MCHEZAJI AFARIKI BAADA YA KUANGUAKA UWANJANi

MCHEZAJI AFARIKI BAADA YA KUANGUAKA UWANJANi

TONGONI

JF-Expert Member
Joined
Feb 18, 2011
Posts
1,041
Reaction score
376
MCHEZAJI WA SERIE B NCHINI ITALY AMEFARIKI DUNIA BAADA YA KUANGUKA UWANJANI KWA KILE KINACHOSADIKIWA KUWA NI "CARDIAC ARREST"

Piermario Morosini aliyekuwa akiichezea Livorno amefariki baadae ya kuanguka uwanjani,Morosini aliyekuwa na umri wa miaka 25 alianguka uwanjani huku kukiwa hakuna mchezaji mwengine karibu yake katika dakika ya 31 ya mchezo.Akionekana kuchanganyikiwa alijaribu kujiinua lakini akaanguka tena wakati gari la wagonjwa na madaktari wakikimbilia uwanjani kumsaidia.

daktari Leonardo Paloscia aliwaambia watu wa habari walifanya kila waliloweza kuokoa maisha ya Morosini bila mafanikio,na daktari mwingine alisema mchezaji huyu alifarika kabla kufika hospital.

Tukio hili limekuja wiki kadhaa baada ya mcheza wa Bolton kukumbwa na mkasa kama huu,katika mechi kikombe cha FA.Lakini kwa namna ya kipekee ikiwa baadhi ya watu tayari walimkatia tamaa aliweza kunusurika.

 
Last edited by a moderator:
Ama kweli soccer sasa karibia inakatisha tamaa!

MUNGU AILAZE ROHO YA MAREHEMU MAHALA PEMA PEPONI!

Amen!
 
Yap nimeona kwenye web site ya Juve wame postpone matches sababu ya hilo tukio. Mungu amlaze mahala pema peponi!
 
LiverpoolFC;3697280]Ama kweli soccer sasa karibia inakatisha tamaa!

MUNGU AILAZE ROHO YA MAREHEMU MAHALA PEMA PEPONI!

Amen!

You have to worry about how far coaches are pushing them for satamina.So much competition that if you feel you are done you can not say so and push even further.

Football is about stop and start.It is not to push players so far to breaking point-but it's all about making the team not not looking weak.

The heart is a muscle and can be torn,like any other.Ball control is just as important.

I guess these issues will be addressed now.

 
sasa hii,mbona inatishia mustakabali wa mpira wa miguu!

Following Muamba's collapse,attention had been drawn to the situation for athletes in Italy,which has mandatory cardic screening for all young people engaged in organised sport.

Hapa utaona muda ukiwadia kifo hakiepukiki.
 
RIP Morossini. Hivi wachezaji huwa hawafanyiwi heart check up?
 
Inasikitisha sana, ila nashukuru kwa sasa halijatokea kwa black people otherwise weusi tulishaanza kutiliwa mashaka kuhusu afya zetu hasa matukio ya cardiac
 
Jabulan Inasikitisha sana, ila nashukuru kwa sasa halijatokea kwa black people otherwise weusi tulishaanza kutiliwa mashaka kuhusu afya zetu hasa matukio ya cardiac

Mkuu lile tukio la Muamba limekuwa kama 'wakeup call' wachezaji wanafanyiwa heart screening na mambo mengine na hili ndilo lilopelekea STILIAN PETROV wa Asto Villi kugundulika kuwa na leukaemia

 
Back
Top Bottom