Mchemko mwingine wa STRABAG huu hapa

Mchemko mwingine wa STRABAG huu hapa

lukelo sakafu

JF-Expert Member
Joined
Feb 19, 2015
Posts
2,938
Reaction score
517
Kwa hili pia naweza kusema STRABAG wamechemka sana. Iko hivi kuna hivi vituo vya kisasa katika njia mpya za mabasi yaendayo kasi zinazojengwa na kampuni ya STRABAG baadhi ya hivi vituo vimejengwa na kuwekewa madirisha na milango ya alluminium na VIOO vizuri tu, kuna kituo kipo pala Ubungo urafiri karibu na big brother na kingine kipo maeneo ya Kimara hivi vituo vimewekewa madirisha na milango mizuri ya VIOO.

Sasa tatizo ni kwamba navyowajua wabongo tusivyo wastaarabu walah vile vioo havina maisha marefu vitarushiwa mawe na kuvunjwa vyote ni bora wangeweka nyavu kama walivyoweka katika baadhi ya vituo vyao. Ila tukubaliane hapa lazima mateja watavipopoa vioo vyote.

KWA HILI STRABAG MKAE CHINI NA KUTAFAKARI UPYA.
 
Waombe radhi watanzania. Ina maana wao ni washamba wa milango ya vioo?
 
Ndio zile hela za nyongeza. kwasababu zilikua hazina kazi ndio maana vimenununliwa na kuwekwa.
 
teh teh teh kwi kwi kwi kwi asante kwa taarifa nikachukue nikaweke magetoni nipate cha kujiangalizia
 
Kiujumla huu mradi wa DART kwa jiji la dar hautokuwa na manufaa ya muda mrefu.
 
kwa hili pia naweza kusema STRABAG wamechemka sana. iko hivi kuna hivi vituo vya kisasa katika njia mpya za mabasi yaendayo kasi zinazojengwa na kampuni ya STRABAG baadhi ya hivi vituo vimejengwa na kuwekewa madirisha na milango ya alluminiuma na VIOO vizuri tu, kuna kituo kipo pala ubungo urafiri karibu na big brother na kingine kipo maeneo ya kimara hivi vituo vimewekewa madirisha na milango mizuri ya VIOO.sasa tatizo ni kwamba navyo wajua wabongo tusivyo wastaarabu walah vile vioo havina maisha marefu vitarushiwa mawe na kuvunjwa vyote ni bora wangeweka nyavu kama walivyoweka katika baadhi ya vituo vyao. ila tukubaliane hapa lazima mateja watavipopoa vioo vyote.KWA HILI STRABAG MKAE CHINI NA KUTAFAKARI UPYA.

Kukosa kwako ustaarab hakuwez kuwa ni makosa ya Strabag.
 
Ndio muda wa kubadikika sasa kila mtu awajibike! Mbona madaladala yana vioo lakini havivunjwi na na haohao wanaotimia?
 
Bila shaka vituo vitakuwa na walinzi, ingawa wasiwasi wangu vinaweza kugeuzwa guest bubu usiku km ilivyo pale daraja la Strabag Ubungo stand, watu wwlanafanyia yao pale usiku!
 
kwa hili pia naweza kusema STRABAG wamechemka sana. iko hivi kuna hivi vituo vya kisasa katika njia mpya za mabasi yaendayo kasi zinazojengwa na kampuni ya STRABAG baadhi ya hivi vituo vimejengwa na kuwekewa madirisha na milango ya alluminiuma na VIOO vizuri tu, kuna kituo kipo pala ubungo urafiri karibu na big brother na kingine kipo maeneo ya kimara hivi vituo vimewekewa madirisha na milango mizuri ya VIOO.sasa tatizo ni kwamba navyo wajua wabongo tusivyo wastaarabu walah vile vioo havina maisha marefu vitarushiwa mawe na kuvunjwa vyote ni bora wangeweka nyavu kama walivyoweka katika baadhi ya vituo vyao. ila tukubaliane hapa lazima mateja watavipopoa vioo vyote.KWA HILI STRABAG MKAE CHINI NA KUTAFAKARI UPYA.

! Ni kweli ! "huu mradi kuna ubabaishaji mkubwa kwa ujumla!" Barabara gani hizi hazina mitaro / mifereji ya kusafirisha maji taka!
 
Bila shaka vituo vitakuwa na walinzi, ingawa wasiwasi wangu vinaweza kugeuzwa guest bubu usiku km ilivyo pale daraja la Strabag Ubungo stand, watu wwlanafanyia yao pale usiku!

mkuu hapo napo kuna ka ukweli
 
Back
Top Bottom