lukelo sakafu
JF-Expert Member
- Feb 19, 2015
- 2,938
- 517
Kwa hili pia naweza kusema STRABAG wamechemka sana. Iko hivi kuna hivi vituo vya kisasa katika njia mpya za mabasi yaendayo kasi zinazojengwa na kampuni ya STRABAG baadhi ya hivi vituo vimejengwa na kuwekewa madirisha na milango ya alluminium na VIOO vizuri tu, kuna kituo kipo pala Ubungo urafiri karibu na big brother na kingine kipo maeneo ya Kimara hivi vituo vimewekewa madirisha na milango mizuri ya VIOO.
Sasa tatizo ni kwamba navyowajua wabongo tusivyo wastaarabu walah vile vioo havina maisha marefu vitarushiwa mawe na kuvunjwa vyote ni bora wangeweka nyavu kama walivyoweka katika baadhi ya vituo vyao. Ila tukubaliane hapa lazima mateja watavipopoa vioo vyote.
KWA HILI STRABAG MKAE CHINI NA KUTAFAKARI UPYA.
Sasa tatizo ni kwamba navyowajua wabongo tusivyo wastaarabu walah vile vioo havina maisha marefu vitarushiwa mawe na kuvunjwa vyote ni bora wangeweka nyavu kama walivyoweka katika baadhi ya vituo vyao. Ila tukubaliane hapa lazima mateja watavipopoa vioo vyote.
KWA HILI STRABAG MKAE CHINI NA KUTAFAKARI UPYA.