Mchele Super wa Mbeya kwa bei rahisi sana

Mchele Super wa Mbeya kwa bei rahisi sana

Duuuh sasa hapo hadi ufike moshi si inakuwa jumla elf 50? na umesema 20KG 29,000-33,000. bora bi mkubwa akanunue dukani tu
Mchele kwa Sasa ni 30000 usafiri ni 8000 sehemu yeyote kwa kilo 20 Sema gari za moshi huku hakuna.

Kila la kheri pia karibu sana.
 
Nitahakikishaje ni mzuri?
Mko Mbeya sehemu Gani?
Kuna mtu huwa anapita anatokea Tunduma
Mnaweza mpatia?
 
Mchele kwa Sasa ni 30000 usafiri ni 8000 sehemu yeyote kwa kilo 20 Sema gari za moshi huku hakuna.

Kila la kheri pia karibu sana.
Nataka mchele mwanza. Kg 30 kiasi gani?
 
Mkuu, kwa wastani mzigo unatumia siku ngapi mpaka kufika Mwanza? Mimi pia nahitaji kilogramu 30.
Siku moja njiani, mfano mzigo ukiondoka Leo saa 12 asubuhi by saa 4-6usiku utakuwa umefika, wewe utaenda kukufuata kesho yake asubuhi au usiku huo huo ukiweza....
 
Siku moja njiani, mfano mzigo ukiondoka Leo saa 12 asubuhi by saa 4-6usiku utakuwa umefika, wewe utaenda kukufuata kesho yake asubuhi au usiku huo huo ukiweza....
Shukrani, natumaini tutafanya biashara nzuri na sintojutia uamuzi wangu wa kununua bidhaa hiyo kutoka kwako Mkuu.
 
Back
Top Bottom