Kama vile umeandika hii thread kwa ajili yangu! I'm in exactly similar situation. Mchepuko wangu ulonifundisha vitu adimu umepata mchumba.Aliniarifu kwenye simu akawa anabanwa na kwikwi anashindwa kuongea sawasawa. Nikamwambia it's ok, endelea na maisha yako dada, ila rohoni inauma kweli aisee!
You are very right man to have done what you did 'cause we should never be barriers to other people's path of life.