- Thread starter
- #41
anatumia pesa nyingi kuwalipa wabunge ili wamtetee bungeni lakini hamna chochote kama kujifunza angeondoka na wataalamu wa ardhi au wanafunzi wa uhandisi hivi ndivyo namna wabunge wanavyotafuna pesa na kushindwa kusimamia mashirika ya umma angalia makampuni binafsi yanavyojenga majengo halafu linganisha na nyumba za nhc
hapa ndo namkubali muhongo yeye alikuwa anafatana na wahandisi wa TPDC na maofisa wa wizara, tizama bodi ya tanesco kaweka wataalamu watupu akina olesendeka tupa nje,