Sky Eclat
JF-Expert Member
- Oct 17, 2012
- 58,636
- 220,349
Yaa Kihurio ni upareni wanalima mpunga.Kihurio....
Hili jina kama la kipare.....
Yaa Kihurio ni upareni wanalima mpunga.Kihurio....
Hili jina kama la kipare.....
hii ni yenyewe mkuu ni asili haswa hata mchele ukishika mkononi utaona tu tofauti ni hii ya kisasa iliyovimba kabla ya kupikwa
hata usiwe na wasiwasi naweza kukuletea ukapika wakati mimi nasubir na kilo zingine ili tu ujue kuwa nimekuletea kitu chenyewe
Ukipika ubwabwa tualikane KasindeShukria, ntaufata dukani.

Ukipika ubwabwa tualikane Kasinde![]()
Ukifika Temeke kwa azizi ali karibu na soko la kabumaHapo umenikamata.
Eneo la biashara ni karibu na nini.?
Sitaki kupiga simu nataka nifike dukani Kama mteja ninunue kiasi changu nikajipikilishe ..![]()