Mchepuko umeingia ndani......

Mchepuko umeingia ndani......

Kuwa na mchepuko ni sawa..lakini kuwa na mchepuko mwenye mtu wake na unafhamu hilo plus kuhudumia ni udhaifu mkuu....me nikijua tu tunashare na mtu mchepuko namuachia jamaa aisee...siwezi hudumia koloni la mtu.Piga chini huo mchepuko mkuu huo wivu utakupeleka kubaya aisee...Kumuonea wivu inamaa unaanza kugenarate hisia kwake...Kufall kwa mchepuko wakati una mke ni hatari kwa ndoa yako.
Nakazia hyo sentensi ya mwisho👏
 
Kuwa na mchepuko ni sawa..lakini kuwa na mchepuko mwenye mtu wake na unafhamu hilo plus kuhudumia ni udhaifu mkuu....me nikijua tu tunashare na mtu mchepuko namuachia jamaa aisee...siwezi hudumia koloni la mtu.Piga chini huo mchepuko mkuu huo wivu utakupeleka kubaya aisee...Kumuonea wivu inamaa unaanza kugenarate hisia kwake...Kufall kwa mchepuko wakati una mke ni hatari kwa ndoa yako.

Shukrani mkuu
 
Kuwa na mchepuko ni sawa..lakini kuwa na mchepuko mwenye mtu wake na unafhamu hilo plus kuhudumia ni udhaifu mkuu....me nikijua tu tunashare na mtu mchepuko namuachia jamaa aisee...siwezi hudumia koloni la mtu.Piga chini huo mchepuko mkuu huo wivu utakupeleka kubaya aisee...Kumuonea wivu inamaa unaanza kugenarate hisia kwake...Kufall kwa mchepuko wakati una mke ni hatari kwa ndoa yako.

True this!
 
Kuna mimtu inashabikia tuu “we malaya”, “humpendi mkeo” nk huku wao ni wanawake! Huwezi kujua namna wanaume tulivyo kiuhalisia wakati wewe ni mwanamke, tulieni tunaopata haya ni sisi.

Binafsi nashaauri hivi, cha kwanza ongea na X ujue anampendaje huyo jamaa yake mpya? Je ana malengo naye au hapana. Kama hana malengo naye mweleze jinsi unvyoumia na umwambia waachane. Akigoma au km ana malengo naye, basi tafuta mpango wa kando mpya, ikiwezekana mzuri zaidi unayeweza kumpenda na kuendana naye na akakuelewa ambaye unaweza kuhamishia hisia zako zilizokuwa kwa X kwenda kwake. Pima naye afya na umwambie vipaumbele vyako na suala la kuwa salama kiafya them mwezeshe kiasi ambacho ulikuwa unamfanyia X. Baada ya mida hisia kwa huyu wa sasa zitaisha kabisa na akiliyako itatulia na upendo kwa mkeo utaendelea.

Nb: wanaume kuwa na mke mmoja sio asili yetu, ila tunajitune kutokana na desturi ya kijamii, kidini na kwa sababu tunawapenda wake zetu. Na wanawake jueni nikiwa na mpango wa kando unaojielewa nitakupenda sana wewe na familia yangu na mtabaki kuwa priority, na mpango wa kando utaheshimu ndoa yetu!

Ni hayo tuu!
 
Sawa mkuu, japo sio rahisi ila inabidi nijitahidi.
Kama Siyo Rahisi Lazima Itatokea Vurugu Tu
Hapo Wewe Mwenyewe Unaweza Kuwa Unamjua Jamaa, Ila Jamaa Hakujui Na Kaambiwa Jimbo Lipo Wazi

Itabidi Umwambie Mchepuko Aachane Na Jamaa Hapo Sasa Ndiyo Huenda Pagumu
Kata Misada Yako Ili Moyo Wako Usiumie
Mpaka Sasa Hivi Unaona Pesa Zako Zinaliwa

