher ndio bingwa wao anapatikana ilomba kwa mwakibete.
 
Ninayo draft moja kwenye PC yangu kuna mdada wa stage ya pili kila siku ananichapa Supa mpaka wife ananiulumia yani natafuta kijiwe nijipige msasa ili nipambane naye tena mpaka avue kyupi
 
Ninayo draft moja kwenye PC yangu kuna mdada wa stage ya pili kila siku ananichapa Supa mpaka wife ananiulumia yani natafuta kijiwe nijipige msasa ili nipambane naye tena mpaka avue kyupi
Halipo kwenye simu hilo draft?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…