Mcheza karate mahiri zaidi aliyetikisa mchezo wa karate Tanzania. Khalifa Kiumbe Moto (Chief Kiumbe)

Tyrone mofekeng

JF-Expert Member
Mar 19, 2017
694
609
Je unamkumbuka khalifa kiumbe moto? Ndie mchezo karate, kick boxer na judo mahiri zaidi aliyewahi kutokea tanzania. Alivuma sana mwishoni mwa miaka ya tisini. Jina lake Ni Khalifa.... mjukuu wa mzee khalifani kiumbe. Msomi wa dini ya kiislamu aliyekua maarufu sana.

khalifa Kiumbe alikua na speed ya ajabu iliyompa haki ya kuitwa moto. Ndio sababu akabatizwa khalifa kiumbe moto.

Na Kila move aliyofanya Au pigo alilopiga jukwaani alisikika kwa sauti ya chini kama ya kufoka lakini yenye command akisema motooo. ..

Kutokana na speed aliyokua nayo na ukweli kua yeye ni mjukuu wa chief. Chief khalfani kiumbe wadau wakamwita chief kiumbe. Kumbuka kiumbe ni jina lake.
Na ni Kutokana na huyu ndipo wakatokea watu kadhaa waliojiita kiumbe moto, chief kiumbe na kadhalika.

Moja kati ya pambano ambalo halijawahi kitokea tena tanzania ni pombano lake na Jimmy Castro ambae alisalimu amri round ya saba baada ya kunyanyaswa vibaya jukwaani. Kiumbo khalifa alionekana mdogo. Lakini kama alivyowahi kusema. Puto kubwa linatolewa upepo na sindano ndogo sana. Huyu bwana alikua balaa. Huyu bwana alikua moto. Huyu bwana ni chief kiumbe. Motooo. .
db349b759b2ff7b1ba9c610e9239ef38.jpg
 
1.Alishindana na nani wa nje akamshinda?

2. Alishiriki mashindano gani ya kimataifa na kushika nafasi gani?

3. Alikuwa anashiriki aina gani ya karate? maana kila aina ina mbinu zake tofauti na ni mara chache sana kukuta mtu anayeweza kucheza karate mfano ( guju-ryu ama shotokan) akaweza kucheza vyema judo ambayo ni mbinu za mianguko na mikabo ,kimsingi hata body morphology za JUDOKA na KARATEDO ni tofauti kabisa kulingana na aina ya mazoezi wanayoyafanya

4. Sasa huyu, unayemtaja nabashiri ni wale waliokuwa wanacheza mamichezo ya mtaani yasiyojulikana na ni aina gani , na waalimu wao wa kimitaani mitaani tuu wasio na viwango vyovyote vya kimataifa au wasiofuata misingi ya aina fulani ya mchezo zaidi ya kuchanganya mambinu ya kuokoteza na hivyo kukosa sifa za kimataifa. Madojo mengi ya mitaani ukienda hata KATA zinazochezwa hazijulikani ni aina gani ya mchezo ni mbwembwe za mfundishaji tuu ambazo hazina viwango.
 
1.Alishindana na nani wa nje akamshinda?

2. Alishiriki mashindano gani ya kimataifa na kushika nafasi gani?

3. Alikuwa anashiriki aina gani ya karate? maana kila aina ina mbinu zake tofauti na ni mara chache sana kukuta mtu anayeweza kucheza karate mfano ( guju-ryu ama shotokan) akaweza kucheza vyema judo ambayo ni mbinu za mianguko na mikabo ,kimsingi hata body morphology za JUDOKA na KARATEDO ni tofauti kabisa kulingana na aina ya mazoezi wanayoyafanya

4. Sasa huyu, unayemtaja nabashiri ni wale waliokuwa wanacheza mamichezo ya mtaani yasiyojulikana na ni aina gani , na waalimu wao wa kimitaani mitaani tuu wasio na viwango vyovyote vya kimataifa au wasiofuata misingi ya aina fulani ya mchezo zaidi ya kuchanganya mambinu ya kuokoteza na hivyo kukosa sifa za kimataifa. Madojo mengi ya mitaani ukienda hata KATA zinazochezwa hazijulikani ni aina gani ya mchezo ni mbwembwe za mfundishaji tuu ambazo hazina viwango.
Jibu ni Rahisi. Alikuwa anacheza Karate ya kwenye movies. akitoka kuangalia muvi yenye karateeee ndani yake alikuwa anaaply
 
Jibu ni Rahisi. Alikuwa anacheza Karate ya kwenye movies. akitoka kuangalia muvi yenye karateeee ndani yake alikuwa anaaply
Mkuu kwa wenye kujua wanaelewa huyu alikua moto. Alianza ymca. Akaenda korea na Japan. kuna picha ntakutupia uzione mkuu. Kwa sasa Ni rais wa judo tanzania. Alopigana korea Kenya na canada. Mkuu huyu jamaa ni hatari. Note. .. sijasema kua hajapoteza pambano. Ila alikua na utaalam wa Hali ya juu
 
Mkuu inafaa kufatilia karate ni mchezo wa aina gani. Hakuna mcheza karate anaeweza kupigwa na mtu asie mtaalam wa ngumi mtaani. Ndo maana kukaanzishwa kick boxer. Kwa kua ili karate iwe mchezo wa jukwaani inabidi uwekewe sheria nyingi sana. Watu kadhaa walipoteza maisha kutokana na mchezo huu. Tanzania kulikua na master zero ambae alifariki kutokana na madhara aliyoyapata baada ya pambano na jimmy Castro. Kuna Jimmy Castro alifariki baada ya kupata madhara ya pambano na Khalifa kiumbe moto. Ndo ikakatazwa kupigana karate kama karate. Ni kick boxer Au karate iwe kama maonyesho
 
Mbona huyo jamaa naona ni sura ya juzijuzi tu, anaijua hadi fesibuku
Samahani kiongozi. Wewe unaweza ukawa umezaliwa mwaka gani. Huyu jamaa ana miaka 51. Ila kuna uwezekano mkikaa ukaonena wewe Ni mkubwa. Anafanya sana mazowezi
 
Back
Top Bottom