Hayo Mambo Hayakutokei Wewe Tu Bali Yapo Wengi Yanawakuta Na Maisha Yanakwenda


Najua Tatizo Pesa Zako!!!😀😁😂
 
Kweli kabisa
Hapo unatamani huyo X uwe unamfaidi mwenyewe na wakati una wako nyumbani, huo ni uselfish yaani kubali tu hilo we mwache naye aenjoy hadi apate mume wake.
Na hapo manake unahudumia na hyo njemba.... Ili usiumie zaidi dawa ni kumuacha tu utulie na mkeo sababu wivu ukija kuzidi sana utapachukia kwako, hutaona umuhimu wa mkeo akili itakua kwa mchepuko mda wote.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna mimtu inashabikia tuu “we malaya”, “humpendi mkeo” nk huku wao ni wanawake! Huwezi kujua namna wanaume tulivyo kiuhalisia wakati wewe ni mwanamke, tulieni tunaopata haya ni sisi.

Binafsi nashaauri hivi, cha kwanza ongea na X ujue anampendaje huyo jamaa yake mpya? Je ana malengo naye au hapana. Kama hana malengo naye mweleze jinsi unvyoumia na umwambia waachane. Akigoma au km ana malengo naye, basi tafuta mpango wa kando mpya, ikiwezekana mzuri zaidi unayeweza kumpenda na kuendana naye na akakuelewa ambaye unaweza kuhamishia hisia zako zilizokuwa kwa X kwenda kwake. Pima naye afya na umwambie vipaumbele vyako na suala la kuwa salama kiafya them mwezeshe kiasi ambacho ulikuwa unamfanyia X. Baada ya mida hisia kwa huyu wa sasa zitaisha kabisa na akiliyako itatulia na upendo kwa mkeo utaendelea.

Nb: wanaume kuwa na mke mmoja sio asili yetu, ila tunajitune kutokana na desturi ya kijamii, kidini na kwa sababu tunawapenda wake zetu. Na wanawake jueni nikiwa na mpango wa kando unaojielewa nitakupenda sana wewe na familia yangu na mtabaki kuwa priority, na mpango wa kando utaheshimu ndoa yetu!

Ni hayo tuu!
Mmh hayo mahangaiko yote ya nini sasa na mtu una mke. Matumizi mabaya ya wivu
 
Kuna mimtu inashabikia tuu “we malaya”, “humpendi mkeo” nk huku wao ni wanawake! Huwezi kujua namna wanaume tulivyo kiuhalisia wakati wewe ni mwanamke, tulieni tunaopata haya ni sisi.

Binafsi nashaauri hivi, cha kwanza ongea na X ujue anampendaje huyo jamaa yake mpya? Je ana malengo naye au hapana. Kama hana malengo naye mweleze jinsi unvyoumia na umwambia waachane. Akigoma au km ana malengo naye, basi tafuta mpango wa kando mpya, ikiwezekana mzuri zaidi unayeweza kumpenda na kuendana naye na akakuelewa ambaye unaweza kuhamishia hisia zako zilizokuwa kwa X kwenda kwake. Pima naye afya na umwambie vipaumbele vyako na suala la kuwa salama kiafya them mwezeshe kiasi ambacho ulikuwa unamfanyia X. Baada ya mida hisia kwa huyu wa sasa zitaisha kabisa na akiliyako itatulia na upendo kwa mkeo utaendelea.

Nb: wanaume kuwa na mke mmoja sio asili yetu, ila tunajitune kutokana na desturi ya kijamii, kidini na kwa sababu tunawapenda wake zetu. Na wanawake jueni nikiwa na mpango wa kando unaojielewa nitakupenda sana wewe na familia yangu na mtabaki kuwa priority, na mpango wa kando utaheshimu ndoa yetu!

Ni hayo tuu!

Sasa wewe ndio umevaa kiatu changu na umeelewa zaidi what I am going through. Asante kwa ushauri wako. Na ni kweli mimi binafsi sipendi michepuko mingi, yaani ni kama ingekuwa dini, ningeoa niwe na wake wawili. Kukaa na mwanamke mmoja sometimes kunaleta stress aisee, lazima upate mawazo. Ila ukitoka nje ukarudi home, unamuona wife mpya kabisa.
 
