Mchepuko akatalia kwangu. Nifanyaje wadau?

Mchepuko akatalia kwangu. Nifanyaje wadau?

1academ

JF-Expert Member
Joined
Oct 15, 2016
Posts
2,673
Reaction score
4,318
Mzuka wana jf! Hii shida yangu inaweza kuonekana kama maigizo lakini si maigizo ni ukweli kabisa, japo mimi ni mwanaume ila nimefeli kutatua hili tatizo naombeni mawazo mapya.

Mke wangu alisafiri kwenda kwao mwezi uliopita, kuna shida fulani ilimpeleka huko na kupelekea kukaa siku zote hizo, mimi nikaona hii ndio chance acha nilete mchepuko ndani niwe najilia mdogo mdogo wife akikaribia kurudi nitamuondoa.

Kwasababu watoto wote wapo shule na wanakaa board isipokuwa mdogo ambaye alisafiri na mama yake, nilimwambia wife asafiri na house girl mimi nitakuwa nakula hotelini, na kweli wife alikubali kusafiri na house girl na ninavyomjua hata nisingesema angesafiri nae tu.

Basi mi niliingiza ndani mwanamke na nikamuonya asijaribu kutoka nje ya geti maana majirani wasije wakamuona.

Sasa wife amenipigia simu juzi kuwa anataka kurudi nimtumie nauli, na juzi hiyo hiyo nilimwambia yule mchepuko jioni aondoke asije akaniletea balaa, cha ajabu alikataa katu katu akasema yeye tayari ameshafika na haendi kokote, nikajaribu kumuelewesha akakataa, nikamuacha huku kichwani nikijua ananitania huwenda hajataka kuondoka kwa siku hiyo labda ataondoka asubuhi ya siku inayofuata, siku iliyofuata nikamuuliza ataondoka saa ngapi, akaniambia hana mpango wa kuondoka, yeye ameshafika labda nimuue au niite greda lije limng'oe, mwanzoni nilikuwa nacheka kwa majibu yake nachukulia utani na masihara.

Sasa hivi ndio nimegundua kumbe mwanamke huyu hatanii, maana leoD jumatanoo wife ndio ameanza safari ya kutoka kwao Bukoba kuja Dar, na hivi ninavyoongea na nyie wana jf yuko njiani, huyu mwanamke nimemwambia yote nimemuonesha mpaka sms na hata nikiongea na wife anasikia lakini ameshindwa kuwa muelewa na kuondoka, nimetumia mpaka nguvu nimempiga makofi mengi sana, kiukweli nimempiga sana na mpaka ameumuka sura lakini anasema haondoki labda nimuue, najiuliza sijui nimeokota mwanamke wa namna gani, sijui mchawi huyu, inshort nimechanganyikiwa, nimejaribu kumvuta vuta nimtoe nje nimeshindwa, kwanza ameniharibia mlango kisa kuvutana sana kutaka kumtoa nje, nimetumia busara kuongea nae kistaarabu na kumpa mpaka pesa akubali lakini amegoma.

Wadau naombeni mnisaidie mawazo mapya, nifanyeje nimtoe ndani huyu mtu. Daah! 😭
 
Mzuka wana jf! Hii shida yangu inaweza kuonekana kama maigizo lakini si maigizo ni ukweli kabisa, japo mimi ni mwanaume ila nimefeli kutatua hili tatizo naombeni mawazo mapya.
Mke wangu alisafiri kwenda kwao mwezi uliopita, kuna shida fulani ilimpeleka huko na kupelekea kukaa siku zote hizo, mimi nikaona hii ndio chance acha nilete mchepuko ndani niwe najilia mdogo mdogo wife akikaribia kurudi nitamuondoa.

Kwasababu watoto wote wapo shule na wanakaa board isipokuwa mdogo ambaye alisafiri na mama yake, nilimwambia wife asafiri na house girl mimi nitakuwa nakula hotelini, na kweli wife alikubali kusafiri na house girl na ninavyomjua hata nisingesema angesafiri nae tu.
Basi mi niliingiza ndani mwanamke na nikamuonya asijaribu kutoka nje ya geti maana majirani wasije wakamuona.

Sasa wife amenipigia simu juzi kuwa anataka kurudi nimtumie nauli, na juzi hiyo hiyo nilimwambia yule mchepuko jioni aondoke asije akaniletea balaa, cha ajabu alikataa katu katu akasema yeye tayari ameshafika na haendi kokote, nikajaribu kumuelewesha akakataa, nikamuacha huku kichwani nikijua ananitania huwenda hajataka kuondoka kwa siku hiyo labda ataondoka asubuhi ya siku inayofuata, siku iliyofuata nikamuuliza ataondoka saa ngapi, akaniambia hana mpango wa kuondoka, yeye ameshafika labda nimuue au niite greda lije limng'oe, mwanzoni nilikuwa nacheka kwa majibu yake nachukulia utani na masihara.

Sasa hivi ndio nimegundua kumbe mwanamke huyu hatanii, maana leoD jumatanoo wife ndio ameanza safari ya kutoka kwao Bukoba kuja Dar, na hivi ninavyoongea na nyie wana jf yuko njiani, huyu mwanamke nimemwambia yote nimemuonesha mpaka sms na hata nikiongea na wife anasikia lakini ameshindwa kuwa muelewa na kuondoka, nimetumia mpaka nguvu nimempiga makofi mengi sana, kiukweli nimempiga sana na mpaka ameumuka sura lakini anasema haondoki labda nimuue, najiuliza sijui nimeokota mwanamke wa namna gani, sijui mchawi huyu, inshort nimechanganyikiwa, nimejaribu kumvuta vuta nimtoe nje nimeshindwa, kwanza ameniharibia mlango kisa kuvutana sana kutaka kumtoa nje, nimetumia busara kuongea nae kistaarabu na kumpa mpaka pesa akubali lakini amegoma.

Wadau naombeni mnisaidie mawazo mapya, nifanyeje nimtoe ndani huyu mtu. Daah! 😭
Huna washikaji Vipande ??
Tafuta kama wa4 waeleze ishu Yako waje hapo home na kuijtambulisha kua wao ni maafisa wanatafuta mtuhumiwa ambae ni yeye (uyo mwanamke ) wammbebe kama alivo kusiwe na mjadala wakamtelekeze uko nje ya mji...
 
Ninyi ndo mnaofanya wake zenu waje kugombania Mali na mahawara kwa vitu km hivi,,

Umemdharau sana mkeo, Yaani mchepuko anajua kitanda anacholalalia mke mkubwa mbali zaidi atakuwa amefokoonyoa kujua ana vaa nguo zipi ndani mpk nje,,

Nyie ndo wale mnawaanika wake zenu kwa mchepuko

Yupo mmoja aliwahi unguzwa pumbu na mke mdg hvhv na kuja kufa,,

Mtoa huyo punguani mmoja shenzi type!!!!!!
 
Back
Top Bottom