Mchengerwa na Biteko pekee hawataweza kutuvusha, tuwaongezee nguvu

Team JPM

JF-Expert Member
Nov 11, 2018
1,074
1,608
Mabadiliko ya baraza la mawaziri yamethibitisha nia ya dhati ya Mh. Samia kuongeza kasi ya serikali kuwatumikia wananchi na kuchochea maendeleo ili kufikia dira ya maendeleo ya Taifa 2025.

Katika mabadiliko hayo, Mh. Rais ameoneshwa kuridhishwa na Mh. Biteko na Mchengerwa hivyo kuwabadiloshia majukumu ili kuongeza kasi serikalini.

Hata hivyo, kwa madudu serikalini na udhaifu katika utendaji, Biteko na Mchengerwa peke yao hawataweza, tuwaongezee nguvu.

Ili kuongeza kasi, ni vyema Mh. Rais akalifumua zaidi baraza na kuwaondoa mawaziri mizigo wote ili kuweka watu wa kumsaidia zaidi.

Mfano wa Wizara zenye kuhitaji mabadiliko ya haraka na nguvu ya kutuvusha ni:

1. Wizara ya Maji, ondoa Aweso, weka Bashiru Ali Kakurwa uone moto wake
2. Nishati, weka Polepole apambane na wahuni wa IPTL, DOWANS, SIMBION NK
3. BITEKO awe Waziri ofisi ya Rais Kazi maalum ili kuunganisha Serikali
4. Ardhi mrejeshe Lukuvi apige kazi
5. Sheria na Katiba mpe tu mwenye sheria zake Prof. Kabudi
6. Fedha mlete mzee wa CRDB Kimei
7. Nape mpe uenezi wa chama, kwenye uwaziri muondoe
8. Ridhiwani, Makamba na Mwigulu, wabakie na ubunge tu

Hapo utaiona kasi ya utendaji na nchi itasonga mbele.
 
KIKOSI KIZITO SANA HICHO ila sasa Lukuvi na Bashiru hawawezi kabisa kukaa na bi mdashi
 
Mabadiliko ya baraza la mawaziri yamethibitisha nia ya dhati ya Mh. Samia kuongeza kasi ya serikali kuwatumikia wananchi na kuchochea maendeleo ili kufikia dira ya maendeleo ya Taifa 2025.

Katika mabadiliko hayo, Mh. Rais ameoneshwa kuridhishwa na Mh. Biteko na Mchengerwa hivyo kuwabadiloshia majukumu ili kuongeza kasi serikalini.

Hata hivyo, kwa madudu serikalini na udhaifu katika utendaji, Biteko na Mchengerwa peke yao hawataweza, tuwaongezee nguvu.

Ili kuongeza kasi, ni vyema Mh. Rais akalifumua zaidi baraza na kuwaondoa mawaziri mizigo wote ili kuweka watu wa kumsaidia zaidi.

Mfano wa Wizara zenye kuhitaji mabadiliko ya haraka na nguvu ya kutuvusha ni:

1. Wizara ya Maji, ondoa Aweso, weka Bashiru Ali Kakurwa uone moto wake
2. Nishati, weka Polepole apambane na wahuni wa IPTL, DOWANS, SIMBION NK
3. BITEKO awe Waziri ofisi ya Rais Kazi maalum ili kuunganisha Serikali
4. Ardhi mrejeshe Lukuvi apige kazi
5. Sheria na Katiba mpe tu mwenye sheria zake Prof. Kabudi
6. Fedha mlete mzee wa CRDB Kimei
7. Nape mpe uenezi wa chama, kwenye uwaziri muondoe
8. Ridhiwani, Makamba na Mwigulu, wabakie na ubunge tu

Hapo utaiona kasi ya utendaji na nchi itasonga mbele.
Pamoja na kutomkubali bibi yenu, Nape , Ridhiwani, Makamba, na Mwigulu wanatakiwa waendelee hakuna kutoka, hao waendelee kuwa mawaziri ndio uongezeke na hao wadudu wenu wengine. Hao jamaa zangu wasiguswe
 
Mabadiliko ya baraza la mawaziri yamethibitisha nia ya dhati ya Mh. Samia kuongeza kasi ya serikali kuwatumikia wananchi na kuchochea maendeleo ili kufikia dira ya maendeleo ya Taifa 2025.