Sasa wewe ndio umevaa kiatu changu na umeelewa zaidi what I am going through. Asante kwa ushauri wako. Na ni kweli mimi binafsi sipendi michepuko mingi, yaani ni kama ingekuwa dini, ningeoa niwe na wake wawili. Kukaa na mwanamke mmoja sometimes kunaleta stress aisee, lazima upate mawazo. Ila ukitoka nje ukarudi home, unamuona wife mpya kabisa.
Mkuu
Nataka Nikukumbushe Sasa Baada Ya Kutekeleza Huo Ushauri, Nategemea Thread Ya Mrejesho Namna Ulivyotekeleza

Hapa Jamiiforums.com, Home Of Greater Thinker Dare To Talk Open
Lazima Utapata Uelekeo.
 
Mkuu
Nataka Nikukumbushe Sasa Baada Ya Kutekeleza Huo Ushauri, Nategemea Thread Ya Mrejesho Namna Ulivyotekeleza

Hapa Jamiiforums.com, Home Of Greater Thinker Dare To Talk Open
Lazima Utapata Uelekeo.

I will
 
Mkuu hapo sio wivu ila unaumia kutokana na kugharamia huyo manzi,ungekuwa humgharamii kwa sana naamini wala usingeumia baada ya kujua anatoka na mtu mwingine
 
Ukisikia kuna muda mchepuko unaweza kukupelekesha hadi unatamani kumwambia mkeo ndio kama huu!
Muhadithie mkeo anaweza kupa ushauri!


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Habari wana MMU. Nia ya uzi huu kuomba msaada wenu wa mawazo.

Niko ndoa kwa muda sasa, nilipata mpango wangu wa kando ambao mwanzoni niliuelewa sana. For story writing purposes naomba tumpe jina X. Huyu X nilimkuta kwenye mahusiano na jamaa yake, so wote tulikuwa tunawasaliti wenzi wetu japo yeye hajaolewa. Sasa ilifika kipindi akaachana na huyo jamaa wa kwanza.

Kipindi chote hicho mimi sikuwa na wivu hata chembe. Sasa akaanza mahusiano na mtu mwingine ambae alikutana nae sehemu anayofanyia kazi. Sasa huyu X kwa kweli nilijitahidi sana kumtunza, kuanzia mavazi , muonekano na hata kumbadilishia simu maana jamaa yake alikuwa bado haja settle kiuchumi. Na kipindi chote tokea nimpate huyu X, sikuchepuka tena sehemu nyingine.

Tatizo Liliopo sasa;
Tokea ampate huyu jamaa nimekuwa na WIVU sana. Nampenda mke wangu na najitahidi sana kumheshimu, najua humu mtaleta hoja mbali mbali kupingana na hili lakini ukweli najua mimi. Ila najishangaa kuumia sana alipotokea huyu jamaa mpya. Naona kama anateleza tu, amemkuta amenawiri na anang’aaa yeye sasa anakula kitonga. Sitaki kuwa selfish kwa X kwa sababu najua fika penzi letu litaishia hapa na yeye anahitaji kuwa na familia, lakini the thought ya yeye kuwa na huyu jamaa mpya kinaniuma sana.

Ukicheki jamaa nae ni ovyo tu kiuchumi, not ambitious yaani ni mtu ambae kwa ujasusi wangu wa haraka , ni wale wakupenda vitu ready made. Last time nilidukua simu ya X na kukuta jamaa anamlamikia kuwa amefulia anaomba amkope 50,000. Ila anapewa services zote. Hiki kitu kinaumiza kichwa sana and I don’t know why. Samahani kwa uandishi mmbovu, naombeni mnieleweshe kwa nn napata hasira.

Je ni kwamba nampenda sana huyu dada au ni wivu tu.
Mbwa kala mbwa hiyo, huyo x wako alikuwa ktk mahusino ww ukaingilia kati na mkaenda sawa, mwisho wa akaachana na huyo jamaa ukawa peke yako ,je kipindi upo peke yako ulimwambia lolote kuhusu kuingia ktk mahusiano mapya kama hutaki awe na mtu mwingine au ? Huyo x anatafuta ndoa ukitaka muowe ww ulimkuta na mtu na huyo mtu amemkuta na ww kwa hiyo anabaki pale pale kuwa na wapenzi 2 ,

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom