Duh!hizo dharau mkuuDrafti ndio mchezo ambao ninaupenda sana.kwanza inatakiwa kuwa makini sana unachotakiwa ni kuangalia pande zote mbili ujue kumkaba mpinzani kiasi kwamba unajua mpaka kete atakayo cheza upungufu wa kete au wingi sio tatizo sana mimi kunawakati napanga 11mpinzani 12 lakini namfunga au droo.
Weekend uwe unatokezea buguruni kknapenda draft lakini sehemu nilipo hakuna mafundi
Ktk google playstore linapatikana kwa jina gani naomba. Nione kama kuna mpya yoyoteView attachment 454797
Hilo draft ni balaa
hili la kwenye play store ni la kiwango kidogo miye natafuta la kiwango kikubwa zaidiKtk google playstore linapatikana kwa jina gani naomba. Nione kama kuna mpya yoyote
Kweli kabisa nacheza kila saa nashinda tu nimemaliza levo zotehili la kwenye play store ni la kiwango kidogo miye natafuta la kiwango kikubwa zaidi
Yamejaaaaa teleInahitajika umakini tu.. hivi hili gemu la draft kwenye play (google) store lipo
Unafikiria sanaNikicheza draft kichwa huwa kinauma kinoma noma
Mangwelele hajui sana siku hizi... Christiano Ronaldo yupo vizuri ila kuna hawa watu wanapatikana mbezi mwisho Mzee salehe (Mangwelele hutafuta sare kwa huyu mzee, ni fundi mno),James Mapigo na Jamaa mmoja anaitwa white.Draft ni mchezo wa akili tu. Kuna formula (copy)nyingi tu. "Mguu wa jini, kilosa, five ball, kingi fala, na mingine. Mtu akikuwekea copy ya fiveball tayari yeye ana sare wewe utafute. Mguu wa jini ukiuingia hutoki. Kilosa huu mimi ndio naukubali, ni full msuli. Ukiuangalia unaona kila mtu ana nafasi ya kushinda. Ila mara nyingi aliyeanxa kucheza anashinda.
Hawa ndio mabingwa wa Tanzania.
1. Mangwelele. Huyu anapatikana buguruni.
2. Juma mchafu huyu hana kijiwe maalumu. Yeye kacheza draft dsm nzima kila kijiwe.
3. Ronaldo huyu yupo sinza nadhani palestina. Ni sheeder.
4. Godziller huyu maskani yake ifakara. Ila yeye anatembea mikoani. Hii ni kazi yake na inamwingizia kipato.
Note
Ili ijue draft ukubali mambo mawili.
1. Uwe mchafu kwa maana unashinda vijiwe vya draft huna muda wa kufua na kuoga.
2. Ukonde. Maana huna muda wa kula. Muda wooote unagonga kete tu.
Ref. Juma mchafu niliyemtaja hapo juu, jina lake ni juma. mchafu ni nick name yake. Na ni kweli ni mchafu. Hafui wala haogi.
Halipo kwenye simu hilo draft?Ninayo draft moja kwenye PC yangu kuna mdada wa stage ya pili kila siku ananichapa Supa mpaka wife ananiulumia yani natafuta kijiwe nijipige msasa ili nipambane naye tena mpaka avue kyupi
Ninalo kwenye simu na kwenye PC mkuuHalipo kwenye simu hilo draft?