Katika mabadiliko hayo, Mh. Rais ameoneshwa kuridhishwa na Mh. Biteko na Mchengerwa hivyo kuwabadiloshia majukumu ili kuongeza kasi serikalini.

Hata hivyo, kwa madudu serikalini na udhaifu katika utendaji, Biteko na Mchengerwa peke yao hawataweza, tuwaongezee nguvu.

Ili kuongeza kasi, ni vyema Mh. Rais akalifumua zaidi baraza na kuwaondoa mawaziri mizigo wote ili kuweka watu wa kumsaidia zaidi.

Mfano wa Wizara zenye kuhitaji mabadiliko ya haraka na nguvu ya kutuvusha ni:

1. Wizara ya Maji, ondoa Aweso, weka Bashiru Ali Kakurwa uone moto wake
2. Nishati, weka Polepole apambane na wahuni wa IPTL, DOWANS, SIMBION NK
3. BITEKO awe Waziri ofisi ya Rais Kazi maalum ili kuunganisha Serikali
4. Ardhi mrejeshe Lukuvi apige kazi
5. Sheria na Katiba mpe tu mwenye sheria zake Prof. Kabudi
6. Fedha mlete mzee wa CRDB Kimei
7. Nape mpe uenezi wa chama, kwenye uwaziri muondoe
8. Ridhiwani, Makamba na Mwigulu, wabakie na ubunge tu

Hapo utaiona kasi ya utendaji na nchi itasonga mbele.
Big five ,hawez kutoka .( Big five mmoja lazima apenyezwe aukwae urais .ohooooooooo CHEZA na msoga
 
Mabadiliko ya baraza la mawaziri yamethibitisha nia ya dhati ya Mh. Samia kuongeza kasi ya serikali kuwatumikia wananchi na kuchochea maendeleo ili kufikia dira ya maendeleo ya Taifa 2025.

Katika mabadiliko hayo, Mh. Rais ameoneshwa kuridhishwa na Mh. Biteko na Mchengerwa hivyo kuwabadilishia majukumu ili kuongeza kasi serikalini.

Hata hivyo, kwa madudu serikalini na udhaifu katika utendaji, Biteko na Mchengerwa peke yao hawataweza, tuwaongezee nguvu.

Ili kuongeza kasi, ni vyema Mh. Rais akalifumua zaidi baraza na kuwaondoa mawaziri mizigo wote ili kuweka watu wa kumsaidia zaidi.

Mfano wa Wizara zenye kuhitaji mabadiliko ya haraka na nguvu ya kutuvusha ni:

1. Wizara ya Maji, ondoa Aweso, weka Bashiru Ali Kakurwa uone moto wake
2. Nishati, weka Polepole apambane na wahuni wa IPTL, DOWANS, SIMBION NK
3. BITEKO awe Waziri ofisi ya Rais Kazi maalum ili kuunganisha Serikali
4. Ardhi mrejeshe Lukuvi apige kazi
5. Sheria na Katiba mpe tu mwenye sheria zake Prof. Kabudi
6. Fedha mlete mzee wa CRDB Kimei
7. Nape mpe uenezi wa chama, kwenye uwaziri muondoe
8. Ridhiwani, Makamba na Mwigulu, wabakie na ubunge tu

Hapo utaiona kasi ya utendaji na nchi itasonga mbele.
Ukweli ni kwamba hata huyo mteuzi nae ni sehemu ya Tatizo. Ikitokea ndoto yako ikawa !
Wakiingia hao mambo yake na kundi lililoshikilia remote hayatawezekana.
Sababu hata yeye amelambishwa Asali kwa sasa.
 
Hapo ni paka na panya tafrani yake si mchezo sheikh maana wengine wanavidonda vya kuvuliwa ukatibu mkuu na mkwara mzito
 
Mabadiliko ya baraza la mawaziri yamethibitisha nia ya dhati ya Mh. Samia kuongeza kasi ya serikali kuwatumikia wananchi na kuchochea maendeleo ili kufikia dira ya maendeleo ya Taifa 2025.

