Mchele safi na supa kutoka Mbeya

Mchele safi na supa kutoka Mbeya

Ngoti pilla

JF-Expert Member
Joined
May 12, 2018
Posts
272
Reaction score
160
kwa wakazi wa Dar es Salaam jipatie mchele safi na Super kutoka mbeya.
Mchele wetu ni zile mbegu za Asili na si hizi za kisasa yaan ni Mchele mzuri haswa na Maharage ya njano pia yanapatikana kwa bei Tsh 2600 kwa kilo

Tunapatikana Ilala Bungoni, Temeke kwa azizi Ally... Bei zetu ni 2000 na 1800.
Kwa mawasiliano piga 0715169679 au 0737354610
Karibuni sana
images%20(2).jpg
20210324_152248.jpg
IMG-20210321-WA0000.jpg
images%20(1).jpg
 
Mchele wa 1800 una tofauti gani na wa 2000?

Mna mchele wa brown..!??

Huo mchele picha ya juu inaonekana kama mchele wa basmati au VIP...! Yaani umenyooka sana nao ni mbegu ya Mbeya?
Na mimi ngoja nipigilie msumari hapa hapa kwa bibi kasie, mchele wa kwanza unafanana kabisa kama basmati

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Ni mbegu asili hii au hybrid..!!??

Maana nnavopenda kula sijawahi kutana na mbegu asili iliyonyooka hivi.

Ila nimependa mchele ni msafi maana mie mvivu wa kuchambua mchele.
Huu ni kama Kihurio, hizi ni mbegu za asili za zamani. Kihurio ni mtamu na una nukia.
Wafanya biashara wajiongeze kuandika mifuko kama wanavyofanya Azam, ukinunua mchele usome unatoka wapi.
 
Huo mchele wa juu ulionyooka unakubali mboga zote, kwa pilau ndiyo usitake kujua, unakula mpaka ukoko.
Yah huo wa juu ni mbegu moja sisi tunaita mwenda mbio ni mbegu nzuri sana na mchele wake hua haukatiki ambao tunafanya sh 2000 kwa kilo

na mbegu ya chini sisi uwa tunaita zambie ni mbegu nzuri sana mchele wake si mnene kwa hii ya kisasa ni mchele mfupi ulionyooka vizuri sana ambao ni sh 1800
 
Ni mbegu asili hii au hybrid..!!??

Maana nnavopenda kula sijawahi kutana na mbegu asili iliyonyooka hivi.

Ila nimependa mchele ni msafi maana mie mvivu wa kuchambua mchele.
hii ni yenyewe mkuu ni asili haswa hata mchele ukishika mkononi utaona tu tofauti ni hii ya kisasa iliyovimba kabla ya kupikwa
 
Yeah ngoja muuzaji atuhakikishie tuweke oda.
hata usiwe na wasiwasi naweza kukuletea ukapika wakati mimi nasubir na kilo zingine ili tu ujue kuwa nimekuletea kitu chenyewe
 
Huu ni kama Kihurio, hizi ni mbegu za asili za zamani. Kihurio ni mtamu na una nukia.
Wafanya biashara wajiongeze kuandika mifuko kama wanavyofanya Azam, ukinunua mchele usome unatoka wapi.
Sawa mkuu asantee tunafanyia kazi boss
 
Huu ni kama Kihurio, hizi ni mbegu za asili za zamani. Kihurio ni mtamu na una nukia.
Wafanya biashara wajiongeze kuandika mifuko kama wanavyofanya Azam, ukinunua mchele usome unatoka wapi.

Kihurio....

Hili jina kama la kipare.....
 
Back
Top Bottom