Katika mabadiliko hayo, Mh. Rais ameoneshwa kuridhishwa na Mh. Biteko na Mchengerwa hivyo kuwabadiloshia majukumu ili kuongeza kasi serikalini.

Hata hivyo, kwa madudu serikalini na udhaifu katika utendaji, Biteko na Mchengerwa peke yao hawataweza, tuwaongezee nguvu.

Ili kuongeza kasi, ni vyema Mh. Rais akalifumua zaidi baraza na kuwaondoa mawaziri mizigo wote ili kuweka watu wa kumsaidia zaidi.

Mfano wa Wizara zenye kuhitaji mabadiliko ya haraka na nguvu ya kutuvusha ni:

1. Wizara ya Maji, ondoa Aweso, weka Bashiru Ali Kakurwa uone moto wake
2. Nishati, weka Polepole apambane na wahuni wa IPTL, DOWANS, SIMBION NK
3. BITEKO awe Waziri ofisi ya Rais Kazi maalum ili kuunganisha Serikali
4. Ardhi mrejeshe Lukuvi apige kazi
5. Sheria na Katiba mpe tu mwenye sheria zake Prof. Kabudi
6. Fedha mlete mzee wa CRDB Kimei
7. Nape mpe uenezi wa chama, kwenye uwaziri muondoe
8. Ridhiwani, Makamba na Mwigulu, wabakie na ubunge tu

Hapo utaiona kasi ya utendaji na nchi itasonga mbele.
Nape,makamba,ridhiwani,mchengerwa, Hawa ni wateule wa bwana ole wako uaguse . Na ndo miongoni mwa rais ajaee Yan crime ya juu Iko humu
 
Kwani huyo Doto Na Mchengerwa wamefanya mambo gani outstanding yenye kugusa jamii na wananchi kwa sehemu kubwa?

Mbona mnataka kuwapa promo isiyoeleweka?

Huyo Dotto bado hatujamielewa kauli moja kupitia clip moja haotoshi kuona ni mtu wa aina gani mwenye uwezo wa kufanya kazi za wananchi kiasi gani .

Msituchanganye maboya .
 
Mabadiliko ya baraza la mawaziri yamethibitisha nia ya dhati ya Mh. Samia kuongeza kasi ya serikali kuwatumikia wananchi na kuchochea maendeleo ili kufikia dira ya maendeleo ya Taifa 2025.

Katika mabadiliko hayo, Mh. Rais ameoneshwa kuridhishwa na Mh. Biteko na Mchengerwa hivyo kuwabadiloshia majukumu ili kuongeza kasi serikalini.

Hata hivyo, kwa madudu serikalini na udhaifu katika utendaji, Biteko na Mchengerwa peke yao hawataweza, tuwaongezee nguvu.

Ili kuongeza kasi, ni vyema Mh. Rais akalifumua zaidi baraza na kuwaondoa mawaziri mizigo wote ili kuweka watu wa kumsaidia zaidi.

Mfano wa Wizara zenye kuhitaji mabadiliko ya haraka na nguvu ya kutuvusha ni:

1. Wizara ya Maji, ondoa Aweso, weka Bashiru Ali Kakurwa uone moto wake
2. Nishati, weka Polepole apambane na wahuni wa IPTL, DOWANS, SIMBION NK
3. BITEKO awe Waziri ofisi ya Rais Kazi maalum ili kuunganisha Serikali
4. Ardhi mrejeshe Lukuvi apige kazi
5. Sheria na Katiba mpe tu mwenye sheria zake Prof. Kabudi
6. Fedha mlete mzee wa CRDB Kimei
7. Nape mpe uenezi wa chama, kwenye uwaziri muondoe
8. Ridhiwani, Makamba na Mwigulu, wabakie na ubunge tu

Hapo utaiona kasi ya utendaji na nchi itasonga mbele.
Nguvu ya CCM ni hii hapa. Majizi ya kura yaliyokubuhu hayajali hatima ya Watanzania.
IMG-20200726-WA0000.jpg
 
Back
Top Bottom